My guy you re better than this.... this is a dumb writing
1. Nna first hand experience ya psychiatric wing, as of then wanawake wengi watu wazima waliokua wanachukua dawa sababu ya mahusiano ilikua ni sababu ya stress za kushindwa kuachilia toxic marriages sababu ya sababu mbalimbali ESPECIALLY WATOTO
2. Most men hawanywi antidepressants but huko duniani ambako hili swala limeshika kasi ndo wanaongoza kwa SUICIDE mfano UK wanaume 18-45 yrs are likely to die by SUICIDE THAN ANY OTHER REASON
3. Ukienda CTC pale kwenye grid ya taifa couple ambazo mwanamme anakunywa dawa mama mzima ni nyingi kuliko mama anakunywa ARV then baba hanywi... lakini huko mbele sidhani kama kutakua na mtu wa kuishi na mume muathirika wakati yeye ni mzima
HII VITA HAINA FAIDA KWA UPANDE WOWOTE LAKINI MEN ARE MORE AT A LOOSING END
1. Mwanamke ni social being , a divorced woman ana support kubwa socially kuliko mwanaume
2. Utampa mimba mwanamke lakini watoto are more likely kuishia na yeye unless dishi limeyumba
3. Ni rahisi mwanamke wa miaka 30 ambae hajaolewa kukaa nyumbani bila masimango especially akiwa na kazi kuliko mwanaume at the same circumstance, sasa nyumbani kuna community it's hard to be lonely
4. Mwanaume mpweke ni rahisi kuwa mlevi na kuwa malaya, uchumi na afya vikiyumba basi he is more likely kujiua tu lakini mwanamke mpweke sanasana atakimbilia kanisani na hospitali kama ana elimu kidogo, akifika huko support ni kubwa mno bado marafiki, ndugu na jamaa
5. Kwenye hii dunia yenye vijana marioo, wajane wengi wenye uwezo hawatokua lonely, as much as mwanaume anaweza oa kibinti na mjane anajichukulia kimarioo life goes on, tunawaona wakina shishi wanabadili vijana tu
SO HOPEFULLY MNABISHANA HUMU MITANDAONI LAKINI GROUND MNA COMPANIONSHIPS HEALTHY SABABU MWISHO WA SIKU A HEALTHY RELATIONSHIP IS GOOD FOR THE SOUL, BODY AND SPIRIT AND ITS A BONUS KUENDELEA KUJAZA DUNIA KWA WATOTO WENYE AKILI TIMAMU
First of all just because you didn't understand what i wrote then you automatically psychoanalyse my reply as a dumb fact, be careful with your sense of humor.
1.By then is when and ukisema wanawake then what group of women are you referring to? [emoji848] Anyways, my statistics are of recent studies, i listened to those statistics on a podcast they were talking about mental health and certified experts where on the podium speaking so i don't know where unakuja na hizi accusations zako kuwa am not speaking facts. Sababu za stress na depression hutofautiana bara, inchi, na race. Sasa mimi niliongelea statistics za USA na UK na pia walizungumzia africa na Asia.
2.Well still hii hoja yako haijaondoa the fact kwamba wanawake ndio wanaongoza kwa kupambana na depression na kutumia antidepressants kushinda wanaume. Hata kama wote wanakuwa depressed but ni yupi anaekadiriwa kutumia vidonge vya antidepressants kabla ya mwenzake?
3. Again how is this related to depression and women being on the higher percentage of future antidepressants consuming patients? What is CTC anyways? [emoji848]
HII VITA HAINA FAIDA KWA UPANDE WOWOTE LAKINI MEN ARE MORE AT A LOOSING END
NANI KASEMA KUNA VITA KWANZA KABLA HATA HATUJA JADILI HIZO FAIDA AU HASARA, VITA YA NANI NA NANI? AND MEN ARE AT A LOOSING END FOR WHAT?
1. So unasemaje kuwa men aren't social beings? By social what are you referring to? Men have friends, kids, family, clubs, work associates, schoolmates, who do you call these groups? Not social groups? So when men divorce they are also subject to rejections from these groups or?[emoji848]
2.True but unafuatilia trend ya sasa ya wanawake na watoto by large scale? Watoto kuwakubali mama zao was the case and a thing in the past but do you follow on the recent trends of parenting especially single mothers? Please do your homework well sir.
3.Sidhani kama umeobserve maisha ya binti wa miaka 30 ambaye anaishi kwao, kiwango chake cha stress na kukosa furaha ukilinganisha na mwanaume anayeteseka na maisha ila anaishi geto kwake. Kwa kifupi mwanamke anaeishi kwao at 30 ni sawa na mwanaume wa miaka 50 aliyefilisika na kuwa bankrupted wakati alikuwa na mali na utajiri. You need to observe them well nenda kaongee nao utasikia wanasema nini. Kuzungukwa na watu ambao hawaelewi unachopitia haikupi guarantee ya kuwa na company, unaweza kuwa twice lonely kuliko ungekuwapo mwenyewe.
4.Siwezi kuongelea eneo la ulevi sababu its true most of times wanaume hukimbilia ulevi wanapokuwa katika mazingira ya ugumu wa maisha. But last time nilisikia takwimu za uraibu wa dawa za kulevya, ikiwamo shisha, na hizi narcotics zingine wanawake wa umri wa mdogo na wakati walikuwa wanaongoza kuwashinda wanaume. Na mazingira wanayotumia pia pombe ipo plus ulevi wa wanawake umeongezeka ushahidi ni ongezeko la beer pendwa za wanawake kama Savannah, flying fish, Kilimanjaro lite, desperado, wine, na kadhalika ambazo sio brand zinazopendwa na wanaume sababu ya sukari. Fuatilia hiyo habari nimekupasha.
5.Nadhani kitu usichofahamu kuhusu wakubwa kudate wadogo ni kwamba sugar daddies wanachopata kwa mabinti ni tofauti na Cougars wanachopata kwa Marioo. Its very common kwa mwanaume mtu mzima kusettle na mwanamke aliye nusu ya umri wake at the same time its uncommon for a grown woman kusettle na kuishi kwa utulivu na kijana mwenye umri nusu ya wake.
Sugar daddies wanataka mahaba so not necessarily watakuwa na mabinti kwasababu za ngono bali ni ile mtu wa kubembelezana nae. Na hutokea hawa mabinti wakalowea na kuishi na hawa wazee hadi uzeeni wanapofariki. On the other side most cougars wapo after sex na affection something which doesn't last more than 5 years sababu wanawake wa age huwa wana tabia ya kudominate sana hawa young bloods na kuwacontroll jambo ambalo huwa linafanya mahusiano kuwa short-lived. Eg, tazama shilole na Nuhu mziwanda, uchebe, na sasa huyu bwana mdogo wa sasa, Aunt Ezekiel na yule mchezaji wa diamond na huyu kijana waliekuwa wanamgombania na rubby. Marioo after sometime wanakuwa in search for a new cougar au sugar mummy maana aliyezoeana nae anakuwa ameshamzoea na hampi tena msisimko.
AM ALL GOOD WITH MINE, SHIDA NI HAWA WADADA KU ARGUE NA SISI AS IF WAO WANAFANYA TOFAUTI. WANAPOGA KELELE HAPA SIJUI MIMI MWANAUME THIS AND THAT, WAKITOKA HAPO WANAENDA KULALIA VIFUA VYA WANAUME ZA WATU WA WANAKWENDA KUWA WAPOLE MAANA WAKILETA KELELE WANACHEZEA MAKOFI KAMA KAWAIDA.