Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Ana matatizo, lugha anazotumia dhidi ya wanawake ni ngumu sana, huyo mkewe ana kazi ya ziada,anyway wote wanaopinga 50/50 ni watu wanaochukia wanawake...wameshuhudia baba zao waki bully mama zao..hivyo wanatafuta wanawake sawa na mama zao watakao accept kuwa bullied, ndio wanahangaika mitandaoni, utawajua tu akili zao zilivyo faulty...kuna profile ht humu ukifuatilia utawajua tu...
You said it all. Yani mwanamke anatakiwa awe zombi la mumewe tu hata afanyeje atabaki kuwa mtumwa.

Kuna thread nimetoka kui ona humu sasa hivi ni
Huzuni
Kwakweli ngoja nii share Biashara na mahusiano hayatanitesa kweli?

Kwa mfano huyu mke kwenye hiyo thread akigundua mwanaume wake amezaa na mchepuko na biashara amempa atafanya nini? Na anasema mwanamke wake ana biashara zingine anasimamia. So hili ndio lengo lao la kuwaachisha wanawake zao kazi. Ili wafanye ufirauni wao na wanawake wasiwe na pa kukimbilia maana wanajua kipato chao kiko chini ya huyo mwanaume.

Mi nakwambia ntapopoana na wanaume
Humu hadi kiama and they are very selfish
 
Sheria ya usawa aikua mbaya ila wapokeaji ndio wameipokea vibaya .
Mwanzo kulikua na mila kandamizi ila wao imekuja kuwavimbisha kichwa na kifua wakasahau miongozo ya dini na tamaduni zetu
Sheria ya usawa ni nzuri ila sasa walioletewa wanawake wa kibongo huitumia vibaya mkuu.
Ukiongea nao watakwambia haujiamini,haujajipanga,adui wa mwanamke hautaki mwanamke aendelee.
Hapo wanakuletea mifano ya sijui wajane kudhulumiwa sijui hivi sijui vile.
Yani THEY LIKE PLAYING VICTIM.
Ila mbona upande wa sisi wanaume tupo tunaodhulumiwa,tupo tunaobambikiziwa watoto,tupo tunaosalitiwa ila hatu play victim tunakausha na tunatizama maisha mengine.
Wanaume wangapi wanadhulumiwa mali kwa utemi wa wanawake kudai talaka kwa kusudi ya kugawana mali!??
Ni wangapi mkuu?Wengi sana,ila umesikia mwanaume akihangaika mahakamani!??
Kana kwamba wanaonewa wao tu,kumbe wana mengi wanayafanya ila sie tunayapuuza,hivi na sisi siku tukiamua kufukua makaburi tuwabane kama wanavyotubana itakuaje!!??

Ama kweli mamaangu aliwahi niambie "Tanzania wanawake waliisha vita ya Kagera,baada ya hapo TZ 90% wanazaliwa marapurapu tu ya kuwapasua vichwa kwa stress".
 
Asee we jamaa utakuwa na tatizo mahali siyo bure, trust me you are a pyschopath in denial, you need some serious help..pathetic!!
He is psychopath...hamjamjua tu? Yeye ana devote time na resources zake ( bando) kumjibu kila mtu mwenye ID ya kike kwenye mada zinazohusu wanawake/50/50. Yaani humuoni kwenye mada zingine kama sio upunguwani ni nini?
 
Pambaneni mnavyoweza ila kinachowauma ni kuambiwa ukweli kwamba MEN HAVE LOST THEIR MANHOOD DUE TO INTIMIDATION. Mnaogopa wanawake kujipambania mnadhani wanachukua nafasi zenu kumbe kiuhalisia ni kwamba hamtaki kuwa challenged hata kama hamna akili!
Mwanamke anatafuta hela ili ashindane na mwanaume na siyo kama mwanaume atakosa uanaume wake kwasabb mwanamke hata akiwa na kazi au hela kiasi gani 98% atakuwa tegemezi tu.
Ukimuona mwanamke ni mtoaji basi anaishi pekee yake (anaishi nyumbani) au single mom. Mwanamke aliyeolewa au anaishi na mwanaume atoe hela yake kwa ajili chakula. Huyo mwanamke hayupo😁😁😁😁😁
Nakutana na wanawake wengi wanaojidai wanapambana kutafuta helq, wanaliwa ovyo kwa tamaa ya hela na pia wapigaji mizinga sana. Sijui gesi imeisha, anahitaji hela akamuone mgonjwa yaani ni hela tu
 
Mwanamke anatafuta hela ili ashindane na mwanaume na siyo kama mwanaume atakosa uanaume wake kwasabb mwanamke hata akiwa na kazi au hela kiasi gani 98% atakuwa tegemezi tu.
Ukimuona mwanamke ni mtoaji basi anaishi pekee yake (anaishi nyumbani) au single mom. Mwanamke aliyeolewa au anaishi na mwanaume atoe hela yake kwa ajili chakula. Huyo mwanamke hayupo😁😁😁😁😁
Nakutana na wanawake wengi wanaojidai wanapambana kutafuta helq, wanaliwa ovyo kwa tamaa ya hela na pia wapigaji mizinga sana. Sijui gesi imeisha, anahitaji hela akamuone mgonjwa yaani ni hela tu
Hatutafuti ela ili tulee familia tunatafuta ela ili tujipende na kujipendezesha wenyewe na kuwawekea akiba watoto wetu.

Mwanaume huna uwezo wa kunigharamia kuanzia nywele, mavazi wala aina ya gari uliyonikuta naendesha. Kama ulinioa ili uje unishushe niwe mama ntilie haiwezekani. Pick your level
 
Ulishawahi kujiuliza ni KWA NINI WANAWAKE ILIFIKA MAHALI ILIBIDI NAO WAANZE KUFANYA KAZI NA SIYO KUSUBIRI WAWE MAMA WA NYUMBANI na KUSUBIRI wahudumiwe KILA KITU na waume zao?

Haya mambo yalianza karne ya 19 huko Ulaya na hii badala ya mapinduzi ya Viwanda. Hakuna sababu nyingine ya msingi ni mfumo tu ulianzishwa. Sisi Waafrika tukalivagaa tu.
 
Kwa bahati mbaya sana, mwanaume ana uwezo wa kufanya maamuzi na kutoa ahadi akiwa juu ya kiuno. Na huwa mnakiri kabisa huo ni udhaifu wenu unawapelekea hadi kutelekeza familia zenu. katika hilo haitakaa ije itokee siku nikasikiliza maoni ya kiumbe wa aina hiyo! Sio lazima uioje hiyo hoja ila my take is not all men are men. Wengine mnavaa suruali tu maamuzi mengi wanafanya mama zenu. Bye

Bado unamili mule mule, ndio maana sisi Wanaume huwa tuna msemo wetu tunasema hivi "Sio kila mwanaume ni kama mumeo". Yaani katika Wanaume kuna Wanaume.

Hoja yako bado unawaongelea wale wanaume wenye kukosea. Hoja yako haiwezi kuwa na nguvu na utaishi humo katika kukosea mpaka pale utakapo amua kuuchukua Ukweli.
 
Hii aya ya mwisho ndo umejivua nguo kabisa! Sasa huna kazi huna biashara kipato unapata wapi????! Na wewe ni mwanaume unataka nikusikilize? Nyie mbona kuna vituko humu?!!! Are you seriously a man na unaandika huo utopolo wako mwishoni eti bila kipato unaishi. Ndo mmefanya wanaume wanagombea kuvaa vibukta wapate vipato virahisi

Kwani kuishi kwako wewe unaelewa nini ? Shida nyingine niliyo iona kwako hata maana za maneno pia hujui. Kwahiyo hao ambao hawana kazi wala vipato hawaishi ? Bibie unafikiri kwa kutumia nini ?
 
Bado unamili mule mule, ndio maana sisi Wanaume huwa tuna msemo wetu tunasema hivi "Sio kila mwanaume ni kama mumeo". Yaani katika Wanaume kuna Wanaume.

Hoja yako bado unawaongelea wale wanaume wenye kukosea. Hoja yako haiwezi kuwa na nguvu na utaishi humo katika kukosea mpaka pale utakapo amua kuuchukua Ukweli.
Hivi sio wewe uliesema binadamu hata kama hana kipato ataishi tu? We sija mda wa kubishana na wewe unanichosha ubongo tu
 
Hatutafuti ela ili tulee familia tunatafuta ela ili tujipende na kujipendezesha wenyewe na kuwawekea akiba watoto wetu.

Mwanaume huna uwezo wa kunigharamia kuanzia nywele, mavazi wala aina ya gari uliyonikuta naendesha. Kama ulinioa ili uje unishushe niwe mama ntilie haiwezekani. Pick your level
Ukimuona mwanamke anahudumia mtoto basi ni single mom. kwasababu mwanamke hata akitoa hela yake kununua nguo zake au chakula chake bado atalalamika
Unafanya kazi, unapata hela hata kuweka mafuta kwenye gari ulilonunua bado unalalamika😁😁😁😁😁😁 gari, nywele na mavazi unaona kitu cha thamani sana? 😁😁😁😁
Uliambiwa ukiwa na mwanaume ugharamikiwe? Bado unataka 50/50😁😁😁😁
 
Kwani kuishi kwako wewe unaelewa nini ? Shida nyingine niliyo iona kwako hata maana za maneno pia hujui. Kwahiyo hao ambao hawana kazi wala vipato hawaishi ? Bibie unafikiri kwa kutumia nini ?
Ona sasa.
Mwanaume unaamka unakaza misuli unasema utakula milo hata miwili bila kuwa na kipato?


We jamaa unajielewa kweli ? Kama Ndo unawakilisha wanaume wa humu basi acheni tu niwachukulie ninavyo wachukulia. Huna upeo:

Ebu mwanaume aliekamilika anielezee bila kipato anaishije? Maana sio lazima iwe milioni, yani hata 3000 kwa siku huingizi unapata wapi hela? Unless kama uwe kibaka au upinde.

We jamaa dishi limecheza kinoma
 
Ukimuona mwanamke anahudumia mtoto basi ni single mom. kwasababu mwanamke hata akitoa hela yake kununua nguo zake au chakula chake bado atalalamika
Unafanya kazi, unapata hela hata kuweka mafuta kwenye gari ulilonunua bado unalalamika😁😁😁😁😁😁Uliambiwa ukiwa na mwanaume ugharamikiwe?
Sasa hela ya mume inafanya kazi gani.

Si tumekubaliana nyinyi ndo vichwa vya familia. Fanyeni majukumu yenu. Ya kwetu mtuachie.
Umenikuta navaa nguo za bei, natakiwa kubadilisha baada ya mwaka nikikuomba unasema huna hivi una utindio nini?! Nyie wapumbavu sana nawaambia mwanamke ajipambanie tu apate ela za kujikimu yeye na akiba ya wanae. Fullstop
 
Na hapo unakuta mwanamke kakubali kuolewa na mwanaume anaepakua na kupakuliwa, wanawake tuna huruma sana.

Kubalini tu kwamba Mungu amewapokonya mamlaka kiakili kwasababu ameona hamna pa kuyatumia.

Mwanaume anaamka asubuhi anabaka kuku af unataka uje uniambie huyo mwanaume nimpe heshima?

Hao wema wananyuke wawakanye wenye vilema vya akili. Men, you have alot of work to do kurekebisha mfumo wa magonjwa ya afya ya akili
Mlionayo kuliko matatizo waliyonayo
Wanawake.

Utindio mwengine wa akili
Ni huu:
Mwanaume Ana mke
Ila anachepuka, anaechepuka nae ni mwanamke wa mwanaume mwengine. Ila akimkuta mke wake halali anachepuka anamchinja. Sasa huwa najiuliza, kwani yule
Ambae sio Mkeo na ukawa unachepuka nae ni kiumbe cha kuchora au?

Huwa mnataka wanawake wenye heshima lakini mnachepuka na wale wanaojirahisisha. Don’t you see that you are the ones who need psychological assistance? Fools
 
Uhalisia ni kwamba sio afrika tu mimi huwa napita huko Twitter kwenye page za wazungu huko mbele wanaowapa makavu mafeminist wanapost video nyingi sana za mabinti Generation Z na hata millennials wakiwa wanaongea wenyewe kwenye video post wakilaani sana mafeminist kuwaharibia future kwann hawakujisemea wao kama wao hadi wakawasemea generation ambayo sio yao na matokeo yao wao ndio wanakuja kuteseka kujitafuta na kutumia 90% ya income kulipa bills plus wana madeni ya mikopo ya chuo na life ni gumu sana wanakosa muda wa bata.

So unachosema sio kwa afrika tu ni duniani kote especially Western countries ingawa kwa mataifa kama urusi, Asia na uarabuni sio sana sababu wanaendesha maisha yao kitofauti sana ila sisi wazee wa kugeza ndio wanawake wetu wamekalia kuti kavu. Bills wanalazimika kujilipia wanaume wamepunguza kuoa na siku zinavyozidi kwenda alot of unmarried women rate inaongezeka of which watakuja teseka baadae umri wa utu uzimani maana watakuwa ni wao pekee yao.

Walishazoea wakifika umri huo wanategemea mirathi, au hela mafao za mwanaume kufanya maisha sasa kwa life hili la bongo, cost zilivyo juu, mtu hana mume wa kusapotiana nae, hana mafao, hawezi danga mwili umeshachakaa, wataishi vipi, kwa kutegemea watoto wao, na hao watoto nao wanaishi vipi sasa na wana majanga yao? [emoji848]
Hapo nilipobold, naomba kukukosoa, ni kawaida ya binadamu kutamani kitu asichokijua/asichokiishi, nina uhakika hao wanawake waaolalamikia feminism imewaharibia future ni kwasababu hawajaishi era ya ambayo mwanamke hakuchukuliwa serious katika jamii. Si ajabu same woman angeishi era nyingine bado angelalamika na angekuwa wakwanza kupinga sera za kumkandamiza mwanamke/kutokumpa usawa mwanamke. Kuna watu kazi yao ni kulalamika katika majira yote ma4 ya mwaka. Hivyo hao watu wanawake wachache/wengi hawatoshi kuconclude kuwa feminism is worse, I understand feminism is worse kwa mwanaume, sababu ina " bleach ego ya kiume moja kwa moja" Lakini kwa uhakika kwa upande wa kike feminism ina faida 100.

However feminism haiendani na wanawake wavivu, wavivu wa masomo, wavivu wa kazi, wavivu wa biashara etc,


Kuna mtu amewauliza swali huko juu, je? Wanawake wa zamani wote waliolewa? Walioolewa Walitunzwa na waume zao? Baadhi hawakuachika? Sasa huyo mwanamke ambaye situation kama hizi zitamtokea tunamuaccomodate vipi ili likimpata aweze kusimama? Tunaishi katika ulimwengu ambao transaction inafanyika kwa pesa, kwahiyo kivyovyote, mfumo uruhusu mtu yeyote ajipambanie kuitafuta, Lengo la feminism si baya, kwanini mnaipaint kwa ubaya??

Tujadilini uhalisia tuache mihemko ya kujipendelea, ukweli hauna demokrasia, ukweli ni ukweli hata kama wanaoutetea ni wawili against watu bilioni 4. Mnaishi wapi huko ambako mwanamke wa zamani alikuwa anaenjoy kuliko mwanamke wa sasa? Tafadhali mtuambie tukafanye utafiti, maana sisi wengine ni "watafiti by professional " .
 
Hatimaye umenifikia. Karibu sana.

Hivi unajua Feminism ilipotokea? Na je unajua misingi yake? Na je una fahamu utofauti mkubwa uliopo baina ya feminism ya mababu zetu na hii yenu sasa? Je unatambua kuwa feminism hii ya sasa ambayo ninyi mnaitumia vibaya ndio ina madhara hususan kwa mwanamke mwenyewe?

Miongoni mwa wengi ikiwemo wewe kiongozi wao mnadhani kuambiwa kumnyenyekea mwanaume ni utumwa.
Huenda mafanikio yako yanakufanya usimame kifua mbele na kujiona unaweza kufanya vingi kuliko mwanaume au sambamba na mwanaume.
Lakin kwetu sisi wanaume hatuoni kifua mlichonacho zaidi ya chakula cha watoto zetu.

Ukiweza kuelewa utofauti wa feminism ya karne ya 19 na hii ya sasa basi utatumia jitihada zako kuwafunza wanawake wenzako kutovuka mipaka na sio kujibizana na wanaume

SIKUFUNDISHI NAKUKUMBUSHA.
🤣

Hii haikuwa yangu ila naomba kuuliza, hivi kwanini likija suala la ustawi wa kijamii mnamkomalia sana mwanamke? Mwanaume amewekewa expectations zipi ili akikutana na mwanamke mnyenyekevu jamii iwe nzuri? Wanaume unaowaona mtaani kwako unadhani ni wangapi wanafaa kunyenyekewa na mwanamke? Inreturn mwanamke apate nini?

Narrations za JF zinampaint mwanamke kama kiumbe aliyekengeuka, while mwanaume ni kiumbe aliyenyooka kama rula, na hata mwanaume akikengeuka basi hiyo ni fault ya mwanamke na mwanamke aliyekengeuka pia ni fault ya mama yake, guys mpo serious kweli katika kuanalyse mambo yanayoihusu jamii yetu ??? Kitu cha uhakika ni kuwa kama jamii yetu imeharibika tukiendelea kutupiana mpira hakuna chochote tunasolve zaidi ya kulumbana na kusimangana, ndicho nachokiona hapa.

Feminism imekuwa na era tofauti tofauti ambazo lengo lake ni moja nalo ni kumkomboa mwanamke kwenye mifumo ya ukandamizaji kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa... unaweza kutuambia zaidi kuhusu feminism ya karne hiyo na hii?
 
He is psychopath...hamjamjua tu? Yeye ana devote time na resources zake ( bando) kumjibu kila mtu mwenye ID ya kike kwenye mada zinazohusu wanawake/50/50. Yaani humuoni kwenye mada zingine kama sio upunguwani ni nini?
Halafu bora hata angekuwa na hoja sasa, akiona ameshindwa hoja anaanza kutafuta tuvikauli twa kujifariji na kukushambulia ili uonekane huna hoja na una matatizo, kifupi jamaa ni bingwa wa kujitafutia points za ushindi nje ya mada huo ndio ujanja wake
 
Mimi ni mwanaume na napingana na dhana ya Mwanamke kutokufanya kazi,

kama huna mwalimu wa kukufundisha hili basi tazameni hata nature tu inatufundisha......Kuanzia kwa ndege, Simba jike, hata swala viumbe vyote hivyo na vinginevyo ambavyo sijaviorodhesha huhusika katika kuwatafutia chakula watoto wao na wao wenyewe.

Suala la 50/50 halihusiani kabisa na ufanyaji wa kazi wa wanawake ila kuna categories tu ya kazi ambazo mwanamke hatakiwi kuzifanya mfano kazi zitakazomlazimu kuludi saa 5 au 6 usiku au pengine kulala kazini, maana zitayumbisha ndoa kwa sababu fulani fulani kama wivu na usalama wake binafsi,

Kuhusu suala la ufeminism hilo wala halihusiani na wanawake wafanyao kazi maana wapo wanawake wasiofanya kazi wanaotegemea wanaume na bado ni mafeminist wa kiwango cha juu kuliko wafanyao kazi.


Tabia na malezi ya familia ndo huchangia sehemu kubwa ya wanawake mafeminist....tukirekebisha hili hilo tatizo litaisha kabsa,

Mfano wa kufungia comment yangu ni kwamba ni rahisi zaidi kumpata Mwanamke asiye na kazi.....kuliko kutumia pesa kama njia ya kumpata Beyonce.

WANAWAKE MFANYE KAZI DUNIA IMEBADILIKA THIS IS "GENERATION Z"
 
Wanaume wanaohamia kwa wanawake, hachangii hata shillingi ndani, alafu anataka apange yeye maisha🤣 kwakuwa yeye ni mwanaume.

Hapa mafufu anamzungumzia shilole na watoto wake sijui kina rommy yani wanaume kama hawa nao wanakuja kujibizana jf!

Wanaume siku hizi mmefanya ngono kama mitaji na ndo maana mnadharaulika.

Em fanyeni kazi kwa bidii mtuzidi vipato simni katika uanaume na sio kwenda kuwa vibenten.



 
Hii haikuwa yangu ila naomba kuuliza, hivi kwanini likija suala la ustawi wa kijamii mnamkomalia sana mwanamke? Mwanaume amewekewa expectations zipi ili akikutana na mwanamke mnyenyekevu jamii iwe nzuri? Wanaume unaowaona mtaani kwako unadhani ni wangapi wanafaa kunyenyekewa na mwanamke? Inreturn mwanamke apate nini?

Narrations za JF zinampaint mwanamke kama kiumbe aliyekengeuka, while mwanaume ni kiumbe aliyenyooka kama rula, na hata mwanaume akikengeuka basi hiyo ni fault ya mwanamke na mwanamke aliyekengeuka pia ni fault ya mama yake, guys mpo serious kweli katika kuanalyse mambo yanayoihusu jamii yetu ??? Kitu cha uhakika ni kuwa kama jamii yetu imeharibika tukiendelea kutupiana mpira hakuna chochote tunasolve zaidi ya kulumbana na kusimangana, ndicho nachokiona hapa.

Feminism imekuwa na era tofauti tofauti ambazo lengo lake ni moja nalo ni kumkomboa mwanamke kwenye mifumo ya ukandamizaji kiuchumi, kiutamaduni na kisiasa... unaweza kutuambia zaidi kuhusu feminism ya karne hiyo na hii?
Cc Zemanda ukirudi Hapa naomba usiache kuijibu hii Comment please 🙂🙂
 
Back
Top Bottom