Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

Katika Cabinet Reshuffle inayokuja soon 'Matege Ndani' anaenda Kuula, ila wa Tanga, Lindi na Singida mnaondoka

Ummy bi Dada yule hana shida kabisa ni mchapa kazi sana tena ana hekima siyo mjivuni na siyo jambazi na fisadi ni mtu wa watu. Nilienda Tanga hakika simulizi za wapiga kura wake ziko nzuri mno. I wish angekuwa hata makamu wa rais au waziri mkuu au rais ajaye
Mmmmmm umesikia ya upande moja tu ......anajua unafiki balaaa.....suala mudabtu
....
 
Kwani ukiwa / ukitanguliwa huko mbele ya Haki Ukichaa nao unakutoka?
Utimilifu wa mwanadamu ni pale anapokufa

Nafahamu una kichaa na huwezi kuelewa but ukimeza vidonge akili itarudi

Una kichaa kibaya sana
 
Of course ni wale wanaopenda mteremko,
Mimi ningewala Sana Kama ningependa kutumia cheo changu Ila maadili yangu yalinifanya niache. Binafsi naona raha ya mwanamke wa nje akusumbue na kuzunguushwa Sana kabla ya kukupa mzigo.
Wako wanawake vipanga ambao hata huyo mwanaume mkware anaona aibu kumuangalia machoni. Na wako walipo kwa juhudi zao Kama wale mawaziri wawili wa Magufuli.
Mkuu nisandie conection za watu wa Tanroad mimi ni mkandarasi ila kupata kazi imekua ni tatizo NeST nimo kila nikiandika BOQ zangu chali
 
mabadiliko yoyote kwenye govt, hulenga kuisuka vizuri na kuimarisha utenadaji na ufanisi katika kazi ya kuwatumikia wanainchi na kuchochea maendeleo, na si vinginevyo :NoGodNo:
mabadiliko ya serikalini yanalenga kuisuka ccm na si katika kuwatumikia wananchi, huwezi kuwachochea wateule wale kulingana na urefu wa kamba katika ofisi za umma
 
mabadiliko ya serikalini yanalenga kuisuka ccm na si katika kuwatumikia wananchi, huwezi kuwachochea wateule wale kulingana na urefu wa kamba katika ofisi za umma
that is political statement,
you are free to define it at your own perceptions and mindset, no problem.

But what I said, is what you should take and concentrate on it , otherwise enjoy a very beautiful Sunday 🐒
 
Ummy bi Dada yule hana shida kabisa ni mchapa kazi sana tena ana hekima siyo mjivuni na siyo jambazi na fisadi ni mtu wa watu. Nilienda Tanga hakika simulizi za wapiga kura wake ziko nzuri mno. I wish angekuwa hata makamu wa rais au waziri mkuu au rais ajaye
Huu tunaita ni ujinga mwingi. Raisi anayekuja baada ya Samia hata toka kwenye mfumo mliozoea. Ni mtu mpya kabisa
 
Jibu maswali we mbuzi,elimu yenyewe hunizidi,na yes.. nimepita madrasa,ambako nilioneshwa upuuzi wa mtu huyo huyo kuwa Mungu na mwana wa Mungu
Una vituko na hulka kama wale majini na shetani waliomshukia Muddy na kumpa Qur'an
 
Wabishi wengi wanaopenda kubisha bila hata kuwa na facts ni watu wanaotokea madrasat na hawajasoma
Nikusahihishe mkuu,madrasat ni neno la kiarabu likiwa na maana ya madarasa au darasa,unaposema mtu hajasoma Kwa kuwa kaenda madrassat unaharibu lugha,yeyote aliekwenda madrassat maana yake amesoma.
Shukrani Kwa kunisoma
 
Maana yake walikua wakidensi around nyakati za yesu
Yes ila wanarubuni watu ambo wako easily manipulated kama vile Muddy kisha wanawapa kanuni zao wakisingizia kuwa ni vitabu vya Mungu vyenye kutukuza na kufuga majini
 
Yes ila wanarubuni watu ambo wako easily manipulated kama vile Muddy kisha wanawapa kanuni zao wakisingizia kuwa ni vitabu vya Mungu vyenye kutukuza na kufuga majini
Unaropoka tu vitu usivyoviju ka'msenge
 
Back
Top Bottom