Kampeni dhidi ya Diamond Platnumz: Wanaharakati kuweni serious kidogo
... bila unafiki, kwa nia njema kabisa kutoka mioyoni mwenu, tupeni tafsri ya mashairi hayo hapo chini; wimbo wa Diamond huo! "Wapinzani piga risasi", halafu wapinzani wam-support! How? Shida tumejawa unafiki, hayo mashairi yamejaa uchafu mwingi.

Kwa nchi inayojali usawa huo wimbo haukutakiwa kuruhusiwa ila kwa kuwa ni kwa faida ya "chama chetu, tena tuna jeshi", watafanya nini? Of course, hawana cha kufanya, ila hata chuki? Kutwa kucha mnapandikiza chuki wenyewe na huyo mtu wenu ambaye leo anaomba support ya kila mtu ili "ashinde"!

Magufuli baba lao, Makonda baba lao...
CCM baba lao, Wapinzani piga risasi
Tuna polisi, tuna jeshi...wamekwishaaa!
Mashairi ya nyimbo ipi hiyo ambayo inasema "Tuna polisi tuna jeshi wamekwishaa" Tuanzie hapa kwanza
 
Jaribu kujenga picha kichwani mwako, kwamba wewe ndio Diamond na ukiimba huo wimbo unalipwa shilingi milioni 500 au zaidi.
Licha ya hivyo hakuna mashairi ya kwenye wimbo wa diamond wa babalao una mistari hii "Tuna polisi na jeshi mmekwishaa" kama anavyosema huyo jamaa hii ndio imefanya nigundue wanachuki binafsi
 
Licha ya hivyo hakuna mashairi ya kwenye wimbo wa diamond wa babalao una mistari hii "Tuna polisi na jeshi mmekwishaa" kama anavyosema huyo jamaa hii ndio imefanya nigundue wanachuki binafsi
Mzee wa Chelsea hao wanapenda sana siasa za harakati, na siku zote huwa zinapita, hazidumu.
 
Itakuwa funzo kwa Diamond.. kutokusimama na oppressors. Angalia walichofanya wasanii wa Nigeria dhidi ya serikali yao halafu alichokuwa anafanya Diamond.

Anastahili kuendelea kusagiwa kunguni.. Itakuwa ni funzo la yeye kutokudharau wananchi anatakiwa ajue msanii ni kioo cha jamii
Sisi wananchi tupo nae Diamond, nyie chadema na wanaharakati njaa ndio mnaangaika, wananchi tunamwambia Diamond aendelee kupigia ccm kampeni hakuna wa kumbabaisha, apuuze kelele za chura
 
Too late man, that's a wake up call, mitandao siku hizi ina nguvu zaidi ya polisi na Ndugai, liwe funzo kwa Diamond mwenyewe na wasanii wenzake kina Harmonize, Kiba na wengine, ole wao tena washiriki kampeni za CCM, mbaya zaidi alijitutumua twitter hajawahi kushindwa vita ndio akajiharibia kabisa.
Huyo aliejiharibia labda Diamond wa Kimara, ila huyu wa Tandale hajawai kutishwa na wapiga domo wa mitandaoni ambao Ata show zake awaendi, yule mwengine Ata jinsia yake hatuijui
 
Africanews | Latest breaking news, daily news and African news from Africa logo

News
Petition launched to disqualify Tanzania's Diamond Platinumz from BET Award
Excerpt of AFP video when Diamond Platinumz, Tanzanian singer-songwriter got awarded artist of the year, best song of the year -
Copyright © africanews

PAUL EDOGBANYA / AFPTV / AFP
By Michael Oduor
Last updated: 08/06 - 18:18
Tanzania
Tanzanian popular singer, Naseeb Abdul Juma Issack, popularly known by his stage name Diamond Platnumz, is once again surrounded by another controversy that might see him disqualified from the BET Awards scheduled on 27 June.

More than 20, 000 people have signed an online petition seeking to have the star disqualified from the award where he is nominated for Best International Act.

The bongo star is being accused by an NGO, Change Tanzania, of supporting an autocratic rule of the late president John Pombe Magufuli.

“Diamond Platnumz is a world-renowned Tanzanian artist who used his popularity and his talent to whitewash and deodorize the brutal repression of the late dictator John Magufuli and his regime,” Change Tanzania said.

“Diamond is also a close friend and business ally of Paul Makonda, the former governor who openly persecuted and cracked down on LGBTI people. Makonda has also been designated in 2020 by the US State Department for gross violations of human rights including cracking down on freedom of expression and association,” it added.


The organization further stated that “Tanzania has suffered brutal repression and rollback of democracy since 2016 when (late) President Magufuli ascended into power. His regime curtailed democratic freedoms, basic human rights and Tanzanians witnessed never-before-experienced atrocities like enforced disappearances, bodies bound and gagged washing ashore the Indian ocean, mass illegal detention of opposition politicians, critics and businessmen, a crackdown on independent media, intimidation of creative people including musicians, actors and comedians.”

The NGO is also linking the Tanzanian star to another personality, Paul Makonda, who was made the singer’s patron of his music label and media company called Wasafi.

Makonde is accused of being a staunch anti-LGBT in Tanzania.

They claim Makonda has used the Wasafi Festival for publicity and to sanitize his image. Also throughout the increased level of repression when fellow artists were imprisoned and abducted Diamond remained silent.

In 2017, he deliberately released a single called “Acha Nikae Kimya” (Let me remain quiet) as a response to the increasing demand from the public to speak up and condemn the crackdowns. Diamond to date has not condemned or spoken up on any of the atrocities committed.

Change Tanzania said that Diamond Platnumz chose to protect and expand his personal and business interest by praising and using his star power to soften the image of a brutal dictator and his collaborators.

They further accuse him of failing to show basic concern and publicly express any solidarity with his fellow artists like Roma Mkatoliki, Nay wa Mitego and Idris Sultan who suffered at the hand of the ‘dictator’ Magufuli.
Copyright © AfricaNews
MISIJUI KAMA NI KWELI NIPO TU NASHANGAA.
NIMEONA MTANDAONI SINA UWAKIKA
 
Petetion uenyewe walosign hawafiki hata watu 50000 mpk sasa afu mkishindwa kwenye uchaguzi mnadai mmeibiwa kura na bado tutawanyoosha 2025
 
Hatarii me nshasema,, hakuna kipindi ambacho watu watauwawa openly kama siku chadema akichukua nchi,, yaan they hate openly,, na walivyo wajanja hawajawah kukosa sababu ya kumchukia au kumkwamisha mtu
vp Akwelina aliuwawa gizani na cdm ndio ilikuwa imeshika nchi?
 
Habari za wakati huu wakuu.

Naomba kuzungumza nanyi mnaojiita wanaharakati pamoja na wafuasi wenu.

Hiki kinachoondelea huko mitandaoni sio tamko rasmi la Chama kuwa sasa wameamua kufanya vile, ila ukimya wa viongozi juu ya hili jambo unanambia kuwa chama kimebariki.

Mi naomba mnifafanulie kidogo kwanini mnafanya hivi kwa uyu kijana mtafutaji kama ninyi mlivyo watafutaji ila mlijioficha kwenye pazia la siasa.

Hivi ni kweli Diamond ndo kikwazo cha nyinyi kufikia malengo mliojiwekea kama chama?

Hivi nikweli Diamond ndo chanzo cha ninyi kuanguka katika chaguzi zilizopita?

Hivi ni kweli Diamond ndo anawakwamisha kufanya siasa zenu na wananchi wakazipokea?

Lakini pia kama sijakosea wasanii wengi tu walifanya biashara ya kuuza burudani kwenye kampeni, kwanini Ninyi mmemuona Diamond tu?

Tafadhali naomba mje mtoe ufafanuzi ni kiasi gani huyu Kijana muuza burudani ya muziki anawakwamisha katika siasa zenu.

Bila kusahau ni ninyi mnatuambia uongozi uliokwepo ulikuwa uongozi wa upendeleo na visasi, ulipendelea kichama kidini na hata kikabila, sasa hiki mnachokifanya ninyi kinautofauti gani na hayo mliyotuaminisha yalikuwa yakitendeka.
Ngoja tumnyooshe kwanza day tutazungumza
 
Hawa sio wanaharakati ni wanachadema, tunaomba ungebadilisha hyo heading isomeke wanachadema kuweni siriously
 
Hamas na Hezbollah zilianza hv hv kujifanya ni watetezi wa watu then wakaanza kutumia nguvu kusambaza ideology yao kwa nguvu na kulazimisha kila mtu kuamini na kufata itikadi yao na leo vimekuwa vyama vya kigaidi ndo naona uelekeo wa chama fulani hapa Tanzania wanapita njia zile zile za Hamas na Hezbollah kutoka kwenye vyama vya kisiasa mpk kuwa vyama vya harakati mwisho kuwa vyama vya kigaidi .
leta ushahidi wa uyasemayo.
maana mpk sasa lebanon wakristo wapo na lebanon ni secular state km wangekua hizbullah wanalazimisha itikadi lebanon ingekuaje secular state?
 
Back
Top Bottom