Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Katikati ya harakati za 50/50 kinyume chake wanawake wengi siku hizi hawana furaha

Peace,

Itakushangaza lakini ndio ukweli, tupo katika zama za upendeleo na "kuinuliwa" kwa wanawake na fursa kede kede pasina shaka mimi na wewe tulitegemea ustawi wa wanamakae kiuchumi, kiroho, kijamii, kiakili na kua na furaha zaidi ila sasa hali ni tofauti kabisa.

Mazingira ya ajira na kazini yanamfanya mwanamke kua compititive na aggresive akipoteza kabisa ile setup na tone ya mwanamke.

Wanawake wengi japo utawaona katika vyeo tofauti na huko maofisini wakipewa promotions kede kede ila ukiwatizama usoni hakuna nuru wala furaha yoyote yani wamekua mangangari, madumejike fulani kisirani ile hali ya uanamke imewatoka wako na mastress full tank.

Kupishana na wanawake njiani wanaongea wenyewe imekua kawaida sana. Wamekua watu wa kupenda mabishano kila mara, visirani, jeuri na watu wa shari. Unaweza kumsalimia mwanamke kama hakukusikia vizuri akakujibu "kwa kufoka akijua ulimsema kw ubaya inshort wako aggresive mda wote ego iko juu zaidi za mawingu.


Kuna member mmoja humu jf wiki chache alipost uzi kua "wanaume siku hizi wamepunguza na hawatongozi tena kama zamani" nakubaliana nae kwa 100% hata mimi kutongoza kumepungua sana maana ule utamu wa mwanamke uliotupelekea kutongoza (sio wote) haupo tena njiani unapishana na madume jike tu yamefura visirani sasa nitongoze ligalagala la nini ?!


Hawana furaha tena wala utilivu wa akili na hata kiuchumi wanawake ndio wamekua wadangaji kuliko kipindi chochote katika historia ya mwanadamu yani mambo yamekua vice versa haki sawa imekua ni jabali linalowatesa wanawake wenyewe.

Ukikutana na hawa wanamake wa haki sawa hata mkizungumza wanapenda mbishane tu hawataki utulivu ghasia, mivutano na majibizano ni sifa yao kuu. Wamejaa negativities deep down their bones.

Zamani ulikua ukimuona mwanamke mwili unasisimka, sasa haya magalagala madumejike ya siku hizi unalitazama unaona kabisa uanamke haupo lidude limekaa hapo limekutolea macho pima kama fundi saa.

Nyie ni mashahidi hata masingle mother wanaongezeka kwa kasi ya 4G kwasababu hiki kizazi cha haki sawa hakina ile haiba ya mwanamke ni mangangari ngangari full jeuri.
ungekua hapa jirani na mimi, ningekupa bia kama tano hivi, yani umezungumza ukweli mtupu. Wanawake wamejaa kiburi, dharau, na ukorofi. Hakuna tena starehe ya kuishi nao kwa ukaribu. Yaani ni shida tupu!
 
Wamebaki kumuonea wivu Mrs GSM na mwenzie Mrs Salaah, wao 50/50 hawataki, wametulia nyumbani walee familia as a proud African woman should.
Ukoo wako una Salaah wangapi?? Au hata wenye nusu ya alichonacho Salaah??

Wanaume hawa hawa wenye take home za milioni na point ndo ukae nyumbani usubiri akulee wewe na wanao?
 
Mimi ni baba wa family Ila kuna mabinti kama Saba hajazao na nyege zao wananitegemea nikiwauliza kwa nini msitafute wenza wa kudumu wananijibu hawajawahi kutongozwa zaidi ya mwaka sasa ila wanatamani kuwapata sema ndo ivyo 50/50 imeharibu vijana wanamega na kusepa kwenye shishashishashisha mimi nataka shishashishashisha alooooh awh waiwaiooooo.......uooo ni uongooooooo
Unajisifia ushenzi......
Kenge kweli wewe
 
Ukoo wako una Salaah wangapi?? Au hata wenye nusu ya alichonacho Salaah??

Wanaume hawa hawa wenye take home za milioni na point ndo ukae nyumbani usubiri akulee wewe na wanao?
Hatuwezi kuwa wote na uchumi wa kina salaah, ila uchumi wa kumuweka mke wangu ndani akapata anachotaka na watoto wangu ni very easy to attain labda kama ni mvivu.
 
Wanawake wa sikuiz hawataki kuelekezwa wao ndo wanataka kuongoza(kutoa maelekezo kwny ndoa zao) wanatoka kwenye asili Yao,wamekuwa kama wamefunguka akili zao Wana penda kudai haki sana na hii inapunguza upendo kwao ,awatimizi wajibu wao nasio kwamba awajui basi tu...nahis ni kwa sababu nao wanatafuta pesa zao hivyo wanaona kama wako na nafasi sawa na mwanaume.
 
Hatuwezi kuwa wote na uchumi wa kina salaah, ila uchumi wa kumuweka mke wangu ndani akapata anachotaka na watoto wangu ni very easy to attain labda kama ni mvivu.
Ndo ujue kwamba ni rahisi kuwa mvivu kuliko kuwa mchapakazi....
2. Toka jiwe aingie madarakani kuna wimbi kubwa tu la vijana ambao ajira hawakupata na sahizi waajiri nao wanatoa peanuts kama pay so watu wenye kipato kidogo ni wengi kuliko wenye kipato cha kati
3. Na waliojiajiri, kujipata sio kitu ya muda mfupi it takes time lakini ukiwa na mke mwenye ajira inakua rahisi kwako kupambana bila kuwaza ishu ndogo ndogo za nyumbani.
4. Maisha ya sasa ni asilimia chache sana ya familia zinaweza kuishi standard kwa kipato cha mtu mmoja, so badala ya kukaa kulalama humu kwenye majukwaa it's high time watu waona namna gani wanaweza kuishi kwa kushirikiana na kubalance majukumu ya kiasili ya kila mmoja.
5. Wanawake wanaojuta kuacha kazi na kuwa housewives ni wengi kuliko wanaofurahia hiyo privilege, sababu kwa wengi imefungua mlango wa manyanyaso na kudharaulika mixer kuishi kwa hofu provider akifariki kabla yako unaishije na wanao

So kama wewe umeweza kumuachisha mkeo kazi na unaishi nae vizuri humnyanyasi kwa namna yeyote, hutombi nje hovyo hovyo na umeweka msingi mzuri hata ukapata changamoto yeyote ukashindwa kuingiza pesa familia itasimama imara... HONGERA
 
Zama za mwanaume kuwa mtawala badala ya kiongozi zimepitwa na wakati....

Any man even zero brains wanaweza kuwa watawala kwenye familia zao ila VERY FEW MEN wana karama ya kuwa viongozi wa familia zao

Viongozi 50/50 sio shida zao, wamechagua wanapopamudu na familia zimeendelea kuevolve bila shida
 
Wanawake wa sikuiz hawataki kuelekezwa wao ndo wanataka kuongoza(kutoa maelekezo kwny ndoa zao) wanatoka kwenye asili Yao,wamekuwa kama wamefuka akili zao Wana penda kudai haki sana na hii inapunguza upendo kwao ,awatimizi wajibu wao nasio kwamba awajui basi tu...nahis ni kwa sababu nao wanatafuta pesa zao hivyo wanaona kama wako na nafasi sawa na mwanaume.
Kumbe ni wengi sio wote....
As a man you have 2 options
1. Tafuta sana hela uje uoe mtu uliyemzidi tena akiwa in her early 20s to 27 max.... hapo utammold utakavyo na vile utakua umejipata hata hutokua na stress nyingi
2. Tafuta hao wachache waliobaki (sababu umesema wengi) ukibahatika kumpata ishi nae kwa akili na upendo, mara nyingi wanawake tuna kawaida ya kumultiply kile mnachotupa, nikune vizuri, nifanye nijiamini nipo peke yangu, nionyeshe utu.... hakuna kitu ntaacha fanya kwaajili yako na wala sitoona ni utumwa, I take pride in taking care or my household

Lakini mtu mlevi, mbinafsi, show hamna, bado anacheat halafu anagemea heshima... haipo hiyo.

We submitt kwa mtu anaeeleweka na kuna wanaume wengi tu ni wanaume suruali, kichwani makopo hawana maajabu yeyote halafu wanataka special treatment kisa jinsia zao... HIZO ZAMA ZIMEPITWA NA WAKATI BUDA
 
" Kwenye soko mjinga letu kila wiki kuna visa kadhaa vya wanawake kupigana wakigombaniana wateja au bidhaa za kuchuuza.
  • Kituo na viongozi wa chini kuna nashauri kibao ya wanawake kupigana/ kugombana wao kwa wao kuliko wanaume.
  • Nakumbuka zamani ilikuwa kawaida kwa wanaume kupigana ktk kugombania maslahi; kwa sasa wanaume wamepoa, wanawake Nguni mkononi.
 
* Kwenye soko mjinga hapa mtaani kila wiki kuna visa kadhaa vya wanawake kupigana wakigombaniana wateja au bidhaa za kuchuuza.
  • Kituo na viongozi wa chini kuna nashauri kibao ya wanawake kupigana/ kugombana wao kwa wao kuliko wanaume.
  • Nakumbuka zamani ilikuwa kawaida kwa wanaume kupigana ktk kugombania maslahi; kwa sasa wanaume wamepoa, wanawake Nguni mkononi.
 
Tatizo mnachanganya haki ya kufanya kazi na 50*50.
Kûfanya kazi ni jukumu la kiumbe yeyote achilia mbali Mwanamke .

Mwanamke lazima afanye kazi. Bila kufanya kazi hawezi kuitwa Mwanamke atakuwa ni mtumwa au ànayetûmiwa kingono,
Je bibi hakuwa anafanya kazi? Ndio mnawadanganya wanawake ili muwape mikopo uchwara ya biashara n.k inayowapelekesha resi kama wanevuta bangi
 
Kazi kwelikweli....
Ukiingia JF ni dunia ya tofauti sana
1. Nyuzi za malalamiko kutoka kwa wanaume ni nyingi kuliko za wanawake
2. Single maza wanapigwa sana vita lakini in real life wanaolewa fresh kila kukicha
3. Wanajitia kataa ndoa JF deep down ni watu wa hovyo, wanakutana na wanawake wa hovyo kama wao wanaishia kulaumu
4. Ukipata instagram, watu wa industry ya wedding wanapiga hela mpaka basi ndoa zipo nyingi bandika bandua.....

Uhalisia ni kwamba
1. Wanajitia wanataka wamama wa nyumbani muda huo kipato cha kuunga unga and most men wanajipata 30+ huko... so labda utafuta mtu uliyemzidi mika 5+ ndo mtaenda sawa
2. Most negative men hawana hela, wengine ni gays na wengine hawana nguvu za kiume kazi kukitombesha waonekane marijali kumbe wao na jogoo hamna tofauti


Inshort acheni kulalamika lalamika, maisha mafupi kifo ni lazima, pata mpenzi wa kufanana na wewe, funga ndoa enjoy life....
Hii ya kujitia nye nye nye na kufungua nyuzi kila siku humu, it shows hamna mbele wala nyuma and have nothing to offer kuonesha huo uanaume zaidi ya pesa ambayo hata mwanamke anaipata
Bango lako nikujengee wapi? Wanaume wanalalamika wakati analipwa laki 260,000 kwa mwezi. Yani hivi nnavokuta hizi stories jf kila siku ndo naziiiidiiii kuwadharau hawa viumbe. Very inferior. We umewahi kumskia mo analalamika kuwa mkewe ni mzembe?

Haya mke wa GSM kamzawadia mmewe nyumba ushuani huko, kama ni hela za mumewe kwanini wai publicize?

Wanaume msiojiamini ndo mnapiga kelele mnazidi kujidharaulisha. Nendeni mkafokeane na wake zenu hukoo waache hizo kazi.

Mnatumia hizo mbinu kuwa weaken wanawake ili mbaki wenyewe maofisini stupi.

Kwahiyo wajane nao waacha kazi wabaki nyumbani as a woman should?

If another man insults a woman in this forum, gay should be your middle name because wtf!
 
Tatizo mnachanganya haki ya kufanya kazi na 50*50.
Kûfanya kazi ni jukumu la kiumbe yeyote achilia mbali Mwanamke .

Mwanamke lazima afanye kazi. Bila kufanya kazi hawezi kuitwa Mwanamke atakuwa ni mtumwa au ànayetûmiwa kingono,
You’re loved, respected and appreciated Robert. Keep it up🤝
 
Andika yako inaonesha dhahiri kuwa una stress 50/50 imekualibu kisaikolojia, ngoja nikwambie hakuna kitu kizuri kwa mwanamke alie kwenye ndoa kama feeling za kutegemeana, mke kumtegemea mume katika mambo yanayomuhusu mume na mume kumtegemea mke katika mambo yanatomhusu mke huwa inaleta sana amani ndani ya nyumba na kuepusha ubabe ubabe wa kijinga

Hapo umetudanganya umejisifia uongo kua kipato chako kinamsapoti mume, nakwambia hela ya mwanamke ni ya mwanamke tu na haijawai msapoti mume na mume akapata unafuu na amani ndani ya ndoa, zaidi hua inasapoti mke mwenyewe na watoto, angekuwepo huyo mme unaemsemea ndio angesema ukweli.
Sasa swali langu linakuja. Wewe income yako ni kama GSM? Mimi nimetoka kwetu napata kila kitu, nikaanza kazi nijihudumie,
Umekuja kunioa ukasema niache kazi nilee watoto , nyumbani unaniachia elfu moja ya dagaa wanangu wale, wewe unaenda kukesha bar, kwakuwa mama yako hakusoma, baba yako alikupeleka shule ya kata unataka na wanangu wasome kata kwakuwa wewe huna uwezo, nakaa nyumbani nafubaa kama mzee wa miaka 60 kisa mume wangu hataki nifanye kazi nibaki nilee watoto,

Ukirudi nyumbani unanikuta nimefubaa huvutiwi tena na mimi ulienioa miaka 7 nyuma nilipokua najinunulia lotion ya 35,000. Saizi unanipakisha minara coconut oil. Unaenda kazini kwako unakutana na secretary anapaka lotion ya 20,000 anapendeza anawaka unamtamani unakaa ukimwambia mke wangu hana mvuto tena. Wanaume mna utindio si eti?

Nani aliwadanganya kuwa kupinga 50/50 ni lazima mwanamke abaki nyumbani? Personally huo ujinga wa 50/50 siutaki kwangu hata sukari ikiisha sinunui bila mahesabu. Nilishamtengenezea Mr kwamba mimi ni support yako. Pale unapotoa mimi ndo ntaongeza kama kuna ulazima. Gharama zangu za maisha ni kubwa, hujanioa ili u shrink my standards otherwise ungeenda kuoa kijijini kwenu sitimbi huko. Na kazi nafanya na wanangu nalea. Hivi mfano kazini umefukuzwa ghafla na akiba huna tunaishije nyumbani? Mwanaume huna uwezo wa kunitunza huna unakomalia nikae nyumbani nivae madera. Are you serious? Kazi nafanya kama kawa na familia yako utaihudumia maana wewe ndo baba.

Wanaume wengi mnataka mwanamke ambae anakaa nyumbani ili umnyanyase. Au sio.
Muwe na uwezo wa kuwahudumia basi sio mke anamiaka 30 anafanana na kabibi ka miaka 65.

50/50 ni kwenye fursa kwa sababu hawa waliosoma waende wapi? Kama wanaume mngekua that smart si mngekua mnaongoza peke yenu madarasani. Ndo maana kuna vilaza na kuna wanawake wanaongoza. Acheni ubinafsi.

Most of us submissive women tuko makazini na ndoa zetu wanaume tunawaheshimu vizuri tu.

Tena wanawake acheni leo niwape siri, ukitaka kumcontrol mwanaume kuwa submissive. Yani shingo ndo inazungusha kichwa. Sitawafundisha kila kitu. Mwanaume akirudi nyumbani muoneshe heshima zote, mkiwa public mtreat kama mfalme uone kama hato fall for your desires.

Hawa wa jamii forum wengi wanachuki za bure na wanawake na kuna mahali wanashindwa kuelezea wanachotaka. Chanzo cha wanawake kutokua na heshima sio kazi walizo nazo bali ni jinsi wanaume mlivyoshindwa ku play part zenu,yani mwanaume anashinda bar, ana shinda anabet, kila akirudi hana hela, watoto wanarudishwa ada. Na mke alisoma ana kadregree akae nyumbani kisa mume atajiskia vibaya? Stupid
 
Andika yako inaonesha dhahiri kuwa una stress 50/50 imekualibu kisaikolojia, ngoja nikwambie hakuna kitu kizuri kwa mwanamke alie kwenye ndoa kama feeling za kutegemeana, mke kumtegemea mume katika mambo yanayomuhusu mume na mume kumtegemea mke katika mambo yanatomhusu mke huwa inaleta sana amani ndani ya nyumba na kuepusha ubabe ubabe wa kijinga

Hapo umetudanganya umejisifia uongo kua kipato chako kinamsapoti mume, nakwambia hela ya mwanamke ni ya mwanamke tu na haijawai msapoti mume na mume akapata unafuu na amani ndani ya ndoa, zaidi hua inasapoti mke mwenyewe na watoto, angekuwepo huyo mme unaemsemea ndio angesema ukweli.
Soma uelewe nimeandika kabisa sinunui hata sukari bila mahesabu. Mimi ndo naamua ninunue au la sasa wewe umesoma kiuno juu ili uwahi uje kujibu pumba.

There can’t be two bulls in the house silipi bills zozote na kazi nafanya. Stupid. Sasa mwanaume ana muda wa kujua mtoto anataka nguo mpya au la? Hapo ndo ela yangu inaingia kubali kataa it’s up to you! Nilizoea kupaka perfume ya bei nije nipake kulthum za maiti kisa wewe kapuku huna cha kunipa? Ebuuu!

We kilichokuvutia kwa huyo mwanamke ilikua uzuri, urembo class kwasababu alikua kazini. Ukamtongoza na umaskini wako Sasa umemuoa unamfungia ndani ufanye kazi ya kumzalisha tu nguvu zenyewe za kiume huna🤣 mxiew hela za kuwatunza waremmbo mliowakuta makazini hamna mnataka muwafubaze. Kaoeni kijijini kwenu hamtaki. Mnataka nini ebo

Men deal with your insecurities. Wanawake kazi tutafanya mtake msitake. Mijanaume mingapi imejazana kazini umbea tu, wanawake ndo wanafanya kazi na kutoa ideas za maana.

Jf humu ni keyboard warriors ila kichwani pakavu.
 
Back
Top Bottom