ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Okay kumbe na sie tupige marufuku habari hizi kusambaza na kuziripoti itasaidia sana.Nchini Russia wameshatoka kwenye ishu hizi za kuripoti habari za mashoga badala yake wamepiga marufuku kuchapisha,kuongelea na kutuma picha zao
Kama raia wa mama AfrikaAhsante kwa taarifa mkuu,
kwahiyo unaishauri Africa sio?
we kama nani??
Kuzipost ni kuzipa nguvuOkay kumbe na sie tupige marufuku habari hizi kusambaza na kuziripoti itasaidia sana.
Kanisa ni mpango wa wanadamu na sio MUNGUSijui kwanini Kanisa linakuwa mbele na huu ushetani, yaani wanapamba ili watu waone ni kitu cha kawaida kabisa.
Huko ndipo kubaya zaidiHizi imani inabidi turudi kwenye imani za mababu zetu za kuabudu milima,miti mikubwa na mizimu,huku tuelekeapo si kuzuri kwa kweli.
Hujawahi kuwaza kuwa inawezekana hili lisemwalo siyo kweli? We umepata source halisi na ya kuaminika ya kinachosemwa?Sijui kwanini Kanisa linakuwa mbele na huu ushetani, yaani wanapamba ili watu waone ni kitu cha kawaida kabisa.
Sioni ubaya wa hizi imani zetu,bora ubaki na utu wako ila si kukubali vitu kama hivyo.Huko ndipo kubaya zaidi
Huujui ukweli ukiujua itakuwa too lateAcha uongo unalifahamu kanisa Catholic wewe? au unataka kulichafua, haliwezi kuunga mkono ushenzi na ujinga unaouzungumza. Aliyekutuma Amefeli hakuna habali kama hiyo.
Habari kama hii ni ngumu sana kutoisikia kama husingeisikia humu basi ungeisikia kwenye radio au kwenye media yoyote sababu imetoka kwenye moja ya vyombo vikubwa DW,ingekuwa habari tu mtu kaiona mtaani hapo sawa ila hii utaisikia tu kutoka kwenye media yoyote.Kuzipost ni kuzipa nguvu
Putino aungwe mkono, Mashariki hawakubali USHETANI huo.Ni lazima kama waafrica tuwe na misimamo yetu katika ngazi za familia ili kulinda tamaduni zetu...Hii hata waseme linaweza lisiwe na athari kibaya ni kundi linajikuta ni wazungu .
Movement zote sijui feminism ni uzungu tu basi hamna jinsi hata elimu tunategemea kutoka kwamba ... Mbaya sana kwa vile muingiliano ni mkubwa na tunakosa ushawishi kabisa tulichobaki kufauta watu wa nje.
Maisha yetu ni jadi kabisa nchi zetu ombaomba katima mambo kama haya hazina usemi kabisa .
Sawa..! Lakini nyie huwa mkiingia kwenye 18 za Muumba huwa ndo wa kwanza kulia na huku mkiomba watu wawaombea kwa Mungu aidha kwa ugonjwa au shida yoyote ili mpate kunusurika kwa mateso, lakini hapa ni wepesi kukanusha.Dini zote ni scam hapa duniani
Vyote tunavyoabudu ni uongo
Ukweli umefichwa na story nyingi za kwenye dini sio za kweli ndioo maana hazina majibu na ukiuliza unatishwa
Nasadiki kwa Mungu mmoja Baba Mwenyezi Muumba wa mbingu na nchi na Vitu vyote Vinavyoonekana na Visivyonekana.Uongo ni kitu kisichoonekana na Uzushi vile vile mimi naamini katika Baba na Mwana na Roho Mtakatifu.Mengine haya mara Ujerumani wamesema vile au Canada wameamua hivi hizo zote ni kazi za shetani.Huku ndio Ulaya wamefikia na wanataka kutulaximisha..
Afrika ikatae na ijitenge na huu upuuzi hata kama Papa wa Vatican yeye anasema Iko sawa.
Jambo gumu ni kwamba still upande dhaifu bado watu wanatengana kabisa.Putino aungwe mkono, Mashariki hawakubali USHETANI huo.