Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Hizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
Kila mtu ajiabudu yeye mwenyewe ndiyo dawa
 
Kila siku mnaambiwa katoliki sio kanisa mnabishana tu πŸ˜€πŸ˜€,ona sasa
 
Acha uongo wewe uislam umenzishwa na nani ? [emoji1787]
Dini zote zenye kusajiliwa Serikalini zilianzia hapo Romeee.

Utakapokuja kuambiwa na sheik wenu mkuu muungane na catholicseser kuanzisha Dini moja na kuabudu siku moja ndo utajua ulikuwa fixed.

Na wakubwa wa dini Yako wameshasaini kuwauza Kwa popeee na mnyama hujastuka tu Hadi sasa.
 
Makanisa ni Yale ya kwetu ya Kiafrika hayo mnayoanguka mapepo hamna kitu
KANISA ni mtu, Si Jengo la kuabudia.

Imani za kiafrika za kuamini miungu na kuabudu makaburi ya mababu au kuabudu chini ya miti,

Haina tofauti na wahindu wenye kuabudu ng'ombe .

Yote hayo Yako chini ya shetani.

ANGALIZO; Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Makanisa ni Yale ya kwetu ya Kiafrika hayo mnayoanguka mapepo hamna kitu
Bora uanguke mapepo yakutoke kuliko hawa wanaohalalisha waumini wao mwanaume na mwanaume kulana kiboga.bora ulale nyumbani tu kuliko kwenda kanisani,uchafu
 
Bora uanguke mapepo yakutoke kuliko hawa wanaohalalisha waumini wao mwanaume na mwanaume kulana kiboga.bora ulale nyumbani tu kuliko kwenda kanisani,uchafu
Ni Kweli sasa Kuna upotovu mwingi'' na UWONGO wa Kila aina.

Bt usiache kukusanyika Kwa ajili ya IBADA, mwombe Mungu atakuelekeza Mahali sahihi pankufanya IBADA ya Roho na Kweli.

Maana NENO la Mungu limesema "Msiache kukusanyika ktk kusanyiko la watakatifu".

Amen
 
Hali Ni hatari had 2030 huwenda ushoga ikawa Ni Jambo la kawaida

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Si ktk Nchi hii TANZANIA.

Nchi hii uliyoikanyaga ni TAIFA la AGANO.

Mungu amejitengea Taifa duniani la AGANO lililokuwa Siri ktk vitabu vya IMANI.

Nchi hii ndo Taifa ambalo wale Malaika wawili watatumwa kuihubiri INJILI ya UFALME kabla ya kurudi Kwa Yesu mara ya pili sawasawa na Kitabu Cha ufunuo.

Musa na Elia watahubiri Dunia nzima Kutokea Tanzania.

Tunajiandaa kupokea watu maelfu elfu Kutoka Dunia nzima maana mataifa yote watajua Nuru imengara Tanzania.

Umebarikiwa sana Tanzania, umependwa sana na Mungu.

Amen
 
Am proud to be muslim na nitakufa nikiwa muislam
Mungu alipomuumba ADAM na EVE ktk Bustani ya EDEN hakumpa DINI ya Ukristo au Dini ya UISLAMU.

Mungu anataka IBADA. Mimi nakuombea ndugu Kimsboy ukutane na Mungu yule aliyeongea na Adam daily Bustani ya EDEN.

Mungu huyo anaishi ndani yangu, ninaeongea naye na kumwabudu ktk ROHO na Kweli.

Angalizo;Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…