Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
punga mimi😂😂Kwahiyo 50/50 ndo sababu pekee ya single mothers wengi tz? Wanaume wanavyotelekeza watoto hawana makosa! Punga we
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punga mimi😂😂Kwahiyo 50/50 ndo sababu pekee ya single mothers wengi tz? Wanaume wanavyotelekeza watoto hawana makosa! Punga we
Punga sese 🚮Sisi tumebahtika kuoa wanawake sio majike dume kama wewe!!
Na hii ikanifanya niandike wosia mapema Nikifa MkeWangu Asiolewe
kazi yake ni mama wa nyumbani mlezi na mlinzi wa family.
kilichobaki sasa kwa wasio jielewa kama nikuomba papuchii kwa lugha zote akinpa tu napita ndukii kama upepo no kwa heri tena 😂 😂 😂
punga mimi pro max 😂 😂Punga sese 🚮
Well presented, huwa tunasema humu wanadhani tunawachukia, kimsingi dunia haiko fair, na haiko fair zaidi kwa mwanaume. Na kwasababu wanaume ni waume zetu, ni ndugu zetu, kaka na wadogo zetu, tunawapaga situation ilivyo kwa ground ila wanatujibu kwa "Ego", ulishawahi kuona mtu amenyamaza ila ego inaongea??My guy you re better than this.... this is a dumb writing
1. Nna first hand experience ya psychiatric wing, as of then wanawake wengi watu wazima waliokua wanachukua dawa sababu ya mahusiano ilikua ni sababu ya stress za kushindwa kuachilia toxic marriages sababu ya sababu mbalimbali ESPECIALLY WATOTO
2. Most men hawanywi antidepressants but huko duniani ambako hili swala limeshika kasi ndo wanaongoza kwa SUICIDE mfano UK wanaume 18-45 yrs are likely to die by SUICIDE THAN ANY OTHER REASON
3. Ukienda CTC pale kwenye grid ya taifa couple ambazo mwanamme anakunywa dawa mama mzima ni nyingi kuliko mama anakunywa ARV then baba hanywi... lakini huko mbele sidhani kama kutakua na mtu wa kuishi na mume muathirika wakati yeye ni mzima
HII VITA HAINA FAIDA KWA UPANDE WOWOTE LAKINI MEN ARE MORE AT A LOOSING END
1. Mwanamke ni social being , a divorced woman ana support kubwa socially kuliko mwanaume
2. Utampa mimba mwanamke lakini watoto are more likely kuishia na yeye unless dishi limeyumba
3. Ni rahisi mwanamke wa miaka 30 ambae hajaolewa kukaa nyumbani bila masimango especially akiwa na kazi kuliko mwanaume at the same circumstance, sasa nyumbani kuna community it's hard to be lonely
4. Mwanaume mpweke ni rahisi kuwa mlevi na kuwa malaya, uchumi na afya vikiyumba basi he is more likely kujiua tu lakini mwanamke mpweke sanasana atakimbilia kanisani na hospitali kama ana elimu kidogo, akifika huko support ni kubwa mno bado marafiki, ndugu na jamaa
5. Kwenye hii dunia yenye vijana marioo, wajane wengi wenye uwezo hawatokua lonely, as much as mwanaume anaweza oa kibinti na mjane anajichukulia kimarioo life goes on, tunawaona wakina shishi wanabadili vijana tu
SO HOPEFULLY MNABISHANA HUMU MITANDAONI LAKINI GROUND MNA COMPANIONSHIPS HEALTHY SABABU MWISHO WA SIKU A HEALTHY RELATIONSHIP IS GOOD FOR THE SOUL, BODY AND SPIRIT AND ITS A BONUS KUENDELEA KUJAZA DUNIA KWA WATOTO WENYE AKILI TIMAMU
Umenichekesha eti masharti ya IMF 🤣😁🤣Baambie baelewe. In GenZ kila kitu ni pesa, nani atakupa pesa for the rest of your fycking life huh!!! 😂😂😂
Fortunately nimewahi pata bahati ya kupewa hela, kiasi fulani cha pesa " Significant " Asikwambie mtu hela ya mwanamume ina masharti jamani yale ya IMF yana nafuu 🤣🤣 Au labda mi nina bahati mbaya, na utii wangu pia una mushkeli.?
Unalinganishaje sasa kamasi na bao za multiple gangbangers ulizopitia hadi zimekujaa mwilini unakuwa na jazba za kuachwa? [emoji848]Ungekua unatumia kichwa cha juu kuwaza ungeona comment yangu inayosema kuhusu mwanamke alitangulia kufa inakuwaje ila kwa kuwa una bichwa limejaa kamasi sina mda wa kukuelezea.
Unamaanisha kushikishwa ukuta wakati unapelekewa moto standing position au sijakupata vema dear feminaz 304?[emoji848]Mawakili peke yao ndo wanaozijua kuta za mahakama? We unanyonya bado ukishiba maziwa unapiga kelele
Of course nanyonya maziwa ya mke wangu mwanamke anayejielewa, na nikifika climax lazima niachie shuzi na ukelele kama simba dume kwa nguvu hadi majirani wanatamani kupiga simu TANAPA kuwaambia kuwa Mufasa wa Serengeti yupo kwenye makazi ya watu.Mawakili peke yao ndo wanaozijua kuta za mahakama? We unanyonya bado ukishiba maziwa unapiga kelele
Tulia wewe, tumbaku au ugolo? Sasa kama hautaki kuwa quoted si ukae kimya.Nilishakupigq marufuku kuniquote mpumbavu wewe, usidhanie na wewe huonekani akili yako ilivyo faulty na wewe...
Umeshasema wazungu. Wazungu wanapractice vitu kiprofessional. Mwanamke mnaweza toka out lakini ikifika muda wa kulipa bill atazama mfukoni kuta bill na hatochukulia sijui yeye ni mwanamke basi alipiwe never.Hizi ni hulka za maboss wakibongo hakuna cha me wale ke, wengi wao wakiwa na vyeo wanavitumia vibaya kwa kuwanyanyasa wa chini yao. Nafanya kazi na wazungu, na almost maboss wengi wanaokuja ni wanawake, lakini hawajawahi hata kukaripia mfanyanyakazi. Na ni kosa kubwa hata kutoa kejeli hata kwa mfagizi.
Hekima ni tabia ya mtu , mwanamke anaweza asiwe na hata mia lakini akawa kiburi kwa mume wake, na anaweza awe amesoma , ana kipato kikubwa lakini awe na heshima sana. Wabongo wengi wanajifanya wana heshima kumbe sio, wakipata vimali kidogo ndio utajua rangi zao halisi. Mtu mwenye hekima ya kweli hawezi dharau mtu yoyote yule hapa duniani hata kama ana utajiri.
I want violence [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu you don't want peace,you want violence always!!
Naona ninyi ndio mlio experience hayo mambo maana ndio mlikuja kupinga tulipohoji why 50/50 ina haribu badala ya kuimarisha ustawi wa jamii.Ana matatizo, lugha anazotumia dhidi ya wanawake ni ngumu sana, huyo mkewe ana kazi ya ziada,anyway wote wanaopinga 50/50 ni watu wanaochukia wanawake...wameshuhudia baba zao waki bully mama zao..hivyo wanatafuta wanawake sawa na mama zao watakao accept kuwa bullied, ndio wanahangaika mitandaoni, utawajua tu akili zao zilivyo faulty...kuna profile ht humu ukifuatilia utawajua tu...
Psychopath my foot. I have exposed you. And now you are upset that i can smell your cheap talk.Asee we jamaa utakuwa na tatizo mahali siyo bure, trust me you are a pyschopath in denial, you need some serious help..pathetic!!
Maboss wa kibongo wengi ni wanyanyasaji, iwe ke au me.Umeshasema wazungu. Wazungu wanapractice vitu kiprofessional. Mwanamke mnaweza toka out lakini ikifika muda wa kulipa bill atazama mfukoni kuta bill na hatochukulia sijui yeye ni mwanamke basi alipiwe never.
Ila njoo bongo, mkeo hata alipwe milioni kumi wewe million moja anakwambia its romantic for a man to pay kumbe wizi mtupu.
Upande wa management please usiongelee jambo ambalo halijawahi kukukuta. Uliza waliowahi fanya kazi chini ya maboss wanawake watakwambia. Mimi nimeshapitia so ninaongea nilichokiona sio tu kuambiwa.
Nilikuwa sijui kuwa ni fan wangu, anyways, sasa kama mimi ni psychopath, what does it make you, following up on my tendencies and habits? Mis detective Anita Makirita, we should get a drink together sometime when you are free mmmmmmhmn?He is psychopath...hamjamjua tu? Yeye ana devote time na resources zake ( bando) kumjibu kila mtu mwenye ID ya kike kwenye mada zinazohusu wanawake/50/50. Yaani humuoni kwenye mada zingine kama sio upunguwani ni nini?
Sasa si useme tu kuwa unataka kuwa mdangaji mbona unazunguka sana.Hatutafuti ela ili tulee familia tunatafuta ela ili tujipende na kujipendezesha wenyewe na kuwawekea akiba watoto wetu.
Mwanaume huna uwezo wa kunigharamia kuanzia nywele, mavazi wala aina ya gari uliyonikuta naendesha. Kama ulinioa ili uje unishushe niwe mama ntilie haiwezekani. Pick your level
Wapi wewe acha maneno ya kujifanyia skimming wewe.Halafu bora hata angekuwa na hoja sasa, akiona ameshindwa hoja anaanza kutafuta tuvikauli twa kujifariji na kukushambulia ili uonekane huna hoja na una matatizo, kifupi jamaa ni bingwa wa kujitafutia points za ushindi nje ya mada huo ndio ujanja wake
Unajitag mwenyewe ili tuone ni watu wawili acha bange wewe. Unakuwa na ma'account double ya kazi gani unasumbuliwa na multiple personality disorder?[emoji23][emoji23]Huyo ni taaira wa kidigitali