Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Sir anybody mwenye deep thinking mind anaweza andika hivi. But doesnt make you a genius. Neno genius ni kubwa mno na huwa hawajisemiThat's why I'm Genius.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sir anybody mwenye deep thinking mind anaweza andika hivi. But doesnt make you a genius. Neno genius ni kubwa mno na huwa hawajisemiThat's why I'm Genius.
Unajua kudeka....hadi raha !😒😒sitaki nataka wa Mama
Huwez kutoka kuwa rc kuwa waziri. Wizara ya maokoto ni moja ya wizara chache ambazo ni technical, zinahitaj kiongoz professional mwenye knowledge na wizara husika ( less siasa) au anaejua kubalance . Ila aihitaj mwanasiasa 100%Mwigulu amekalia kuti kavu Kama ushauri wa Bashite (anakubalika Sana in the right places) utachukuliwa, sema dogo kiuchumi Yuko vizuri labda ashindwe kumanage miradi yake.
MuandamoThat's why I'm Genius.
Sasa yule wa singida ana elimu gani.Huwez kutoka kuwa rc kuwa waziri. Wizara ya maokoto ni moja ya wizara chache ambazo ni technical, zinahitaj kiongoz professional mwenye knowledge na wizara husika ( less siasa) au anaejua kubalance . Ila aihitaj mwanasiasa 100%
Kadi ya harusi unayo?Hivi mimi zamu yangu itafika lini uteuzi unione 😔
Jibu maswali we mbuzi,elimu yenyewe hunizidi,na yes.. nimepita madrasa,ambako nilioneshwa upuuzi wa mtu huyo huyo kuwa Mungu na mwana wa MunguWabishi wengi wanaopenda kubisha bila hata kuwa na facts ni watu wanaotokea madrasat na hawajasoma
Mramba alitoka kuwa RC Mbeya akaja kuwa waziri wa fedha.Huwez kutoka kuwa rc kuwa waziri. Wizara ya maokoto ni moja ya wizara chache ambazo ni technical, zinahitaj kiongoz professional mwenye knowledge na wizara husika ( less siasa) au anaejua kubalance . Ila aihitaj mwanasiasa 100%
Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana (BASHITE) ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika (AMIRI MKUU) kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Basi kama neno Genius umelikataa kwa Wivu wako ngoja nibadiishe ili Uridhike na nijiite Mwerevu je, hapa pia utabisha?Sir anybody mwenye deep thinking mind anaweza andika hivi. But doesnt make you a genius. Neno genius ni kubwa mno na huwa hawajisemi
Ili 'Ukazwe' nae vizuri.Muandamo
PHD in EconomicsSasa yule wa singida ana elimu gani.
Usingefafanua hili waendelee kutafakari 😅 jokingsNa sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana (BASHITE) ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika (AMIRI MKUU) kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga (AMIRI MKUU) kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini (PENA) nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 (MADELU NA FEBRUARI) ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Unasahau kutoka RC mpaka kuwa mbunge wa rombo, ndio uwaziri ukaja akiwa bungeni kama mbunge halali.Mramba alitoka kuwa RC Mbeya akaja kuwa waziri wa fedha.
MuandamoIli 'Ukazwe' nae vizuri.
Kama Mama yako Mzazi vile.Muandamo
Tunaokujua tunafahamu sasa ni muda wa kukaa Karibu na kikopo cha dawa
Subhanna’llah
Ummy bi Dada yule hana shida kabisa ni mchapa kazi sana tena ana hekima siyo mjivuni na siyo jambazi na fisadi ni mtu wa watu. Nilienda Tanga hakika simulizi za wapiga kura wake ziko nzuri mno. I wish angekuwa hata makamu wa rais au waziri mkuu au rais ajayeIna Maana Ummy....Nape ...January na Mwigulu??.....yetu machooo....
Alishatangulia mbele ya haqiKama Mama yako Mzazi vile.