bonjov
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,100
- 2,491
Mara pap Bichwa Komwe ndani š¤£HILI NALO MKALITAZAME
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara pap Bichwa Komwe ndani š¤£HILI NALO MKALITAZAME
Yule wa USA aka Paula kumbe ni Yohana.Ndiyo maana mpompoma nakuamini,a.M32 wabayaNa sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Mwigu Floppy disk ile aitoe aonee šMwigulu hawezi kumtoa pale juu
Hahahahaa šššMara pap Bichwa Komwe ndani š¤£
Komwe Ndani ya VNane š¤£š¤£Hahahahaa ššš
š¤£š¤£š¤£š¤£ mtanikomaKomwe Ndani ya VNane š¤£š¤£
Lamomy mpambe pembeni mbeba pochi š
Una uzoefu na ubakaji huo??Ukiona mwanamke amefikia mpaka akaanza kuonekana na kuteuliwa, ujue amelalia vitanda vya hoteli nyingi bila ridhaa yake. Yaani amebakwa Sana.
Nalichukulia serious kwa sababu taarifa na umbeya huu umeletwa na member senior maarufu kama popoma.Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Hayatuhusu...maana hayana tija kwa Ustawi wa Nchi Yetu bali Matumbo yao tu.Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.
Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.
Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Ukimuondoa Kuruthumu, hao vijana hawafai kabisa na ndiyo maana Magufuli aliwatimua mapema maana ni useless katika hili taifa letu. Mama akahisi walionewa kutemwa, kawarudisha na sasa wanamtafuna huku akijiona.Ina Maana Ummy....Nape ...January na Mwigulu??.....yetu machooo....
'Ni-dip' ili nikuingize kwenye 'sistim'.Hivi mimi zamu yangu itafika lini uteuzi unione š
Of course ni wale wanaopenda mteremko,Una uzoefu na ubakaji huo??
Mimi nitakua wa kwanza bila kubakwa
& over 2.5 first halfGG-both team to score
Mara pap Bichwa Komwe ndani [emoji1787]
'Matege Ndani' ndani anaweza kupelekwa Defense au Internal Affairs docket kwa Kwa Mkakati na Kazi Maalum ya 2025.Mkuu GENTAMYCINE hebu nipe sofa nyingine za matege. Nashindwa kumtambua. Je huyu matege, anachukua nafasi ya Bumunda au anaingia idara ya uhasibu.
Ukweli kabisa mambo ni yale yale hakuna kinachobadilikaKazi yenu kutengua na kuteua, tulivyo mazombie...we celebrate as if there's value added to these appointments/dismissals.