Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria


Bwahaaa bwahaaaa, yaani nimecheka kwa nguvu mpaka kila mtu hapa pembeni kaniuliza nimeona nini kwenye mtandao? Kweli nimeamini jf ni stress free zone. Yeyeto atakayetaka jf ifungwe kwa sababu zozote zile, alaaniwe yeye na kizazi chake chote. Hivi huu Mkorogo hapa ningeupata wapi zaidi ya hapa jukwaani, mahali ambapo mtu ana fake ID anajisifia ana elimu na msaada sana, huku akitaja baadhi ya topic za darasani na kusema mwingine hana elimu yoyote! JF idumu milele maana ni uwanja wa burudani.
 

Yaani jinsi unavyoendelea kunishauri ndivyo unazidi kuharibu-Mzito mmoja.
 
Kwa kuwa mmeamua wenywe kwenda nendeni, ila Magu atawatukana sana, na mkitukanwa msilalamike. Jiandaeni kubeba matusi.
hiyo nafasi haiwezi tokea
 
Kabisa mkuu, ni fursa njema kupatanisha taifa washauri wa mkuu wafikishe ujumbe huu.Pia wamuonye asitoe pongezi kufuatia ushindi tata wa ccm serikali za mitaa na vijiji!!! Anaweza kuchafua hali ya hewa Pia ingependeza watu wasivae mavazi ya chama kuleta taswira ya sherehe bora ya kitaifa.
 
Hivi anaenda kwenye sherehe ya kitaifa au ya CCM?Hiyo bei aliyofika ni bei gani?
yangu macho toka juzi humu ndani natukanwa tu!lakini wameanza kuyaona ya mboe,lakini pia sherehe ya uhuru hausiani na mavyama yetu ila kama amewatambua walioleta uhuru wa nchi hii na anatafuta pia aachiwe nchi basi ni sawa mwacheni aende,
 
Mbowe alifika bei kwa Lowasa 2015

Nawahurumia sana wanaoweka matumaini kwa mbowe
 
Wagombea wa serekali za mitaa hawakukatwa na uhuru wa Tanganyika walikatwa na watendaji kwa maelekezo ya CCM.
 
Hivi mtaacha kuwa mamluki lini?.tafadhali uwe beberu kuliko kuwa Mamluki.
 
Duniani tunaishi watu wa kila namna, kama hivi wewe mwehu,wapo wenye mtindio wa ubongo,wapo vichaa na kadhalika, kwa kuwa pumzi tumepewa bure gharama za kuhama sayari hii ni kubwa basi endelea kukua tu ili upumbavu wako ukomae zaidi uwarithishe na wajukuu zako
 
Inatakiwa nafasi hii itumike kama initiative ya kujenga madaraja ya upendo, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania.
Mawazo kama haya wanayo watanzania maana wamebarikiwa kuwa na mioyo ya upendo. Lkn mhutu hana mawazo haya. Yeye anawaza kujenga chuki, mifarakano na visasi
 
Unazidi kujidhalilisha.
 
Ukabila mnauona kwa wenzenu lakini kwenu hamuuoni. JPM sio mkabila Period! Wewe ni mkabila namba moja na chama chako.

..ni mkabila.

..angalia ziara ngapi amefanya huko kwao.

...ni mahali gani nchi hii ametembelea mara nyingi kuliko kwao?

..na hatoba zake za KIKABILA. basi muweke na WAKALIMANI wa kutafsiri ili waTz wote waelewe.
 

I do appreciate your level of stupidity, as far as I know you're a so educated. Keep it up an old man.
 
Wasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu

Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
raisi wenu jiwe ataondolewa na shetani weyewe, hatuna na nia ya kumuondoa, siku zake zimehesabiwa, ni muda tu------------------
 
..ni mkabila.

..angalia ziara ngapi amefanya huko kwao.

...ni mahali gani nchi hii ametembelea mara nyingi kuliko kwao?

..na hatoba zake za KIKABILA. basi muweke na WAKALIMANI wa kutafsiri ili waTz wote waelewe.


Ni Mkabila wa Kabila gani?
 
Reactions: Ole
Nikikuuliza nini maana ya "Material science" unaweza nipa jibu sahii? Unajua maana ya Martensitic Transfomation kwenye material science ni nini?
Acha kujifanya mjuaji mkuu. KwaniI kujua maana ya haya maneno ndiyo nn sasa? Wewe unayejua una nn cha mno? Acha kujimwambafai kwa vitu vidogo kama hv.

Jishushe utakwezwa, lkn ukijikweza utashushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…