Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!
Kiburi kikizidi sana,mwishowe ni aibu!
High time mr slim ajue his position, yy sio tishio kwa lolote zaidi ya ukibaka anaoufanya Drc kwa support ya some western countries, aache ulafi na ubinafsi unaotuhumiwa kuwa sehemu ya jamii ya kitutsi,anonesha wazi wao ni jamii ya namna gani na dunia iwaangaliaje na kudeal nao vp.
 
SA ndiyo wanao fanya mazoez ya kivita na russia, china.. Kagame ana siri nying za kijasus kuhusu jesh la SA.. ISRAEL alimkalisha Iran
Punguzeni kula ugolo vijana.

Wewe ukimjua mwakinyo anapigana orthodox na udhaifu wake ni upande wa kushoto ndiyo utafanya uanze kumchimba mikwara kisa unajua udhaifu wake wakati kiuhalisia hauna uwezo wowote wa kusimama na mwakinyo kwenye ring.au ubovu wa Manchester united ndiyo coastal union aanze mikwara na kumkazia kwamba wakikutana man u atakula nyingi?

South Africa ambae anatengeneza silaha zake za kivita na anaziuza hadi nchi zilizoendelea huko mambele. Nyie watu asee!!

Wabongo hivi mmekuwaje?
 
Rais wa Rwanda Paul Kagame amemuonya Rais Cyril Ramaphosa akisema Kiongozi huyo wa Afrika Kusini amepotosha mazungumzo yao ya Faragha waliofanya na kusema kama Afrika Kusini inataka makabiliano basi Rwanda iko tayari kujibu.

Katika waraka wake mzito alioandika kwenye Mtandao wake wa X, Rais Kagame amesema alifanya mazungumzo mawili wiki hii na mapema jana na Rais Ramaphosa kuhusu hali ya Mashariki mwa DRC, akisema kuwa kile kilichosemwa na maafisa wa Afrika Kusini na Rais Ramaphosa mwenyewe kuhusu mazungumzo yao kwenye vyombo vya habari kimejaa upotoshaji mwingi.

Rais Kagame amesema ikiwa maneno yanaweza kubadilika kiasi hicho kutoka kwenye mazungumzo hadi kwenye tamko la umma, inasema mengi kuhusu jinsi masuala haya muhimu yanavyoshughulikiwa.

Rais Kagame amesema ikiwa Afrika Kusini inataka kuchangia suluhisho la amani huko Mashariki mwa DRC hilo ni jambo jema, lakini haina nafasi ya kuchukua jukumu la mpatanishi au msuluhishi. Na iwapo Afrika Kusini itataka makabiliano, Rwanda iko tayari kujibu hilo.

#KitengeUpdatesView attachment 3218375

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app

Kuilinganisha South Africa na Rwanda ni sawa na Kulinganisha Landcruiser na Passo
Rwanda haina uwezo wowote wa kuipiga South Africa labda uwezo wa kuvizia na kurusha bomu kama alshabab. Mji mmoja tu kama Cape town au Johannesburg au hata Durban, una nguvu ya uchumi kuliko nchi nzima ya Rwanda
 
Kiburi kikizidi sana,mwishowe ni aibu!
High time mr slim ajue his position, yy sio tishio kwa lolote zaidi ya ukibaka anaoufanya Drc kwa support ya some western countries, aache ulafi na ubinafsi unaotuhumiwa kuwa sehemu ya jamii ya kitutsi,anonesha wazi wao ni jamii ya namna gani na dunia iwaangaliaje na kudeal nao vp.
Huo woga, itakua kuna dawa anaandaliwa
 
Mavi hayo hana,na huo mlio katia itakua south wanaongeza silaha,huwa kinatoa mikwala kila kikiona hatari dhidi yake
Wanajeshi wa SA watanyooshwa sana kwenye misitu ya Congo, hawajawahi hata kupigana vitu kubwa kama wanajeshi wa Rwanda ambao vita ni maisha yao.
 
Rwanda Iko ni dhaifu ikiwa Tanzania na Uganda wataamua kufunga mipaka kwa muda kumpa onyo.
Lakini vita na utajiri wa Congo una maslahi kwa wengi ndalni na .nje ya congo ndio maana Hilo eneo Lina matatizo kila siku
 
Punguzeni kula ugolo vijana.

Wewe ukimjua mwakinyo anapigana orthodox na udhaifu wake ni upande wa kushoto ndiyo utafanya uanze kumchimba mikwara kisa unajua udhaifu wake wakati kiuhalisia hauna uwezo wowote wa kusimama na mwakinyo kwenye ring.au ubovu wa Manchester united ndiyo coastal union aanze mikwara na kumkazia kwamba wakikutana man u atakula nyingi?

Rwanda amazie South Africa ambae anatengeneza silaha zake za kivita na anaziuza hadi nchi zilizoendelea huko mambele. Nyie watu asee!!

Wabongo hivi mmekuwaje?
Waulize Wamarekani walichokutana nacho Vietnam kwa Viet Cong, Labda Tz ndio wanaweza wakatoana jasho na Rwanda ila SA ni wepesi sana kwa Rwanda.
 
Back
Top Bottom