Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

Bado haitasaidia huwezi waweka wabunge kwenye ubalozi wale hubaki jimboni kwao na kuendelea na mipango ya kukuangusha hata kama utavuka kwenye uchaguzi kumbuka ni nafasi TU umepata ya kuwa Rais ila haimaanishi ni Bora kwenye mipango na ushawishi kuliko wao
Tena umeokota Urais kama dodo chini ya mwembe asubuhi mapema
 
Na sababu Kuu ya Kuongea aliyoyaongea jana ilikuwa ni sehemu ya Makubaliano aliyopewa baada ya Mhusika kuwa Muoga na Kuwaonea Aibu Watajwa kwakuwa anajuana nao Kitambo ( wengine kupitia Baba zao ) na wengine humpelekea Waganga wa Kienyeji, wengine Chenji za Upigaji zikibaki hummege nae Kidogo.

Na baada tu ya Kumaliza zoezi lile na Mhusika Mnafiki Muoga kufurahia tayari ameshamweka katika Kikosi chake Kipya Kijacha ambacho kwa taarifa za ndani japo Wahusika Watatu Walengwa Wawili ni Magwiji wa kwenda na kutembea na Waganga wao hadi Bungeni wakiwa katika Magari yao safari wanaondoka.

Na yule mwingine nae ambaye tulijua Baba yake ni wa Kusini kumbe ni wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini nae pia kutokana na Unafiki wake kwa Kuungana na hawa Wawili ( Wana Majungu Wenzake ) wa Kiomboi na Barabara ya 13 ameshamkera Mnafiki Muoga hivyo nae safari ya Kulima Korosha zake kwa Amani imewadia.
Jamaa wa Lindi anaweza kutupiwa virago, lakini jamaa wa Tanga na Singida hao ni injini ya Hangaya. Hawezi kuwatengua lje mvua au jua.
 
Genta hajamaanisha Ummy hapo, Tanga meant Bumbuli huko kwa kina mtu fudenge.
Hata mimi sikumaanisha Kuruthumu na ndiyo maana nimesema ukimuondoa Kuruthumu. Watanzania bado tuna ujinga mno, mtu unaandika a simple thing anakuja mtu asiyeenda shule kuja kuandika kitu tofauti na kilichoandikwa. Rudi shule dogo, achana na Madrasat.
 
Hata mimi sikumaanisha Kuruthumu na ndiyo maana nimesema ukimuondoa Kuruthumu. Watanzania bado tuna ujinga mno, mtu unaandika a simple thing anakuja mtu asiyeenda shule kuja kuandika kitu tofauti na kilichoandikwa. Rudi shule dogo, achana na Madrasat.
Kuruthumu ndiyo nini!?..madrasat zilikufanya nini au ulifanywa nini ndani ya madrasat!?..shule imekusaidia nini!?..una uhakika siyo mjinga!?
 
Kuruthumu ndiyo nini!?..madrasat zilikufanya nini au ulifanywa nini ndani ya madrasat!?..shule imekusaidia nini!?..una uhakika siyo mjinga!?
Wabishi wengi wanaopenda kubisha bila hata kuwa na facts ni watu wanaotokea madrasat na hawajasoma
 
Ummy aondolewe pale afya.
NHIF imekufa hivi hivi waziri na naibu wake wapo, makatibu wakuu wapo. CAG aliwaonya hakuna hatua zilizochukuliwa kuepusha hili JANGA.
MTU mwenye bima ya taifa kwa Sasa akienda Muhimbili abebe hela za kutosha.
Sasa hivi Mloganzila hakuna Ile nyomi Tena. Watu wsmeanza kwenda kununua dawa kwenye maduka bila ushauri wa daktari, na kwa makanjanja yanayouza hizo dawa, we acha tu, maana wanajua tiba ya kila gonjwa.
 
Back
Top Bottom