Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Hizo sio shida zangu🤣
Wanaume pambanieni nguvu za kiume ili
Muache kuhangaika na kuinuliwa kiuchumi kwa wanawake.
Usijari ushauri wako utawafikia walengwa, natumai watakushukuru kwa ushauri wako.
 
Gazeti reeefu but emotions kibao giving feminine energy.....
uzuri it's not my caliber kuandika magazeti humu
Mkimaliza kubishana humu mtarudi kwenye reality zenu huko....
Wenye good relationships good for them
Wenye relationships kama jehanam wajitahidi watoke huko kuliko kuja kuspread toxicity JF


Again ground huku tunacheza harusi zaidi ya moja kila quarter and we have enough examples of good marriages where both people wanafanya kazi so tutaishi na hiyo, mataahira wa jf endeleeni kujaza nyuzi za single mothers na wanawake wenye vipato binafsi.

And this is the last time nafungua mada za kijinga humu and by za kijinga I mean toxic relationships, women related topics coz waanzisha topic wengi wamekutana na wenye akili za kufanana nao so two small minded people, yakiwashinda full kufungua vinyuzi vya kijinga jinga humu.

JF IS TRULY FULL OF MAUJINGA NA MADA ZA KIPUUZI SIKU HIZI
MEN HAS TURNED INTO CRY BABIES ONLINE HUMU
TATIZO MNATAFUTA HELA FOR WOMEN SO WHEN THEY DON'T NEED BUT WANT YOUR MONEY EGO ZENU ZINAWASHUUKA COZ MOST MEN HAWANA KINGINE CHA KUOFFER ZAIDI YA "MPE HELA NA UMKAZE VIZURI"
BUT WOMEN WANATAFUTA HELA FOR THEMSELVES, WATOTO WAO NA KWENYE FAMILIA WALIZOTOKA SO IT IS IT IS
TAFUTENI HELA MUOE WANAOWAHITAJI FINANCIALLY MTAPUNGUZA KULIA LIA HUMU
 
Sasa umeniona wapi nabully my lady, kwanza hunijui, sikujui, hatujuani, yeye hakujui, how do you know anything about that eti? [emoji848]
Nyie mnaochukia wanawake....ni ma bully kwa wake zenu...ungekua humbully usingekuwa unakuja JF kutafuta mwanamke wa kum bully.....we can only imagine wake zenu wanapitia nini...
 
Psychopath my foot. I have exposed you. And now you are upset that i can smell your cheap talk.

Nataka mtanange na wewe mic kwa mic nikukalishe flat level.

Wapi wewe acha maneno ya kujifanyia skimming wewe.

Unajitagi mwenyewe? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna namna mtu akifanya uandishi unajua kabisa huyu ni fulani, tabia common huwa zinaonekana kwa urahisi sana.

So huyu ni wewe Jadda ata ukikikataa sawa.
Bruh i am starting to think you are the one suffering from PTSD cause your level of psychopathy is out of proportion, hebu acha huu upumbavu wako umepigwa spana za kutosha huko halafu unatafuta namna ya kujifariji we pambana na hoja hizo acha kupanic, kwamba mimi namuogopa nani humu hadi nije na id tofauti yani hata kufananisha miandiko hujui unaropoka tu never thought you could stoop this low..dude seek for help, get a life, and level up!!
 
Hapa mdomo upo
 
Kujifanya mwanasaikolojia kumbe mpuuzi tu. Maswala ya ela yamekujaje hapa
 
ā€œMimi sitaki mwanamke afanye kazi wanakuwaga mafeminists.

Nataka mwanamke wangu awe anakaa nyumbani analea watoto ntamhudumia kwa kila kitu wanawake wengi wamepoteza mvuto kwasababu ya ujike dumeā€ wanaume sisi ndo providers wa familia blah blah kibao kumbe VIBAKA. Haya huyu ametoka kuchamba watu jf kwamba wanawake hawatakiwi kuwa kazini na mkewe kazi kamuachisha, akishikwa hapo anaenda jela na mali pekee aliyoiacha nyumbani ni boxer zilizotoboka.


Wanawake jipambanieni aisee hii ni aibu kubwa
Your browser is not able to display this video.


Chatterman Kisai Zemanda Deleted01 Nikifa MkeWangu Asiolewe na mbwiga wenzenu njooni mjione
 
Mwanaume kaambiwa apende,mwanamke kaambiwa haeshimu.Ubaya baadhi ya waanawake walio wengi akishakuwa na hela basi heshima hushuka.

Huko ulaya wanastrugle kwenye mahusiano hasa wanawake wasomi na wenye hela na hata kwenye single events zinazo andaliwa wengi ni type hizo na wale maslay Queen wanao jiona keki wakati wa ujana wao ndio hujaa kibao,ila wanaume huwaga hawatokei.

Ndio maana siku hizi wana intertain maisha ya umalaya,ndoa imekuwa si kitu kwao ila umri ukienda wanaitafuta kwa waganga na wachungaji.SIku hizi sex imekuwa kitu rahisi sana,japo kuna wanawake wanajipa moyo "wanaume wamekuwa waoga kutongoza",ila cha ajabu wanalika sana.
 
Dunia kweli haimsubiri mtu,ila impact yake inakuwa kinyume na asili ya kiumbaji ni mbaya sana. Ndio maana US na Europe ambao walikuwa wa kwanza kupush hizo ajenda jamii yao imeharibika watu wanapenda Maisha ya kimalaya, Single mothers wa kumwaga,watoto wa mitaani wa kumwaga,mashoga wa kumwaga, Vijana Marioo wa kumwaga nk kwa kivupi jamii yao ipo hovyo.

Ndio tuna yaona yanayo enda kutokea kwetu na tayari yashaanza kujidhihirisha. Hivi vitu kuviona kwa macho ni ngumu sababu vinaanza polepole na ndio maana kuvirekebisha huko mbele ni ngumu.

Jamii ya zamani japo mnaiona ya kipuuzi ila kijamii walifanikiwa sana kujenga jamii iliyo bora , sasa pamoja na haya maendeleo ambayo mnayaona,ila kwenye upande wa maendeleo ya kijamii kila siku tunarudi nyuma.

Hata Ulaya/US walio gundua hili tatizo la Ufeminism ni Wanasheria wa kike ambao wamespecilize kwenye talaka na Mafeminism ambao akili zao zimegeuka baada ya kupata watoto wa kiume au wajukuu wa kiume. Sababu wakiproject future ya vijana wao wa kiume na mawazo au power waliyo wapa wanawake wanaona walifanya makosa sana kusambaza haya mawazo na wanajuta na Juzi ulimuona yule mmama ambaye ni mbunge wa Iringa alicho kiongea wakati Waziri Gwajima akiwasilisha bajeti yake.

Wanaume tupo kimya tumewaacha na ujuaji wenu,sababu hata tukiongea hamtusikii kwa kifupi hatuna hisia kabisa ndio maana siku hizi kuna matukio ya ajabu sana.

Ndio maana ulaya wanzilishi wa kutetea haki za wanaume ni wanawake ambao ni Wanasheria wanao jihusisha na maswala ya talaka au Mafeminist wa zamani ambao wamegundua makosa yao kupitia watato/wajukuu wa kiume walio wapata,ila wanaume hatuna time kabisa tumewaacha.

Zipitie hizi video mbili ukiwa na mda.

View: https://m.youtube.com/watch?v=3WMuzhQXJoY&pp=ygUgSW1wYWN0IG9mIGZlbWluaXNtIGluIGEgc29jaWV0eSA%3D

View: https://m.youtube.com/shorts/1iQEQaNiee8
 
Kwa sababu wewe umewahi kuwa mwanamke ama ni mwanamke mpaka sasa?
 
Kwa akili yako kunitukana ni Sawa ila kwa akili yangu kukutukana sio Sawa.
ila naweza kujenga hoja katika yale uliyoyasema kuhusu 50/50 yaani ni upande wa Fursa za kiuchumi na masuala ya kijamii Its okay kama pia ungesema hivyo hivyo Upande wa majukumu ya kifamilia.
Kwasababu Zile fursa Walizobidi wapate vijana wa kiume Wamepewa wanawake kisha Unapata kipato na kuwa Sehemu ya maendeleo ya familia hutaki kwamba pesa yako unaamua mwenyewe utoe usitoe ila ya Mwanaume Yenu wote. Kisha mnawalaumu wanaume Hawana hela Hawatunzi Familia zao wakati tukienda kuomba kazi tukishakuwa na Mwanamke basi tunasema kazi tumekosa kapata Mwanamke ambae pesa yake ni yake tuu.

Pia umetutukana wanaume kuwa Tumekuwa mashoga lakini Hawa mashoga wameongezeka kutokana na kushamiri kwa huu mfumo wenu.

mtoto wa kiume anaelelewa na Singo Mother Malezi yao ni ya kike kike Hivyo sishangai kusikia Kawa Shoga.
ila rudi nyuma Miaka hiyo mnayosema kizazi cha kipuuzi ustawi wa jamii ulikuwa mkubwa sana tofauti na sasa.
sijalenga kukuelewesha Wewe kwa sababu najua hutaelewa ila kuna watu huenda wakaelewa.
 
Yamkini yote ni majibu.
Azima akili upate majibu sahihi kuliko hayo.
 
Wanafahamu fika kuwa lugha chafu sio msingi wa hoja lakini bado wanatumia.
Ni dhahiri jazba inawafanya wasijenge hoja za msingi, hakuna atakayekysifia kwa kukutukana ila ni kujishushia heshma pekee.
Uzuri ni kwamba jambo lenye madhara hujidhihirisha, wawaulize wanawake wenzao kwanini wanasononeka na dharau walioionyesha, kiburi na namna walivyojikweza mbele ya wanaume. Leo wanajutia kwani wameharibu msingi mzuri wa malezi ya watoto wao.

Kipato kisikufanye udharau utafutaji wa mwanume. Ukiona unapaswa kumdharau basi endelea kuutumia uhuru wako vizuri.
 
Haya mambo yalianza karne ya 19 huko Ulaya na hii badala ya mapinduzi ya Viwanda. Hakuna sababu nyingine ya msingi ni mfumo tu ulianzishwa. Sisi Waafrika tukalivagaa tu.
Poor Boy!!! Wanaume MLISHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YENU!! Ili KUOKOA FAMILIA ilibidi
Haya mambo yalianza karne ya 19 huko Ulaya na hii badala ya mapinduzi ya Viwanda. Hakuna sababu nyingine ya msingi ni mfumo tu ulianzishwa. Sisi Waafrika tukalivagaa tu.
Poor Boy!!! Wanaume MLISHINDWA kutimiza MAJUKUMU YENU ya kulea na KUTUNZA familia!!!! Ilifika mahali Wanawake ILIBIDI WAINGIE KAZINI KUOKOA FAMILIA!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…