Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Kama mwanamke, taja vitu 3 vya kushikika ambavyo mwanaume atafaidika navyo aki-date na wewe

Vijana wanajidanganya sana..

Hata sabuni wanazotumia zina madhara makubwa...

Punyeto inaua "Masculine Energy" mwanaume unabaki kama li zezeta hivi,...

Mwanaume unakuwa weak internally, unakuwa huna ile domination drive waliyonayo wanaume..
Upo sahihi sana.
Hata kutunza familia ni ngumu na kukiendeleleza kizazi
 
Mwanamke ni Shamba. Shamba linihitaji inputs (pembejeo) ili likupe matokeo (results). Tunatoa pesa kwa sababu ndio kifaa pekee cha kurahisisha upatikaji wa huduma kwa sasa.


Mwanamke kiasili ni mpokeaji
Mwanaume kiasili ni mtoaji.

Kabla ya uwepo wa pesa , mwanaume pia ndio alikuwa na jukumu la kuwinda na kuokota matunda, Kisha mwanaume anapokea[emoji41].


Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio nimeuliza kingine zaidi ya pesa mnatoa nini…

Kikubwa hapa ni tunategemeanaa ukileta pesa nitaifanyia kazi itakayokupa matokeo

Maana mwanaume mwenzio huwezi kumpa mimba wala mimi siwezi pesa mimba na mwanamke mwenzangu

Tunategemeanaaaaaaaa

Ukitoa pesa nitakupa malezi
 
napiga nyeto au sio

Tuliza kichwa bro Hakuna mnachotupa zaidii ya pesa na sisi tunawapa papuchii ambayo inawaletea watoto duniani

Kama mnahisi papuchi sio kitu kulaneni wenyewe kama mtazaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na siku hizi tumeenda mbali wanawake wanapesa so huwa pia wanatoa kwa wanaume

Kwanzä nasikia huko ndoani wanawake wanajihudumia wenyewe ndio maana wanacheza na mavikoba ili wapate kulea watoto
 
Mara nyingi mmekuwa mkijificha kwenye kichaka cha sisi kuwa na ndugu wa kike hiyo sio ishu na sijali
Lakini inawahusu hao ndugu zako wakike akiwemo mama yako. Thats the fact all the time unayemwona demu ni dada wa mtu, so is the same dadaako ni demu tu kwa mwanaume mwingine. So was your mother back them, or any story that is meant to demean a woman.
 
Tuliza kichwa bro Hakuna mnachotupa zaidii ya pesa na sisi tunawapa papuchii ambayo inawaletea watoto duniani

Kama mnahisi papuchi sio kitu kulaneni wenyewe kama mtazaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na siku hizi tumeenda mbali wanawake wanapesa so huwa pia wanatoa kwa wanaume

Kwanzä nasikia huko ndoani wanawake wanajihudumia wenyewe ndio maana wanacheza na mavikoba ili wapate kulea watoto
Proportion kubwa sana ya wanawake kwenye ndoa wanalea familia zao financially. Some guys wanakaa hapa na kujipa nafasi kuuuubwa ambazo kiuhalisia hata hawazimudu. Big up to all men who take their responsibilities seriously, nawajeshimu sana, nitahakikisha mume wangu anajua majukumu yake la sivyo tunaachana, sipendi ujinga, some men si lolote si chochote, kazi kujisifia "wanaume tuko wachache" , so then what?, wanaume wako wachache simply because hata wengine waliopo hawafai kuitwa wanaume. Kuna wanaume ni mara mia wasioe maisha yao wote, maana ni aibu katika jamii. Atakayeumia imekugusa!
 
Proportion kubwa sana ya wanawake kwenye ndoa wanalea familia zao financially. Some guys wanakaa hapa na kujipa nafasi kuuuubwa ambazo kiuhalisia hata hawazimudu. Big up to all men who take their responsibilities seriously, nawajeshimu sana, nitahakikisha mume wangu anajua majukumu yake la sivyo tunaachana, sipendi ujinga, some men si lolote si chochote, kazi kujisifia "wanaume tuko wachache" , so then what?, wanaume wako wachache simply because hata wengine waliopo hawafai kuitwa wanaume. Kuna wanaume ni mara mia wasioe maisha yao wote, maana ni aibu katika jamii. Atakayeumia imekugusa!

Inasikitisha sana yaani huwa wanatuona kama hatuna cha kuoffer kwao na unakuta anaeongea hivyo hata mke hana

Huko ndoani wanaume hawajui majukumu yao hawahudumi familia zao wakiacha hela ya mboga naenyewe ni bahati nasibu

Mtoto wake hajui anavaa nini hata daftari hawanunuiii
 
Tiririkeni sasa tuone mmejipangaje. Siyo kila siku mnawananga wanaume hivi mara wanaume vilee..

Lile chama la "Mwanaume kataa ndoa" njooni hapa mpewe sababu za kutokukataa ndoa..

Wanawake huu ndo uzi wenu ambao ndiyo turufu pekee ya kuligaragaza hili chama la "mwanaume kataa ndoa".

View attachment 2750567


Kama mwanaume sitaki hata kuvijua.
 
Ushauri… mkifata ushauri wetu hasa wa maendeleo mtafika mbali sana
Tatizo lenu hamshaurikii

Ushauri uendane na action

Ili nikusikilize ushauri wako lazima uwe na action za kunishawishi

Mfano wewe binafsi una maendeleo gani yanayoonekana ? Ya kumshawishi mtu akubali ushauri wako kuhusu maendeleo
 
Mm anaipende na ahakikishe napewa tamuu kila siku .mambo ya ushauri wa maendeleo ntashauliwa na watu waliosomea .
 
Back
Top Bottom