Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,023
Mama toka ameanza kuteua hajawahi kuteaua bila makosa ya kutenguaHiyo inaitwa panga pangua, Mama anapanga safu yake ya Mashambulizi
Urais haulali masaa 24.....Sasa alikua hajapitia au [emoji23][emoji23][emoji23]yani list ndogo kama hiyo
Yani Mpaka anawateua Hao Wawili Hakujua Kama Atakuja Kuwapangia Majukumu Mengine Ndani ya Chama Na Huyo Dr. Charles Nae atapangiwa Majukumu Mengine... Huyo Quuen [emoji219] umakini wake unatishia .... Huyo Ni TatizoMama toka ameanza kuteua hajawahi kuteaua bila makosa ya kutengua
Kuna shida ndani ya idara ufatiliaji wa mambo ya uteuzi
Wakati anawateua wana UVCCM aliju kabisa nafasi lazima zijazwe
Kwani alikuwa hajui nani atajaza nafasi
Kuna vihujuma vidogo vidogo vya hapa na pale lakini anavipangua,mambo yatakaa sawa tu.Mama toka ameanza kuteua hajawahi kuteaua bila makosa ya kutengua
Kuna shida ndani ya idara ufatiliaji wa mambo ya uteuzi
Wakati anawateua wana UVCCM aliju kabisa nafasi lazima zijazwe
Kwani alikuwa hajui nani atajaza nafasi
Kwani anasiku moja tuuUrais haulali masaa 24.....
#StaunchSupporterOfSSH
Kazi ya Rais ni kuteua na kutengua kila apatapo habari mpya.....Mama toka ameanza kuteua hajawahi kuteaua bila makosa ya kutengua
Kuna shida ndani ya idara ufatiliaji wa mambo ya uteuzi
Wakati anawateua wana UVCCM aliju kabisa nafasi lazima zijazwe
Kwani alikuwa hajui nani atajaza nafasi
Linchi likubwa....Kwani anasiku moja tuu
Ndio inaitwa ukurupukaji so mikataba mingapi imeshasiniwa kwa habari kuchelewa kumfikiaLinchi likubwa....
Habari mpya zinapishana kumfikia...
#KaziIendelee
Wateule wako wengi mno....Ndio inaitwa ukurupukaji so mikataba mingapi imeshasiniwa kwa habari kuchelewa kumfikia
Anafanya mambo kama FUTUHI🤣🤣
Huyu mama bana!
Silaha ya Rais ni presidential decree....Anafanya mambo kama FUTUHI
Huyo Mama kwanza anatamani Hata Mzee Mangula AjiuZulu Umakamu M/Kiti amweke Mzazibar Wake TuNdio inaitwa ukurupukaji so mikataba mingapi imeshasiniwa kwa habari kuchelewa kumfikia
Kuna kitu kinaitwa unga wa miti ni hatari sana hiyo mambo mkuu.Duh. Mama anafeli wapi? Anaacha kuwatengua kina Lijuakali na yule comedian.