Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Mimi ni mwanaume na napingana na dhana ya Mwanamke kutokufanya kazi,

kama huna mwalimu wa kukufundisha hili basi tazameni hata nature tu inatufundisha......Kuanzia kwa ndege, Simba jike, hata swala viumbe vyote hivyo na vinginevyo ambavyo sijaviorodhesha huhusika katika kuwatafutia chakula watoto wao na wao wenyewe.

Suala la 50/50 halihusiani kabisa na ufanyaji wa kazi wa wanawake ila kuna categories tu ya kazi ambazo mwanamke hatakiwi kuzifanya mfano kazi zitakazomlazimu kuludi saa 5 au 6 usiku au pengine kulala kazini, maana zitayumbisha ndoa kwa sababu fulani fulani kama wivu na usalama wake binafsi,

Kuhusu suala la ufeminism hilo wala halihusiani na wanawake wafanyao kazi maana wapo wanawake wasiofanya kazi wanaotegemea wanaume na bado ni mafeminist wa kiwango cha juu kuliko wafanyao kazi.


Tabia na malezi ya familia ndo huchangia sehemu kubwa ya wanawake mafeminist....tukirekebisha hili hilo tatizo litaisha kabsa,

Mfano wa kufungia comment yangu ni kwamba ni rahisi zaidi kumpata Mwanamke asiye na kazi.....kuliko kutumia pesa kama njia ya kumpata Beyonce.

WANAWAKE MFANYE KAZI DUNIA IMEBADILIKA THIS IS "GENERATION Z"
Kunywa soda kreti kwa mangi ntalipa. Asantee
 
Na hapo unakuta mwanamke kakubali kuolewa na mwanaume anaepakua na kupakuliwa, wanawake tuna huruma sana.

Kubalini tu kwamba Mungu amewapokonya mamlaka kiakili kwasababu ameona hamna pa kuyatumia.

Mwanaume anaamka asubuhi anabaka kuku af unataka uje uniambie huyo mwanaume nimpe heshima?

Hao wema wananyuke wawakanye wenye vilema vya akili. Men, you have alot of work to do kurekebisha mfumo wa magonjwa ya afya ya akili
Mlionayo kuliko matatizo waliyonayo
Wanawake.

Utindio mwengine wa akili
Ni huu:
Mwanaume Ana mke
Ila anachepuka, anaechepuka nae ni mwanamke wa mwanaume mwengine. Ila akimkuta mke wake halali anachepuka anamchinja. Sasa huwa najiuliza, kwani yule
Ambae sio Mkeo na ukawa unachepuka nae ni kiumbe cha kuchora au?

Huwa mnataka wanawake wenye heshima lakini mnachepuka na wale wanaojirahisisha. Don’t you see that you are the ones who need psychological assistance? Fools
Cc Zemanda usisahau na Hii
 
Mkuu kama hujampata mleta uzi basi hivi unavyofoka hapa ndio hasa lengo la uzi wake...

Kwa nilivyomuelewa hajataka wanawake msifanye kazi, ila kufanya kwenu kazi kunawatesa wenyewe.

Si unaona hata wewe ulivyopanick hapa kwa reply ndefu ndefu, ndicho alichomaanisha. Kidogo tu tayari mshawaka, mnahisi mnadharaulika so mnajilinda kwa maneno makali mpaka matusi sometimes, wakati ni ishu ndogo tu hii.
Mazaa kawaka kichizi ataki kujua 😂😂😂🤣🤣
 
Kunywa soda kreti kwa mangi ntalipa. Asantee
☺ Asante huo ndo ukweli, mwanamke bila kujitegemea kiuchumi hunyanyasika sana na wanaume wanaotumia mwanya wa matatizo yake kujinufaisha wao na tamaa zao,

Hata nikipata mtoto wa kike nitamlea katika misingi ya kumheshimu mwanaume ila pia ni lazima ajue kutafuta hela ili kutotegema Mwanaume kiuchumi,

Kumtegema mwanaume kiuchumi ni anguko kubwa sana kwa wanawake wengi, Nafurahi kuona kizazi hiki kimeushtukia huo mtego na wameanza kujinasua.....hiki ni kizazi chenye akili sana. Nikiwa kama Mwanaume naunga tu hoja bora mwanamke ajitegemee kiuchumi ili kukwepa manyanyaso madogo madogo na kunajisiwa kwa kutumia udhaifu wa kutojiweza kiuchumi kwa mwanamke.
 
☺ Asante huo ndo ukweli, mwanamke bila kujitegemea kiuchumi hunyanyasika sana na wanaume wanaotumia mwanya wa matatizo yake kujinufaisha wao na tamaa zao,

Hata nikipata mtoto wa kike nitamlea katika misingi ya kumheshimu mwanaume ila pia ni lazima ajue kutafuta hela ili kutotegema Mwanaume kiuchumi,

Kumtegema mwanaume kiuchumi ni anguko kubwa sana kwa wanawake wengi, Nafurahi kuona kizazi hiki kimeushtukia huo mtego na wameanza kujinasua.....hiki ni kizazi chenye akili sana. Nikiwa kama Mwanaume naunga tu hoja bora mwanamke ajitegemee kiuchumi ili kukwepa manyanyaso madogo madogo na kunajisiwa kwa kutumia udhaifu wa kutojiweza kiuchumi kwa mwanamke.
Ndo wanaamini ili mwanaume awe amekamilika basi akifika nyumbani kila mtu atetemeke kuanzia mama, watoto hadi mapazia. Yani wana inferiority complex ya kiwango cha juu
 
Mimi ni mwanaume na napingana na dhana ya Mwanamke kutokufanya kazi,

kama huna mwalimu wa kukufundisha hili basi tazameni hata nature tu inatufundisha......Kuanzia kwa ndege, Simba jike, hata swala viumbe vyote hivyo na vinginevyo ambavyo sijaviorodhesha huhusika katika kuwatafutia chakula watoto wao na wao wenyewe.

Suala la 50/50 halihusiani kabisa na ufanyaji wa kazi wa wanawake ila kuna categories tu ya kazi ambazo mwanamke hatakiwi kuzifanya mfano kazi zitakazomlazimu kuludi saa 5 au 6 usiku au pengine kulala kazini, maana zitayumbisha ndoa kwa sababu fulani fulani kama wivu na usalama wake binafsi,

Kuhusu suala la ufeminism hilo wala halihusiani na wanawake wafanyao kazi maana wapo wanawake wasiofanya kazi wanaotegemea wanaume na bado ni mafeminist wa kiwango cha juu kuliko wafanyao kazi.


Tabia na malezi ya familia ndo huchangia sehemu kubwa ya wanawake mafeminist....tukirekebisha hili hilo tatizo litaisha kabsa,

Mfano wa kufungia comment yangu ni kwamba ni rahisi zaidi kumpata Mwanamke asiye na kazi.....kuliko kutumia pesa kama njia ya kumpata Beyonce.

WANAWAKE MFANYE KAZI DUNIA IMEBADILIKA THIS IS "GENERATION Z"

Baambie baelewe. In GenZ kila kitu ni pesa, nani atakupa pesa for the rest of your fycking life huh!!! 😂😂😂

Fortunately nimewahi pata bahati ya kupewa hela, kiasi fulani cha pesa " Significant " Asikwambie mtu hela ya mwanamume ina masharti jamani yale ya IMF yana nafuu 🤣🤣 Au labda mi nina bahati mbaya, na utii wangu pia una mushkeli.?
 
Halafu bora hata angekuwa na hoja sasa, akiona ameshindwa hoja anaanza kutafuta tuvikauli twa kujifariji na kukushambulia ili uonekane huna hoja na una matatizo, kifupi jamaa ni bingwa wa kujitafutia points za ushindi nje ya mada huo ndio ujanja wake
Saa nyingine anajaribu kuprove a point kwa kwenda extreme, atakualika nyumbani kwake,yuko tayari kulipa kiasi chochote cha pesa kama akiprove hivi au vile....huyu desperado is sick...wala sibishani ni ukweli anaumwa mentally....
 
Saa nyingine anajaribu kuprove a point kwa kwenda extreme, atakualika nyumbani kwake,yuko tayari kulipa kiasi chochote cha pesa kama akiprove hivi au vile....huyu desperado is sick...wala sibishani ni ukweli anaumwa mentally....
Wewe ni mke wa yule jamaa mwandishi wa vitabu vya ujasiriamali somebody makirita amani sijui..???!
 
Sasa swali langu linakuja. Wewe income yako ni kama GSM? Mimi nimetoka kwetu napata kila kitu, nikaanza kazi nijihudumie,
Umekuja kunioa ukasema niache kazi nilee watoto , nyumbani unaniachia elfu moja ya dagaa wanangu wale, wewe unaenda kukesha bar, kwakuwa mama yako hakusoma, baba yako alikupeleka shule ya kata unataka na wanangu wasome kata kwakuwa wewe huna uwezo, nakaa nyumbani nafubaa kama mzee wa miaka 60 kisa mume wangu hataki nifanye kazi nibaki nilee watoto,

Ukirudi nyumbani unanikuta nimefubaa huvutiwi tena na mimi ulienioa miaka 7 nyuma nilipokua najinunulia lotion ya 35,000. Saizi unanipakisha minara coconut oil. Unaenda kazini kwako unakutana na secretary anapaka lotion ya 20,000 anapendeza anawaka unamtamani unakaa ukimwambia mke wangu hana mvuto tena. Wanaume mna utindio si eti?

Nani aliwadanganya kuwa kupinga 50/50 ni lazima mwanamke abaki nyumbani? Personally huo ujinga wa 50/50 siutaki kwangu hata sukari ikiisha sinunui bila mahesabu. Nilishamtengenezea Mr kwamba mimi ni support yako. Pale unapotoa mimi ndo ntaongeza kama kuna ulazima. Gharama zangu za maisha ni kubwa, hujanioa ili u shrink my standards otherwise ungeenda kuoa kijijini kwenu sitimbi huko. Na kazi nafanya na wanangu nalea. Hivi mfano kazini umefukuzwa ghafla na akiba huna tunaishije nyumbani? Mwanaume huna uwezo wa kunitunza huna unakomalia nikae nyumbani nivae madera. Are you serious? Kazi nafanya kama kawa na familia yako utaihudumia maana wewe ndo baba.

Wanaume wengi mnataka mwanamke ambae anakaa nyumbani ili umnyanyase. Au sio.
Muwe na uwezo wa kuwahudumia basi sio mke anamiaka 30 anafanana na kabibi ka miaka 65.

50/50 ni kwenye fursa kwa sababu hawa waliosoma waende wapi? Kama wanaume mngekua that smart si mngekua mnaongoza peke yenu madarasani. Ndo maana kuna vilaza na kuna wanawake wanaongoza. Acheni ubinafsi.

Most of us submissive women tuko makazini na ndoa zetu wanaume tunawaheshimu vizuri tu.

Tena wanawake acheni leo niwape siri, ukitaka kumcontrol mwanaume kuwa submissive. Yani shingo ndo inazungusha kichwa. Sitawafundisha kila kitu. Mwanaume akirudi nyumbani muoneshe heshima zote, mkiwa public mtreat kama mfalme uone kama hato fall for your desires.

Hawa wa jamii forum wengi wanachuki za bure na wanawake na kuna mahali wanashindwa kuelezea wanachotaka. Chanzo cha wanawake kutokua na heshima sio kazi walizo nazo bali ni jinsi wanaume mlivyoshindwa ku play part zenu,yani mwanaume anashinda bar, ana shinda anabet, kila akirudi hana hela, watoto wanarudishwa ada. Na mke alisoma ana kadregree akae nyumbani kisa mume atajiskia vibaya? Stupid
Alichokieleza mleta uzi ni wewe huyu huyu umejaa mabishano,upo kishari,kisarani njenje!
pole sana jikedume
 
Kazi kwelikweli....
Ukiingia JF ni dunia ya tofauti sana
1. Nyuzi za malalamiko kutoka kwa wanaume ni nyingi kuliko za wanawake
2. Single maza wanapigwa sana vita lakini in real life wanaolewa fresh kila kukicha
3. Wanajitia kataa ndoa JF deep down ni watu wa hovyo, wanakutana na wanawake wa hovyo kama wao wanaishia kulaumu
4. Ukipata instagram, watu wa industry ya wedding wanapiga hela mpaka basi ndoa zipo nyingi bandika bandua.....

Uhalisia ni kwamba
1. Wanajitia wanataka wamama wa nyumbani muda huo kipato cha kuunga unga and most men wanajipata 30+ huko... so labda utafuta mtu uliyemzidi mika 5+ ndo mtaenda sawa
2. Most negative men hawana hela, wengine ni gays na wengine hawana nguvu za kiume kazi kukitombesha waonekane marijali kumbe wao na jogoo hamna tofauti


Inshort acheni kulalamika lalamika, maisha mafupi kifo ni lazima, pata mpenzi wa kufanana na wewe, funga ndoa enjoy life....
Hii ya kujitia nye nye nye na kufungua nyuzi kila siku humu, it shows hamna mbele wala nyuma and have nothing to offer kuonesha huo uanaume zaidi ya pesa ambayo hata mwanamke anaipata
mkuu umefanya research kati ya ndoa 5 zinazofungwa ndani ya miaka mitano zinadumu ngapi?

Hao single mother nikweli wanaolewa sana tu lkn hawadumu pia. nenda kwa sngle mothe mwenye watoto 3 uliza kama wote ni wababa mmoja jibu ni hapana au ni nadra sana.


ukweli ni kwamba 50-50 imeathiri sana
 
Maduka ya dawa yajiandae kuagiza mzigo wa kutosha wa dawa za antidepressants na za usingizi na pia wale mnaokwenda vyuoni someeni maswala ya psychology itakuja kuwa a very paying careers especially kwa wanaume maana ndio huwa the best psychologists kwa wanawake, na milembe ijiandae kupokea patients wapya.

Pale Moshi na Arusha machizi wengi ni wanawake ndio utakutana nao wanaokota makopo, na takwimu za matumizi ya dawa za kulevya zinasomeka kuwa wanawake wanaongoza.

Hii sio nzuri na sio swala la kuchekea tutawapoteza hawa viumbe.
My guy you re better than this.... this is a dumb writing

1. Nna first hand experience ya psychiatric wing, as of then wanawake wengi watu wazima waliokua wanachukua dawa sababu ya mahusiano ilikua ni sababu ya stress za kushindwa kuachilia toxic marriages sababu ya sababu mbalimbali ESPECIALLY WATOTO

2. Most men hawanywi antidepressants but huko duniani ambako hili swala limeshika kasi ndo wanaongoza kwa SUICIDE mfano UK wanaume 18-45 yrs are likely to die by SUICIDE THAN ANY OTHER REASON

3. Ukienda CTC pale kwenye grid ya taifa couple ambazo mwanamme anakunywa dawa mama mzima ni nyingi kuliko mama anakunywa ARV then baba hanywi... lakini huko mbele sidhani kama kutakua na mtu wa kuishi na mume muathirika wakati yeye ni mzima

HII VITA HAINA FAIDA KWA UPANDE WOWOTE LAKINI MEN ARE MORE AT A LOOSING END

1. Mwanamke ni social being , a divorced woman ana support kubwa socially kuliko mwanaume
2. Utampa mimba mwanamke lakini watoto are more likely kuishia na yeye unless dishi limeyumba
3. Ni rahisi mwanamke wa miaka 30 ambae hajaolewa kukaa nyumbani bila masimango especially akiwa na kazi kuliko mwanaume at the same circumstance, sasa nyumbani kuna community it's hard to be lonely
4. Mwanaume mpweke ni rahisi kuwa mlevi na kuwa malaya, uchumi na afya vikiyumba basi he is more likely kujiua tu lakini mwanamke mpweke sanasana atakimbilia kanisani na hospitali kama ana elimu kidogo, akifika huko support ni kubwa mno bado marafiki, ndugu na jamaa
5. Kwenye hii dunia yenye vijana marioo, wajane wengi wenye uwezo hawatokua lonely, as much as mwanaume anaweza oa kibinti na mjane anajichukulia kimarioo life goes on, tunawaona wakina shishi wanabadili vijana tu

SO HOPEFULLY MNABISHANA HUMU MITANDAONI LAKINI GROUND MNA COMPANIONSHIPS HEALTHY SABABU MWISHO WA SIKU A HEALTHY RELATIONSHIP IS GOOD FOR THE SOUL, BODY AND SPIRIT AND ITS A BONUS KUENDELEA KUJAZA DUNIA KWA WATOTO WENYE AKILI TIMAMU
 
kwenye mshono ple ple acha wahusika povu liwatoke kama wamenyweshwa foma
 
mkuu umefanya research kati ya ndoa 5 zinazofungwa ndani ya miaka mitano zinadumu ngapi?

Hao single mother nikweli wanaolewa sana tu lkn hawadumu pia. nenda kwa sngle mothe mwenye watoto 3 uliza kama wote ni wababa mmoja jibu ni hapana au ni nadra sana.


ukweli ni kwamba 50-50 imeathiri sana
Kwahiyo 50/50 ndo sababu pekee ya single mothers wengi tz? Wanaume wanavyotelekeza watoto hawana makosa! Punga we
 
Peace,

Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho, kijamii, kiakili na kua na furaha zaidi ila sasa hali ni tofauti kabisa.

Mazingira ya ajira na kazini yanamfanya mwanamke kua compititive na aggresive akipoteza kabisa ile setup na tone ya mwanamke.

Wanawake wengi japo utawaona katika vyeo tofauti na huko maofisini wakipewa promotions kede kede ila ukiwatizama usoni hakuna nuru wala furaha yoyote yani wamekua mangangari, madumejike fulani kisirani ile hali ya uanamke imewatoka wako na mastress full tank.

Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.


Kuna member mmoja humu jf wiki chache alipost uzi kua "wanaume siku hizi wamepunguza na hawatongozi tena kama zamani" nakubaliana nae kwa 100% hata mimi kutongoza kumepungua sana maana ule utamu wa mwanamke uliotupelekea kutongoza (sio wote) haupo tena njiani unapishana na madume jike tu yamefura visirani sasa nitongoze ligalagala la nini ?!


Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.

Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.

Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.

Nyie ni mashahidi hata masingle mother wanaongezeka kwa kasi ya 4G kwasababu hiki kizazi cha haki sawa hakina ile haiba ya mwanamke ni mangangari ngangari full jeuri.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Na bado. Hadi mseme. Mmezoea wanawake wengi jf wanawanyenyekea! Wakati watu wenyewe wengi wapumbavu
Sisi tumebahtika kuoa wanawake sio majike dume kama wewe!!
Na hii ikanifanya niandike wosia mapema Nikifa MkeWangu Asiolewe
kazi yake ni mama wa nyumbani mlezi na mlinzi wa family.

kilichobaki sasa kwa wasio jielewa kama nikuomba papuchii kwa lugha zote akinpa tu napita ndukii kama upepo no kwa heri tena 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom