masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Upo sahihi sana.Vijana wanajidanganya sana..
Hata sabuni wanazotumia zina madhara makubwa...
Punyeto inaua "Masculine Energy" mwanaume unabaki kama li zezeta hivi,...
Mwanaume unakuwa weak internally, unakuwa huna ile domination drive waliyonayo wanaume..
Mwanamke ni Shamba. Shamba linihitaji inputs (pembejeo) ili likupe matokeo (results). Tunatoa pesa kwa sababu ndio kifaa pekee cha kurahisisha upatikaji wa huduma kwa sasa.
Mwanamke kiasili ni mpokeaji
Mwanaume kiasili ni mtoaji.
Kabla ya uwepo wa pesa , mwanaume pia ndio alikuwa na jukumu la kuwinda na kuokota matunda, Kisha mwanaume anapokea[emoji41].
Sent using Jamii Forums mobile app
napiga nyeto au sio
Tangu nmeijua nyeto kwa kutumia sumu ya panya sisumbuliwi na wanawake
Lakini inawahusu hao ndugu zako wakike akiwemo mama yako. Thats the fact all the time unayemwona demu ni dada wa mtu, so is the same dadaako ni demu tu kwa mwanaume mwingine. So was your mother back them, or any story that is meant to demean a woman.Mara nyingi mmekuwa mkijificha kwenye kichaka cha sisi kuwa na ndugu wa kike hiyo sio ishu na sijali
Si ndiyoooooooooooooo.!Aisee 🤭🤣🤣
Hiyo itakua kama kifutio cha pensel kilicho ishaSi ndiyoooooooooooooo.!
Proportion kubwa sana ya wanawake kwenye ndoa wanalea familia zao financially. Some guys wanakaa hapa na kujipa nafasi kuuuubwa ambazo kiuhalisia hata hawazimudu. Big up to all men who take their responsibilities seriously, nawajeshimu sana, nitahakikisha mume wangu anajua majukumu yake la sivyo tunaachana, sipendi ujinga, some men si lolote si chochote, kazi kujisifia "wanaume tuko wachache" , so then what?, wanaume wako wachache simply because hata wengine waliopo hawafai kuitwa wanaume. Kuna wanaume ni mara mia wasioe maisha yao wote, maana ni aibu katika jamii. Atakayeumia imekugusa!Tuliza kichwa bro Hakuna mnachotupa zaidii ya pesa na sisi tunawapa papuchii ambayo inawaletea watoto duniani
Kama mnahisi papuchi sio kitu kulaneni wenyewe kama mtazaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na siku hizi tumeenda mbali wanawake wanapesa so huwa pia wanatoa kwa wanaume
Kwanzä nasikia huko ndoani wanawake wanajihudumia wenyewe ndio maana wanacheza na mavikoba ili wapate kulea watoto
Proportion kubwa sana ya wanawake kwenye ndoa wanalea familia zao financially. Some guys wanakaa hapa na kujipa nafasi kuuuubwa ambazo kiuhalisia hata hawazimudu. Big up to all men who take their responsibilities seriously, nawajeshimu sana, nitahakikisha mume wangu anajua majukumu yake la sivyo tunaachana, sipendi ujinga, some men si lolote si chochote, kazi kujisifia "wanaume tuko wachache" , so then what?, wanaume wako wachache simply because hata wengine waliopo hawafai kuitwa wanaume. Kuna wanaume ni mara mia wasioe maisha yao wote, maana ni aibu katika jamii. Atakayeumia imekugusa!
Maendeleo yapi🤣heshima, mahaba,maendeleo
Mmmh apa apana kwer mpo tofautiUshauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..
Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..
Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".
View attachment 2750567
Ushauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii
ukipump mbili tu ham inakata na mpunga umeondoka mixer miharufu ya ajabu ajabuunatoa mpunga mrefu, unakutana na Mtera Dam
mnaibiwa sana
unakutana na kisamaki hapo kama uko Ferry, pumbav kabisaukipump mbili tu ham inakata na mpunga umeondoka mixer miharufu ya ajabu ajabu
Kwahiyo hiyo ndio big deal shenz typeMama ako asingeitoa papuchi yake kwa baba ako ungezaliwa?
What goes around comes back around....Kwahiyo hiyo ndio big deal shenz type