Acha ufala wewe. Ulisoma Ujerumani kwa akili ipi? Halafu soma aya ya pili kutoka mwisho wa huu utumbo wako. Mbona huyu ba..sha wako anahubiri ubaguzi wa wazi na kuwanyanyasa wengine kisiasa. Hii ndiyo amani unayoijua? Wewe kwako kuwa na amani ni kutokuwepo na vita? Sijui hata Ujerumani ulifikaje. Ipo siku tu wewe mtetea utataga.
Falah ni wewe mwenyewe usio weza kutenganisha siasa na "reality of life". Msingi mkubwa wa maisha ni uhai na maelewano ya kuishi pamoja katika jamii kwa kuzingatia utiifu wa sheria ambazo tumejiwekea sisi wenyewe. Hatuwezi Bungeni tukatunga sheria halafu mitaani tukazibomoa.
Nyie kwa upande mwingine ni watu ambao mnataka sisi tuishi maisha kwa "principles of the jungle", kwa hali hiyo hatuwezi uwiana. Lazima tutazipiga tu na hivyo kusababisha chaos ya maisha.
Nyie mna mawazo na fikra ambazo ni destructive kwenye society yetu. Ni fikra ambazo zimepitwa na wakati. Mmevamia mambo ambayo kwa undani wake hamyajui. Nyie mnataka kuleta mfumo wa siasa ambao hata nchi anzilishi za mfumo huo hazifuati tena mfumo huo. Sijawahi ona nchi baada ya uchaguzi kwisha kila siku wanasiasa wanaandamana kupiga siasa mitaani. Hiyo itakuwa nchi tena au ndiyo Banana Republic?
Hatuwezi kila siku tukapiga siasa na kuandamana kila siku. Kama wana siasa baadhi ya wanachama wa chama chenu ni wabunge ambao ni representatives wa chama chenu na wananchi walio wachagua Bungeni. Si wanawajibu wa kupigania hizo haki zenu Bungeni? Kuna sababu gani tena za kutala kila siku kuandamana mitaani kwa kitu ambacho mna watu wenu wa kuwafikishia malalamiko yenu?
Tukiruhusu kila siku watu wapige blaablaa mitaani tutakuwa na mda kweli wa kuweza fanya mambo ya maendeleo? Hasa tukizingatia mwenenodo wenu wa kugoma na kususia kila kitu, hiyo hali sio hali ya kistaarabu tena, ni hali ambayo ina mfumo tatanishi wa maisha. Tukiruhusu hayo mambo, yaendelee hatuta piga hatua ya maendeleo.
Lazima tuwe watiifu wa sheria zetu na heshima kwa viongozi wetu ambao wananchi wamewachagua kwa misingi ya kidemokrasia na kukubalika. Hatuwezi ishi maisha ya kiholela holela kama nyie vibaraka wa mabeberu mnavyo taka. Hayo maisha nendeni nayo kwa hao mabeberu wenu. Sisi hatuyataki.
Maisha ya maelewano yana principles zake. Bila amani jamii haiwezi piga hatua ya maendeleo. Off course vita nita ni adui wa maendeleo ya kijamii. Kaka mzima wewe?
Rais Magufuli ni mpigania Uhuru wa kweli wa maisha katika Bara la Afrika na hakuna mwingine. Mifumo yote ya maisha duniani ina kikomo chake ambacho kina sababishwa na physical Processes ambazo nazo zina tokana chemical and biological processes kwenye miili ya binadamu. Hiyo ni principle of humanity. Binadamu sio monotone bali ana elements za dynamism. Ukae ukijua "trottel".