Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

Duuh! Wewe jamaa ni cockroach kweli kweli. Hoja gani hii unaileta hapa? Unakusanya majeshi ili kuwa against me? Huniwezi wewe mdudu wa kuvuta hewa ya chooni. Huniwezi kwa principle sio tu ya elimu bali maisha na upeo wa mawazo ya kitalaam.

Wewe huna kitu unacho kijua zaidi ya kuchangia hoja za kikanga kanga na majungu kama haya unayo yatoa hapa?

Niambie una mchango gani wa mawazo au Idea umewahi kuchangia katika jamii ikawa na impact katika maisha ya watanzania?

Off course hujasoma. Huo ni ukweli. Na ukweli utabaki kuwa ni ukweli. Una elimu gani wewe ya kumtambia mtu? Una weza leta mawazo ambayo yanaweza leta manufaa kwa wananchi? Niambie yapi? Wewe mwenyewe hujui utakula nini sembuse kuchangia mawazo ambayo yanaweza tatua matizo ya binadam?

Wewe unafikiri kushinda mitandaoni na kutoa comments za ki local kwa kutumia device ambayo ni visio na innovation ya mtu ambaye alikuwa shoga ndiyo unajiona kuwa una akili? You know nothing brother!

Eti mimi nimechanganyikiwa. Nimechabganyikiwa mimi au wewe? Nikikuuliza nini maana ya "Material science" unaweza nipa jibu sahii? Unajua maana ya Martensitic Transfomation kwenye material science ni nini?

Nimesha kueleza mara nyingi sana kwenye mtandao kama unachangia hoja basi changia hoja na sio kudiscuss personal issues. Na vile vile nimekuambia usipende kuwazarau na kuwatukana watu usio wajua mtandaoni. Huo si ustaarabu wa kuchangia hoja. Lakini wewe inaelekea hunielewi au huwaelewi watu wengine.

Endelea kujidanganya mwenye kuwa wewe ninmwenye akili kwa kutoa comments ambazo ni too shallow na hazina substances.

Bwahaaa bwahaaaa, yaani nimecheka kwa nguvu mpaka kila mtu hapa pembeni kaniuliza nimeona nini kwenye mtandao? Kweli nimeamini jf ni stress free zone. Yeyeto atakayetaka jf ifungwe kwa sababu zozote zile, alaaniwe yeye na kizazi chake chote. Hivi huu Mkorogo hapa ningeupata wapi zaidi ya hapa jukwaani, mahali ambapo mtu ana fake ID anajisifia ana elimu na msaada sana, huku akitaja baadhi ya topic za darasani na kusema mwingine hana elimu yoyote! JF idumu milele maana ni uwanja wa burudani.
 
Mimi naiona hii kama fursa adimu ya mheshimiwa rais wa Tanzania Dr. JSPM kumuita mbowe nakumpa dakika 5 ya kusalimia hadhara itakoyojitokeza kesho.

Inatakiwa nafasi hii itumike kama initiative ya kujenga madaraja ya upendo, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania.

Vilevile fursa hii itumike kama jukwa la kufunika makaburi yote yaliyofukuliwa na kuruhusu mikutano ya hadhara. Decemba 9, ni siku ya kurudishiwa

Yaani jinsi unavyoendelea kunishauri ndivyo unazidi kuharibu-Mzito mmoja.
 
Kwa kuwa mmeamua wenywe kwenda nendeni, ila Magu atawatukana sana, na mkitukanwa msilalamike. Jiandaeni kubeba matusi.
Mimi naiona hii kama fursa adimu ya mheshimiwa rais wa Tanzania Dr. JSPM kumuita mbowe nakumpa dakika 5 ya kusalimia hadhara itakoyojitokeza kesho.

Inatakiwa nafasi hii itumike kama initiative ya kujenga madaraja ya upendo, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania.

Vilevile fursa hii itumike kama jukwa la kufunika makaburi yote yaliyofukuliwa na kuruhusu mikutano ya hadhara. Decemba 9, ni siku ya kurudishiwa
hiyo nafasi haiwezi tokea
 
Mimi naiona hii kama fursa adimu ya mheshimiwa rais wa Tanzania Dr. JSPM kumuita mbowe nakumpa dakika 5 ya kusalimia hadhara itakoyojitokeza kesho.

Inatakiwa nafasi hii itumike kama initiative ya kujenga madaraja ya upendo, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania.

Vilevile fursa hii itumike kama jukwa la kufunika makaburi yote yaliyofukuliwa na kuruhusu mikutano ya hadhara. Decemba 9, ni siku ya kurudishiwa
Kabisa mkuu, ni fursa njema kupatanisha taifa washauri wa mkuu wafikishe ujumbe huu.Pia wamuonye asitoe pongezi kufuatia ushindi tata wa ccm serikali za mitaa na vijiji!!! Anaweza kuchafua hali ya hewa Pia ingependeza watu wasivae mavazi ya chama kuleta taswira ya sherehe bora ya kitaifa.
 
Hivi anaenda kwenye sherehe ya kitaifa au ya CCM?Hiyo bei aliyofika ni bei gani?
yangu macho toka juzi humu ndani natukanwa tu!lakini wameanza kuyaona ya mboe,lakini pia sherehe ya uhuru hausiani na mavyama yetu ila kama amewatambua walioleta uhuru wa nchi hii na anatafuta pia aachiwe nchi basi ni sawa mwacheni aende,
 
Mbowe alifika bei kwa Lowasa 2015

Nawahurumia sana wanaoweka matumaini kwa mbowe
 
Wagombea wa serekali za mitaa hawakukatwa na uhuru wa Tanganyika walikatwa na watendaji kwa maelekezo ya CCM.
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
Hivi mtaacha kuwa mamluki lini?.tafadhali uwe beberu kuliko kuwa Mamluki.
 
Nimesikitishwa Jana kuona kamati kuu ya chadema ikitamka kwa kinywa kipana kwamba kesho 9/12/2019 mwenyekiti mbowe ataongoza ujumbe wa viongozi kusherehekea uhuru wa tanganyika ccm kirumba mwanza mbele ya mwenyekiti wa ccm na rais wa Tanzania! Hivi kweli mbowe umesahau mwezi uliopita ulitangaza kususia uchaguzi wa serikali ya mitaa/vijiji ukisema serikali ya ccm imewaengua wagombea na kuwanyima haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa je leo nini kimebadilika? Mikutano ya kisiasa imefungiwa kwa miaka 4 kinyume cha katiba ya nchi bado huoni unasema unaenda kwenye uhuru!! Tukisema wamekufika bei kama ulivyokua unawatuhumu kina mrema utabisha?..ivi unakwama wapi ndg au kesi zimekufanya uchanganyikiwe sasa unatafuta huruma ya watawala kuomba poo! Bila kujali ni wanachama wangapi wameumia kwaajiri ya kutetea misimamo ya chama ulioitoa..usipobadilika utaongoza chama kikiwa dhaifu sana maana unataka kuwa mwenyekiti mwenye ndimi 3 nilizani umejifunza makosa ya 2015 ya kusomba mafuriko hewa.
Duniani tunaishi watu wa kila namna, kama hivi wewe mwehu,wapo wenye mtindio wa ubongo,wapo vichaa na kadhalika, kwa kuwa pumzi tumepewa bure gharama za kuhama sayari hii ni kubwa basi endelea kukua tu ili upumbavu wako ukomae zaidi uwarithishe na wajukuu zako
 
Inatakiwa nafasi hii itumike kama initiative ya kujenga madaraja ya upendo, umoja na mshikamano miongoni mwa wa Tanzania.
Mawazo kama haya wanayo watanzania maana wamebarikiwa kuwa na mioyo ya upendo. Lkn mhutu hana mawazo haya. Yeye anawaza kujenga chuki, mifarakano na visasi
 
Huna haja kwani upeo wangu wa kuelewa mambo na maisha uko juu sana ukilinganisha na wewe mnuka jasho la kwapa kwenye polo Shorts za majambazi na makupe wa fedha za umma.

Kitu ambacho hukijui kinacho tokea duniani ni kwamba hiyo demokrasia na haki za binadam unazo zipigania, ndizo hizo zili teketeza himaya da wagiriki, warumi na hivi sasa nchi za kibepari za Ulaya kama; Uingereza, Spain, Ufaransa na Italy bila kusahau nchi yako kipenzi Amerika.

Nyie ndiyo mna akili, watu ambao mna amini kuwa NGOs wataleta maendeleo ya uchumi na utawala Bora kwa Masokwe kama sisi! Nafikiri hiyo joint utakuwa umeivuta wewe kiasi kwamba ikakupa Illusion ya kuwa maendeleo yataletwa kwa kufanya maandamano.
Unazidi kujidhalilisha.
 
Ukabila mnauona kwa wenzenu lakini kwenu hamuuoni. JPM sio mkabila Period! Wewe ni mkabila namba moja na chama chako.

..ni mkabila.

..angalia ziara ngapi amefanya huko kwao.

...ni mahali gani nchi hii ametembelea mara nyingi kuliko kwao?

..na hatoba zake za KIKABILA. basi muweke na WAKALIMANI wa kutafsiri ili waTz wote waelewe.
 
Duuh! Wewe jamaa ni cockroach kweli kweli. Hoja gani hii unaileta hapa? Unakusanya majeshi ili kuwa against me? Huniwezi wewe mdudu wa kuvuta hewa ya chooni. Huniwezi kwa principle sio tu ya elimu bali maisha na upeo wa mawazo ya kitalaam.

Wewe huna kitu unacho kijua zaidi ya kuchangia hoja za kikanga kanga na majungu kama haya unayo yatoa hapa?

Niambie una mchango gani wa mawazo au Idea umewahi kuchangia katika jamii ikawa na impact katika maisha ya watanzania?

Off course hujasoma. Huo ni ukweli. Na ukweli utabaki kuwa ni ukweli. Una elimu gani wewe ya kumtambia mtu? Una weza leta mawazo ambayo yanaweza leta manufaa kwa wananchi? Niambie yapi? Wewe mwenyewe hujui utakula nini sembuse kuchangia mawazo ambayo yanaweza tatua matizo ya binadam?

Wewe unafikiri kushinda mitandaoni na kutoa comments za ki local kwa kutumia device ambayo ni visio na innovation ya mtu ambaye alikuwa shoga ndiyo unajiona kuwa una akili? You know nothing brother!

Eti mimi nimechanganyikiwa. Nimechabganyikiwa mimi au wewe? Nikikuuliza nini maana ya "Material science" unaweza nipa jibu sahii? Unajua maana ya Martensitic Transfomation kwenye material science ni nini?

Nimesha kueleza mara nyingi sana kwenye mtandao kama unachangia hoja basi changia hoja na sio kudiscuss personal issues. Na vile vile nimekuambia usipende kuwazarau na kuwatukana watu usio wajua mtandaoni. Huo si ustaarabu wa kuchangia hoja. Lakini wewe inaelekea hunielewi au huwaelewi watu wengine.

Endelea kujidanganya mwenye kuwa wewe ninmwenye akili kwa kutoa comments ambazo ni too shallow na hazina substances.

I do appreciate your level of stupidity, as far as I know you're a so educated. Keep it up an old man.
 
Wasije wakaenda na bisi bisi wakamdhuru Rais wetu

Wakae jukwaa la nyuma kwa usalama zaidi
raisi wenu jiwe ataondolewa na shetani weyewe, hatuna na nia ya kumuondoa, siku zake zimehesabiwa, ni muda tu------------------
 
..ni mkabila.

..angalia ziara ngapi amefanya huko kwao.

...ni mahali gani nchi hii ametembelea mara nyingi kuliko kwao?

..na hatoba zake za KIKABILA. basi muweke na WAKALIMANI wa kutafsiri ili waTz wote waelewe.


Ni Mkabila wa Kabila gani?
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Nikikuuliza nini maana ya "Material science" unaweza nipa jibu sahii? Unajua maana ya Martensitic Transfomation kwenye material science ni nini?
Acha kujifanya mjuaji mkuu. KwaniI kujua maana ya haya maneno ndiyo nn sasa? Wewe unayejua una nn cha mno? Acha kujimwambafai kwa vitu vidogo kama hv.

Jishushe utakwezwa, lkn ukijikweza utashushwa
 
Back
Top Bottom