KIFO NA NDOA: Naomba nichukue nafasi hii kuisifu misingi ya dini ya Kiislamu


Kama 36000 hv
 
Serikali iingilie kati kwakweli!

Sherehe za ukumbini ni za kipagani hasa!
 
Kama 36000 hv
Bas ndio mahari ya dem ambaye umeisha mla na watu wakajua kuwa mme(mna)kulana.

Unahis hapo kuna kijana atashindwa kuoa kwa kuzingatia miongozo ya biblia?

Tatizo linaanzia kwenye mila na tamaduni zetu mfano kwa wahaya utatakiwa ulipe fain ya kumzalisha, blanket la bibi, pombe, koti la babu, sijui nn cha shangazi, makolokolo mengi unaweza jikuta milion nzima au zaid inakatika na hiyo ni nje na mahari.
 
Serikali iingilie kati kwakweli!

Sherehe za ukumbini ni za kipagani hasa!
Haiwez ingilia maana harusi ni sehemu ya moja wapo ya mila.ya kila kabila Africa mtoro baada ya kuoa ufanyiwa sherehe ya kuagwa kwao na kupewa ongera ya kuanzisha himaya(familia) yake.
 
ukweli mchungu ila tegemea povu, majibu ya kisirani toka kwa wana israel wa Mivumoni

nna rafiki kadhaa wa kigalatia, likija suala la harusi, natumiwa Proforma Invoice ya 70k na mimeseji kila kukicha
qmmmmmq
ilihali harusi za kikobazi nachangia 5k tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ukweli mchungu ila tegemea povu, majibu ya kisirani toka kwa wana israel wa Mivumoni

nna rafiki kadhaa wa kigalatia, likija suala la harusi, natumiwa Proforma Invoice ya 70k na mimeseji kila kukicha
qmmmmmq
ilihali harusi za kikobazi nachangia 5k tu
 
Umeeleza kweli, lakini kwenye uislamu , kama ilivyo rahisi ndoa, ndivyo ikivyo rahisi talaka napia ndivyo olivyo rahisi kuongeza Mke
 

Kwa ufupi KINACHOKUSUMBUA NI NJAA TU siyo ukristo..TAFUTA HELA NDUGU YETU maisha ni gharama nakugharamikia ndo raha ya kuishi, ila awali ya yote anza kwanza na KUBADILI JINA uongeze spidi maana ni wazi Mr SLOW umevurugwa hadi unatamani viashiria vya matendo ya kimasikini vya jamii fulani iwe sheria ndani ya jamii fulani kisa ukata wako binafsi.
 
Wapi kazungumzia matendo ya kimasikini? Na wapi kazungumzia kama ana ukata?
 
Huyu mwamba walimtesa sana. Mie sikupenda kabisa. Viongozi walifanya hivyo kwa manufaa yao binafsi. JPM alichukizwa sana na hicho kitendo.
We Konda unaamini kweli jamaa alivyokuwa akipenda sifa vile alichukia kitendo cha kuonekana ni Man of the people au unatia doa bure legacy ya mwendakulima, maana kama angepewa fursa kidogo yakuwa hai wakati anaagwa lazima ange-reply;

" Na hii ndo Tanyagiza ninayoitaka...na hata huko kuzimu nitawawakilisha vyema...ebu wewe mama mzuri mzuri pita mbele hapa unione mara ya mwisho usije sema hukuniaga na unielezee shida yako kabla sijakufwa tena.." (then after bla blaa na michango) "...Afu huna mume mama? Lahiti ningekuwa hai iiiiiiiiiiii ahaa.."
 
Wapi kazungumzia matendo ya kimasikini? Na wapi kazungumzia kama ana ukata?
Una ubongo hata hili ushindwe kweli kubaini? Hivi kwa kutumia akili ndogo tu lengo la mwenye uzi ni nini hasa anataka kifanyike? Na lengo la lawama zake nikufanikisha nini? Na akishamaliza hapo mada ijayo atafungua uzi kulalamikia mahari siyo lazima n.k unaisi watu wa namna hii kisaikolojia huwa wanasumbuliwa na nini?
 
Akili zako za usku , kama Una pesa weka mezani
 
Iman nyingne ziliacha kipi?
Zinafuata watu na si maagizo ya Allah,mfano wasabato wamekuwa brainwashed na Ellen G White,waluteri na martin luther king,waanglikana na ushoga ni damdam,wakatoliki na ulawiti na kuhukumu wasio wanajumuia,Uislam umenyooka hawana konakona
 
Wakristo kila ki2 kwenu pesa
 
Kama "Mkristo" maana yake ni kumfata Yesu Kristo basi hakuna shaka kuwa Muislam ndiye Mkristo wa kweli. Kama hujawa Muislam basi humfati Yesu Kristo.
 
Zinafuata watu na si maagizo ya Allah,mfano wasabato wamekuwa brainwashed na Ellen G White,waluteri na martin luther king,waanglikana na ushoga ni damdam,wakatoliki na ulawiti na kuhukumu wasio wanajumuia,Uislam umenyooka hawana konakona
Unauwakika ayo mambo huko kwa waislam hayapo?
Ila upo sahihi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…