Si mnataka kuchoma vituo vya mafuta?Kuna wakati polisi wetu wanakuwa na weredi na kuna wakati wanakurupuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mnataka kuchoma vituo vya mafuta?Kuna wakati polisi wetu wanakuwa na weredi na kuna wakati wanakurupuka
Maandamano kwenye nyuma ya keyboardHaisaidii maandamano yako palepale sanasana ndio wametuongezea munkari .
Popote wata kapoibukia polisi watashughulika nao. Cha msingi watulie tuu.Lissu na Zitto nanyi tumieni intelijensia, msianzie buguruni wala ubungo, ibukeni tu ghafla kwenye kundi la watu.
Correct!Na kwa kadri ya ninavyofahamu haya ni mafanikio ya Maandamano hata kabla hayajaanza
Mipango gani?Tusiwadharau hivyo polisi wetu.
Wanayo intelligence na wamepewa taarifa ya mipango yote.
Hiyo ipo hata huko USA na kwingine mtu anakamatwa tu kwa kusoma kitabu cha mwongozo wa kuleta terror na vikosi vya kijasusi.
Inawezekana kabisa polisi wanazo credible information zaidi ya petroli na viberiti.
Nyie ndio wasenge yaani nchi inapelekwa Bahima empire mnashangilia kabisaaa , maisha waliyonayo wewe na ukoo wenu mzima na Mambosasa wenu hamna .Hawa wanaumia sana maisha ya Ubunge kuyakosa.. wakalime sasa.. waje huku vijijini.. maisha matamu kwa umeme wa REA ndio kumekuchaaaaaa...
Magufuli oyeeeeeeee💕
Uelewa wako mdogo sana!Mipango gani?
Watu wamesema wanataka kuandamana.
Kuandamana ni marufuku Tanzania hii?
CHADEMA siyo maghaidi. Ni chama halali cha kisiasa.
Sidhani kabisa kama wanaweza kupanga njama za kuleta uharibifu wa mali na amani ilhali wanachama wao na mashabiki wao ni Watanzania pia.
Wenye uelewa mdogo ni hao wanaokamata watu bila makosa.Uelewa wako mdogo sana!
“Kama”?Kama wamepanga kuchoma vituo vya mafuta kweli uwaachie mpaka wachome ndiyo uwakamate mkuu!!
Hivi mtu akiwa anapanga kuchoma vituo vya mafuta huyo hana makosa? Au kwa uelewa wako mpaka achome hivyo vituo? Intelligence inafanyakazi mkuu!!Wenye uelewa mdogo ni hao wanaokamata watu bila makosa.
Mkuu tuwekee kazi ya polisi.Wenye uelewa mdogo ni hao wanaokamata watu bila makosa.
Unataka niiwekeje hiyo kazi ya polisi?Mkuu tuwekee kazi ya polisi.
Waachie wanaojua kazi zao wewe fanya yanayokuhusu!“Kama”?
Kama hoja ni ‘Kama’, je, kama hawajapanga je?
Ila wakazi wa Dsm mchele mchele sana, naamini letu la policcm litawadhibiti mapema sana.Wewe Mambosasa unahangaika bure, maandamano yako palepale sanasana ndio wametuongezea munkari subirini kesho asubuhi polisi uchwara ndio mtaelewa nguvu ya umma ni nini ? Mnaambiwa maandamano ya amani mmekazana tu na upimbi wenu .
Mkuu NN with due respect, acha mzaha.Mipango gani?
Watu wamesema wanataka kuandamana.
Kuandamana ni marufuku Tanzania hii?
CHADEMA siyo maghaidi. Ni chama halali cha kisiasa.
Sidhani kabisa kama wanaweza kupanga njama za kuleta uharibifu wa mali na amani ilhali wanachama wao na mashabiki wao ni Watanzania pia.
Wewe fanyakazi unazoziweza!Unataka niiwekeje hiyo kazi ya polisi?
Kwani nani kapanga kuchoma moto vituo vya mafuta?Hivi mtu akiwa anapanga kuchoma vituo vya mafuta huyo hana makosa? Au kwa uelewa wako mpaka achome hivyo vituo? Intelligence inafanyakazi mkuu!!