Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.Kwamba tunasimika hadi tukakosa furaha hahahaha!
Acheni hizoooo!
Hapa sawa mkuu. Kama upo dar boresha biashara, omba tenda kwa niaba ya wife kwa corparate customers ukipata msaidie awe professional huku mkijibrad kama institution, tanua wigo by the time unakaribia kustaafu kwenye early 50's utaona faida yake. Mkiweza kuwa na mabanda sehemu ambayo hulipi kodi ni BINGO.Wife ana mradi wa kuku wa mayai zaidi ya buku nyumbani, huwezi amini ila kwa mwezi anawapiga overtake wafanyakazi wengi sana wa umma kwa maokoto
Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.
Maneno ya meleta mada sweetehart...
Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.Jamani! Binadamu hatufanani wengine huwezi wabadili hata iweje hio ndio nature yao lo.
Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.
Maneno ya mleta mada sweetheart...
Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.Weeee smart uongo banaaa mbona nasikia wanaume Ndio mkivurugwa huwa mnaeza tembea njiani unajiongelesha dahhh!
HalibSio poaaaaa kumbe
Inasikitisha sana lo sa mnatusaidiaje lakini????Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.
Muelewe mleta mada sweetheart...
Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.Inasikitisha sana lo sa mnatusaidiaje lakini????
Fanyeni manuva muone namna ya kutatua hili tatizo sasa!π
π€£π€£π€£π€£π€£π€!Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Nimenukuu manene ya mleta mada sweetheart wala siyo maneno yangu...π€£π€£π€£π€£π€£π€!
Smart Huendi mbinguni ujueπ!
Kweli zama zimebadilika!
Mmeshajua tatizo tafuteni namna ya kufanya liishe sasa!
Nilishakupigq marufuku kuniquote mpumbavu wewe, usidhanie na wewe huonekani akili yako ilivyo faulty na wewe...Kwann wewe usiongelee 100% yako umuache yeye aongelee 50/50 why haupendi expression ya mawazo ya mwingine? [emoji848]
Hizi ni hulka za maboss wakibongo hakuna cha me wale ke, wengi wao wakiwa na vyeo wanavitumia vibaya kwa kuwanyanyasa wa chini yao. Nafanya kazi na wazungu, na almost maboss wengi wanaokuja ni wanawake, lakini hawajawahi hata kukaripia mfanyanyakazi. Na ni kosa kubwa hata kutoa kejeli hata kwa mfagizi.Mimi sijawahi kufanya kazi na mwanamke akawa hata supervisor huwa naona dharau kubwa sana.
Aisee tulifanya kazi na supervisor wa kike alikuwa ndio ametoka kupata mtoto ananyonyesha mtoto ana kama mwaka na miezi 2. Tulisafiri na yule mtoto wake maana ilikuwa ni kazi ya field na yeye ndie supervisor. Yaani ilikuwa ni Hell kwangu binafsi.
Kwenye gari tupo na mtoto na beki tatu wake na wenzangu watatu pamoja na dereva. Yaani tulikuwa tunapambana na malezi utadhani ile kazi ni day care. Mtoto amedekezwa so ana tantrums za kindezi kulia lia bila sababu. Yaani nilikuwa naomba tumove na kufika haraka location ili tushuke mzee.
Dah halafu ndio wale wadada ambao wana mawenge ingawa yeye personally ni mtu poa habanii ila ni ile kupelekeshana halafu ukionyesha dalili ya kutokubaliana nae anakuona kama tatizo anakumind ile ya utaona kama utapata tena huu mchongo wa kusafiri.
Dah aisee me ndio maana napenda sana kufanya kazi na team za wanaume tupu kusiwe na mademu, mtacheka, mtataniana, mtazinguana, mtatukana kwa uhuru, mtapiga kinywaji, mtapeana makavu. Yaani full amani.
Mambo yao tuwaachie wenyewe loNimenukuu manene ya mleta mada sweetheart wala siyo maneno yangu...
Tatizo jipya ni kwamba binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kila mtu na afanye kinachompa amani. Kuna wanaume wake zao wanafanya kazi na wanaishi vizuri tu na wengine wamewafungulia miradi. Wengine wako tu nyumbani waume zao hata hela ya kula ni shida. Hakuna mantiki eti kila mwanamke afunguliwe biashara,. Lazima kuwe na wanawake walioajiriwa. Kwa hiyo mnataka huko ofisini kuwe na wanaume pekee? Sijui itakuwa ni nchi ya aina gani hii , labda Taliban huko.Wife ana mradi wa kuku wa mayai zaidi ya buku nyumbani, huwezi amini ila kwa mwezi anawapiga overtake wafanyakazi wengi sana wa umma kwa maokoto
Bro huwez kushindana na nature. Nature ilishaset kila kitu kinavyotakiwa kikae. Ukienda kinyume kuna gharama kubwa utalipa. Hata wanawake wanaojifanya ni masingo mother ni suala la muda tu. Ndio wanaologa waume za watu ili na wao wapate wanaume baada ya kuchezea muda.Peace,
Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho, kijamii, kiakili na kua na furaha zaidi ila sasa hali ni tofauti kabisa.
Mazingira ya ajira na kazini yanamfanya mwanamke kua compititive na aggresive akipoteza kabisa ile setup na tone ya mwanamke.
Wanawake wengi japo utawaona katika vyeo tofauti na huko maofisini wakipewa promotions kede kede ila ukiwatizama usoni hakuna nuru wala furaha yoyote yani wamekua mangangari, madumejike fulani kisirani ile hali ya uanamke imewatoka wako na mastress full tank.
Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.
Kuna member mmoja humu jf wiki chache alipost uzi kua "wanaume siku hizi wamepunguza na hawatongozi tena kama zamani" nakubaliana nae kwa 100% hata mimi kutongoza kumepungua sana maana ule utamu wa mwanamke uliotupelekea kutongoza (sio wote) haupo tena njiani unapishana na madume jike tu yamefura visirani sasa nitongoze ligalagala la nini ?!
Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.
Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.
Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.
Nyie ni mashahidi hata masingle mother wanaongezeka kwa kasi ya 4G kwasababu hiki kizazi cha haki sawa hakina ile haiba ya mwanamke ni mangangari ngangari full jeuri.
π€π€π€Kila mtu na afanye kinachompa amani. Kuna wanaume wake zao wanafanya kazi na wanaishi vizuri tu na wengine wamewafungulia miradi. Wengine wako tu nyumbani waume zao hata hela ya kula ni shida. Hakuna mantiki eti kila mwanamke afunguliwe biashara,. Lazima kuwe na wanawake walioajiriwa. Kwa hiyo mnataka huko ofisini kuwe na wanaume pekee? Sijui itakuwa ni nchi ya aina gani hii , labda Taliban huko.
ππππππππMkuu you don't want peace,you want violence always!!Aiseee macomrade mje hapa hii Violence isipoe iwe ya moto naomba mje na kuni za kutosha. View attachment 3002634
Ana matatizo, lugha anazotumia dhidi ya wanawake ni ngumu sana, huyo mkewe ana kazi ya ziada,anyway wote wanaopinga 50/50 ni watu wanaochukia wanawake...wameshuhudia baba zao waki bully mama zao..hivyo wanatafuta wanawake sawa na mama zao watakao accept kuwa bullied, ndio wanahangaika mitandaoni, utawajua tu akili zao zilivyo faulty...kuna profile ht humu ukifuatilia utawajua tu...Af wenzie wanamtetea eti hajaongelea kwa ubayaπ€£ tushawahi kupopoana kwenye mada na huyu jamaa mwaka 2022 alikua anatukana wanawake kinoma. Nahisi kaoa jitu gani sijui au bosi wake ni mwanamke basi anamsumbuaa