Siyo kupenda mtelemko naona huja muelewa mtoa mada, mfano wewe umeoa mke kwao ni uchumi wakati na wewe kwenu uchumi wakati kwenye kufanya maendeleo ni jambo nyepesi kwasababu kipato chenu mnatumia wewe na mke wako tu na mnapanga maendeleo yenu bila ndugu na jamaa kuingilia kipato chunu, tofauti ukio na kuolewa kwenye familia masikia utakuta ndugu wa mke au wa mume yupo polisi unapigiwa simu shemeji utoa pesa, mala mtoto wa shemeji yako anahitaji pesa ya ada nk.Vijana saiz wanapenda mteremko, yaan wanavyopenda kupata wenye nacho. Ni hatar
Kipato cha kati alicho maanisha ni kwamba mfano upo kwenye ndoa na mke wako kipato Chenu haki gawanyiki kwenda kwao au kwenu kila mwezi ili kutatua changamo kila siku za ndugu na wazazUngesema na hicho kipato cha kati ni kuanzia kiasi gani [emoji276]usije ukawa unamaanisha Elfu 3
Ni kweli unasho sema ata mimi nilikuwa na demu wangu mmoja sasa ana dada yake ana mtoto nilikuwa nashangaa mtoto ana umwa walumpeleka hospitali wakawa wanadaiwa pesa nikashanga napigiwa simu mimi nilipe nikabaki najiuliza huyo mtoto si ana baba yake kwa nini wasimbie baba mtoto, shangazi zake, baba zake wadogo na wakubwa na bibi zake wote wameachwa naambiwa mimi nikawa najiuliza kwanini baadhi ya fimilia zinalea watoto vibaya , Nika kaa na kutafakari mbona mimi ndugu zangu na wazazi wangu hawa niombi pesa sana kuliko upande wa ndugu wa mpenzi wangu tokea siku hiyo nimejiapiza siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke kwao na ndugu zake wana njaaa.Kweli aisee kuna mmoja nilimtomba dada yake mara mbili tu si akajua aisee, mara akaanza kuniita shemeji tena hata mbele za wana. Sijakaa vizuri akaanza kunigongea hadi pesa ya msosi kwa mama lishe [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu unaweza kuoa mwanamke kwao familia nduni lakini wakawa wana jitambua matatizo yao ya kichumi hawa kugawii wewe, wana pambana nayo kivyao.Nimeoa mwanamke anayetoka familia duni sana nakiri kusema bila yeye nisingefika hapa nilipo
Maendeleo hayana mwisho. Labda bado hujaoa na huna mahali umejifunza.Sio kweli ukioa mwanamke kwao ni kipato cha kati huwezi kusikia ana fanya maendeleo kwao kwasababu kwao wazazi wake walishafanya maendeleo na uwezi kumsikia akisema mshahara wake ana somesha ndugu zake wala kuwa jengea nyumba wazazi wake wala kumsikia akisema mtoto wa dada wala wakaka anakuja kukaa naye ili kumsomesha, na wazazi wake kuja kuja nyumbani kwake ni ngumu sana.
Hiyo familia wameendekeza njaa sana aisee hapo ukioa umeona ukoo wote piga hiyo manzi na kusepaNi kweli unasho sema ata mimi nilikuwa na demu wangu mmoja sasa ana dada yake ana mtoto nilikuwa nashangaa mtoto ana umwa walumpeleka hospitali wakawa wanadaiwa pesa nikashanga napigiwa simu mimi nilipe nikabaki najiuliza huyo mtoto si ana baba yake kwa nini wasimbie baba mtoto, shangazi zake, baba zake wadogo na wakubwa na bibi zake wote wameachwa naambiwa mimi nikawa najiuliza kwanini baadhi ya fimilia zinalea watoto vibaya , Nika kaa na kutafakari mbona mimi ndugu zangu na wazazi wangu hawa niombi pesa sana kuliko upande wa ndugu wa mpenzi wangu tokea siku hiyo nimejiapiza siwezi kuingia kwenye mahusiano na mwanamke kwao na ndugu zake wana njaaa.
ExactlyUpendo huwa hauchagui mkuu....ni sawa na njiwa anaepaaa hutua popote, tena mwanamke anaetokea kwenye familia ya kipato cha kati au cha juu huwa anakuwa na mapenzi ya ukweli kwa sababu haendeshwi na dhiki
That's is true....Kijana wa sasa ambae hujaoa ila pia unategemea kuoa unapokuwa unatafuta mwenza jitahidi uchague mwanamke anaetoka kwenye familia ya kipato cha kati, vinginevyo itakuwa unaendeleza umasikini au utafanywa mgodi.
Atapata shida sana bora angekufa.
Na ajiandae kisaikolojia
Kweli, kabisa.Kijana wa sasa ambae hujaoa ila pia unategemea kuoa unapokuwa unatafuta mwenza jitahidi uchague mwanamke anaetoka kwenye familia ya kipato cha kati, vinginevyo itakuwa unaendeleza umasikini au utafanywa mgodi.
Ila pia Kuna kuna hatari San pia kuoa ktk familia ya uchumi was Kati
Kuna jamaa angu mmoja alioa ktk familia ya Kati sas Kuna mdgo mtu na dad ake anaolewa wakaitwa kwa ajili ya michango yey jamaa alijipanga kwa laki mbili kumbee dad mkubwa nae kaja na mume wake jama wa dad mkubwa akahaidi kutoa milion moja Kama mchango ikafika zamu ya jamaa angu yey alijipanga na laki mbili dah bas bhna akabidi abadili gia angani kuwa laki tano na dah alilamika snaa
Labda kama utavaa sura ya ukauzu...tegemea wageni nyumbani kwako au vinginevyo uwafukuze,, 2010 kuna sehemu niliwahi kuishi katika mazingira yale nikawa nimempenda dada mmoja wa kinyamwezi yule dada alikuwa ni mnene lakini alikuwa na mawowowo balaa..nikawa najilia mzigo kimyakimya sasa bwana baba wa yule binti akawa amefahamu sijui aliambiwa na nani kuwa yule mtaalamu jirani yako anamtomba binti yako............yaani unaambiwa yule mzee alivyokuwa akipata kiu ya pombe anakuja kukomaa kwangu mpaka nimpe hela ndio ataondoka πππKuna mambo mengine ni kujitakia wakuu. Awe mwanamke toka kipato cha chini au cha juu au cha kati ishu ni kuwa na misingi binafsi ya wewe na maisha ya familia yako. Mimi sijaoa ukoo au familia nimemchukuwa mwanao awe mke wangu sio kuja lea familia yao kwangu maana mimi pia nina hitaji kujiendeleza kulea familia yangu na yeye etc. so swala la kusema nita pigwa mizinga wajipange kabisa siwezi endekeza kujibebesha matatizo yalio nje ya uwezo wangu.
Kuna vitu tuna endekeza wenyewe mwisho tuna kuja laumu. siwezi pata binti mzuri na elewana nae niogope kuoa kisa kipato cha chini ni uongo. kama yeye ndio ana lelea familia yake hapo sawa nikimchukuwa ntakuwa nimewa haribia mipango yao ila kama wana subiri aolewe ndio waje tatua matatizo yao hawata amini aseeeh.
maana swala kama la ugeni sipokei timu kwangu aje mmoja tena kwa taarifa na mda maalum sio kuhamia. na wakisha juwa kuwa niko makini kwa hilo hawa wezi kuja nivamia kizembe zembe. so tujifunze kuwa na mipaka katika maisha yetu ya kila siku sio kila jambo ubebe tu kisa ndugu au familia mwisho ndio mana hatuendelei tuna zidi tengeneza familia tegemezi na zakivivu wakiamini ata kuja mtu kuwa okoa.