Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu



Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Taifa yabainisha uongo wa Tundu Lissu na kueleza yafuatayo:
1. Siyo NEC iliyompa adhabu kama anavyotangaza bali amepewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ambayo wajumbe wake ni vyama vyote 15 ikiwemo Chadema na 11 ya wajumbe hao wameona Tundu Lissu ana atia
2. Tundu Lissu alipokea barua na alijitetea mbele ya Kamati kupitia mawakili wake wawili na kuomba Kamati impunguzie adhabu. Hii maana yake ni kuwa walikiri ana makosa
3. Sheria inataka taarifa ipewe vyama siyo mgombea binafsi na utaratibu kama huo ulishawahi kutumika Tundu Lissu alipopewa madai na TADEA na alijibu madai hayo yaliyowasilishwa kupitia CHADEMA kama ilivyo utaratibu.
Mengine sikiziza mwenyewe. Hakika Tundu Lissu ni mwongo na anadhamira mbaya na nchi yetu ili kuwafurahisha mabeberu wake. Chukua hatua na akili kichwani. Achana na Tundu Lissu.

Wamrbadili kauli tena? Si walisema walimpelrkea Katibu wa CHADEMA akaikataa?
Halafu hao mawakili wake wawili anaowasema ni nani? Amstedam au? Maana Lissu alishasema Robert Amsterdam ndiyo mwanasheria wake anayeshughulikia mambo yake ya ndani na ya nchi na ya kimataifa.
 
Babati unaona alichofanya Tundu Lissu kudanganya umma ni sawa?. Yaani mgombea wa Urais anasema uongo wa wazi na kudanganya umma huku akijua anachosema ni uongo. Yaani huko amepeleka mawakili wake nguli kumtetea na kuomba apunguziwe adhabu, huku kwenye public anasema hajapokea barua na hajapewa nafasi ya kujitetea. Akili yako kichwani ndugu. Lissu ni sumu
Ni sumu nyumbani kwenu, sisi tutamchangua kwa kura za wivu nyingi haswa, hatutaki kuchagua jitu katili na baguzi
 
Huyu babu tapeli anaongea nini hapa zaidi ya porojo, sisi tupo na Lissu hahitaji hata kampeni. shame on them
Wakati wewe unasema haitaji kampeni,Huko aliko anawaza kukataa hii adhabu ili aendelee kusambaza propaganda zake.

shame on You.
 


Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Taifa yabainisha uongo wa Tundu Lissu na kueleza yafuatayo:
1. Siyo NEC iliyompa adhabu kama anavyotangaza bali amepewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ambayo wajumbe wake ni vyama vyote 15 ikiwemo Chadema na 11 ya wajumbe hao wameona Tundu Lissu ana atia
2. Tundu Lissu alipokea barua na alijitetea mbele ya Kamati kupitia mawakili wake wawili na kuomba Kamati impunguzie adhabu. Hii maana yake ni kuwa walikiri ana makosa
3. Sheria inataka taarifa ipewe vyama siyo mgombea binafsi na utaratibu kama huo ulishawahi kutumika Tundu Lissu alipopewa madai na TADEA na alijibu madai hayo yaliyowasilishwa kupitia CHADEMA kama ilivyo utaratibu.
Mengine sikiziza mwenyewe. Hakika Tundu Lissu ni mwongo na anadhamira mbaya na nchi yetu ili kuwafurahisha mabeberu wake. Chukua hatua na akili kichwani. Achana na Tundu Lissu.
Sas wew utatuhabarisha au unatoa hukumu. Conclusion zako ni za kijinga kabisa
 
Babati unaona alichofanya Tundu Lissu kudanganya umma ni sawa?. Yaani mgombea wa Urais anasema uongo wa wazi na kudanganya umma huku akijua anachosema ni uongo. Yaani huko amepeleka mawakili wake nguli kumtetea na kuomba apunguziwe adhabu, huku kwenye public anasema hajapokea barua na hajapewa nafasi ya kujitetea. Akili yako kichwani ndugu. Lissu ni sumu
Lissu hata awe na kesi ya kuhujumu uchumi tupo tayari kumchangia mamilion ya dollar ili awe huru aje kuwahenyesha maccm
 
Wana hangaika nini tena na yeye !?.Si walisha mlima Ban sasa mbona kelele zinazidi.Tume mna jukumu Kisheria kutoa Elimu kwa mpiga kura ,lakini nyie kutwa kuchwa kuhangaika na Lissu tu na kuyaacha Majukumu yenu ya Msingi.
 
Nilicho kigundua ni ii issue ya lissu ime wapa watu wa lumumba cha kuongea kidgo wametamba umu JF...cha kuwaambia ni mta poteana tena soon

SUBIRI KIDOGO
 
Huyu babu tapeli anaongea nini hapa zaidi ya porojo, sisi tupo na Lissu hahitaji hata kampeni. shame on them
Mechi imekuwa ngumu mno. Huyu mchezaji anasumbua hakuna mfano. Anachanbua defence haijapata kutokea.
IMG_20201003_155446.jpg
 
Wana hangaika nini tena na yeye !?.Si walisha mlima Ban sasa mbona kelele zinazidi.Tume mna jukumu Kisheria kutoa Elimu kwa mpiga kura ,lakini nyie kutwa kuchwa kuhangaika na Lissu tu na kuyaacha Majukumu yenu ya Msingi.
Aseeeh umenena vema Mkuu
 
Lisu ni mzima Ila kiburi kinamfanya ajihisi ana akili kuliko watu wote Hali kamaiyo inamfanya asifikilie sawa sawa, kiburi kinamfanya ashindwe kutafakari vizuri. Mbaya zaidi kwasasa hajui nani wa kumwamini maana jamaa wa kamati kuu wengi hawamwungi mkono.
Acha uongo redio mbao wewe! Kamati kuu ya wapi? Chato
 
Back
Top Bottom