Kikao kizito sana kinaendelea muda huu, tuombe sana Mungu atuvushe salama

Angekuwepo, usingehitaji kuniambia wewe, angeniambia mwenyewe.

Ukishaona haja ya kuniambia Mungu yupo tu, ujue hayupo.
Hujasikia tu anakwambia mara nyingi tu kwakua wewe elimu ya ki roho ni ndogo/huna ndio maana huwezi kumuelewa ni sawa na mtoto anayenyonya umwambie akusolvie hesabu za algebra hataweza kwakua hajui na anaweza akapinga kwamba hamna kitu kama hicho
 
Kwani hujui Iran walipigana vita dhidi ya Iraq kwa miaka nane ? ,Tena wakati huo Iraq wanapata silaha kali toka Marekani na washirika wake ,
Mpaka cluster bombs na silaha za sumu zilitumiwa na Saadam dhidi ya Iran Ila hakuweza kutoboa
Wapersia ni wababe na resilient kwenye vita enzi na enzi ,muwe mnasoma vizuri hiyo Bible , waajemi wapo habari zao zimeelezwa kiundani
 
iran anasaidiwa na urusi china na north korea, je unalijua hilo au hujui?
iran hana jeuri ya kusimama alone yule ndo hamna kitu kabisa
Israel ni kama mtoto mpuuzi asiye na adabu mitaani na akibondwa kwa ukorofi wake anakimbilia nyumbani kwa baba yake kishitaki
 
We ukiangalia Iran ,na ukubwa wote ule lakini bado Israel mtoa roho ana piga anavyo taka na vichwa ana vikula, mbele ya makamanda wa iran
 
Watu hawaelewi somo wanadhani vita ni zana waajemi wana moyo mgumu sana wakupigana vita ata karne nzima, hizo silaha walizonazo ni advantage tu wale jamaa na warusi sio watu wazuri kabisa kwenye vita fanya ufanyavyo utakalishwa tuu
Wanadhani Iran ni Burundi au Congo
 
Litakufa jitu
 
Watu hawaelewi somo wanadhani vita ni zana waajemi wana moyo mgumu sana wakupigana vita ata karne nzima, hizo silaha walizonazo ni advantage tu wale jamaa na warusi sio watu wazuri kabisa kwenye vita fanya ufanyavyo utakalishwa tuu
Wana mioyo migumu kama pashtun wa Afghanistan wale Taleban , ni moja ya makabila yenye mioyo migumu sana upande wa vita ,ni jamii hiyo hiyo , mmarekani na Mrusi , mwingereza nk wote waliinua mikono .
Haya makabila ya pande hizo utashinda battle lakini sio war .
Ndicho watu wanashindwa kuelewa ,huyu mzayuni hata hao Hamas Tu in long run hawezi shinda ,atashinda battle Tu hizi za kulipua raia kigaidi ila si war
 
Hujasikia tu anakwambia mara nyingi tu kwakua wewe elimu ya ki roho ni ndogo/huna ndio maana huwezi kumuelewa ni sawa na mtoto anayenyonya umwambie akusolvie hesabu za algebra hataweza kwakua hajui na anaweza akapinga kwamba hamna kitu kama hicho
Hiyo roho yenyewe huwezi kuthibitisha kwamba ipo.

Yani unaambiwa uthibitishe Mungu yupo, huwezi, unaleta hadithi nyingine ya roho ambayo nayo huwezi kuithibitisha.

Thibitisha Mungu yupo, thibitisha roho ipo.
 
1. Hujathibitisha Mungu yupo.
2. Unaleat logical fallacy ya non sequitur ambayo haithibitishi Mungu yupo.
3. Unataja Quran na Biblia, vitabu vilivyojaa contradictions ambazo zinathibitisha huyo Mungu aliyeandikwa humo hayupo.
4. Contradictions hizo za kwenye Quran na Biblia huwezi kuzitatua.
5. Ukibisha, nikuwekee hapa contradictions uzitatue.
6.Ukibisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Kwani hujui kama Iran hapo inaishi na vikwazo na uchumi wake tofauti na wewe ambae nchi yako haina vikwazo hata kimoja
Na hapo kapigwa vikwazo vikali vya kiuchumi kwa muda mrefu kuliko nchi yoyote ile chini ya jua ,na bado anakiwasha .
Zingekuwa nchi zetu hizi , raia tungeperish kama nzige
 
Awavushe wapi wakati wanasubiria bwana atamke sis wa Iran tumejipanga na tuna kumbora zetu za nuke tutazitupa hapo telavivu tone dome kama itaweza!
 
Nawakumbusha tu , Iran sio waarabu , waarabu ndio wanafiki na waoga , muajemi si mwarabu .
Atakayeingia Miguu kuzipiga na muajemi ajue tu anaenda kuzipiga na jamii yenye watu wenye roho ngumu kama Waafghanistan
Jamii za hawa watu hata vita iende karne wao wapo tu , mpaka utakubali show !
 
Waambie waiache aljazeera ifanye kazi yake kwanza alafu uje ueleze picha zitakavyo mimi nika kule
Mkuu sasa mbona hiki ni kituko, ina maana walivyorusha makombora yao walikuwa wanategemea kujua madhara au targets ambazo zimekuwa hit kwamba Israeli itawaruhusu Aljazeera waende wakafanye kazi then ndiyo wawaambie hao Iran!! Hiki ni kituko sasa, so kifupi mpaka sasa hawajui wamepiga wapi au wameleta madhara gani mpaka Aljazeera aruhusiwe kwenda kufanya kazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ili hali waliotupiga hawajui wametupiga wapi! So kifupi hawana access ya kujua madhara waliyosababisha ila wanamini wamehit target basi. Poor Iran eti mpaka Israeli awaonyeshe walipopiga kama Israeli inabisha kuwa hakuna madhara. Kifupi madhar wanakadiria tu. So wakiambiwa hakuna hata jengo moja lililopigwa watakubali/watabisha, vilevile wakiambiwa wameangusha karibu majego yote na military basements pia watakubali/watabisha yote kwa sababu hawana ushahidi wowote eti mpaka Israeli iruhusu aljazeera akafanye kazi. Aisee
 
Hiyo roho yenyewe huwezi kuthibitisha kwamba ipo.

Yani unaambiwa uthibitishe Mungu yupo, huwezi, unaleta hadithi nyingine ya roho ambayo nayo huwezi kuithibitisha.

Thibitisha Mungu yupo, thibitish

Hiyo roho yenyewe huwezi kuthibitisha kwamba ipo.

Yani unaambiwa uthibitishe Mungu yupo, huwezi, unaleta hadithi nyingine ya roho ambayo nayo huwezi kuithibitisha.

Thibitisha Mungu yupo, thibitisha roho ipo.
Hivi mtu hua anaona nini anaposinzia? Je kile ulichokiona ndoto ni unaweza kumthibitishia mtu? Ni hiari yake akubali au akatae lakini wewe(muotaji) uliona, sasa mimi roho najua ipo kulithibitisha kwako wewe unaweza amua kukataa lakini haina maana wewe hauna pumzi hai. Sema huna experience ya kujua hiko kitu ni nini ingawa unacho. Ni kama muotaji amapomsimlia mtu ambae pia hua anaota ila ni uamuzi tu wa kuamua hii ni chai au kweli.

Njia nzuri ya wewe kukuthibitshia uwepo wa Mungu ni kupitia Roho ijue kwanza elimu hiyo tena anzia kwenye usingizi chimba pale utapata mwanga kidogo
 
Bado hujathibitisha Mungu yupo, bado hujathibitisha roho ipo.

Inaelekea hujui hata kuthibitisha ni nini.

Huelewi tofauti ya imani na uthibitisho.
 
Israel hawezi fanya kitu, na akithubutu naamini USA ataomba Iran isijibu mashambulizi na West wote watafunga safari mpaka Iran kuomba mambo yaishe.
 
Bado hujathibitisha Mungu yupo, bado hujathibitisha roho ipo.

Inaelekea hujui hata kuthibitisha ni nini.

Huelewi tofauti ya imani na uthibitisho.
Kwanza unaelewa roho ni nini? Siwezi kukuthibitshia kitu ambacho hukijui brother.
 

Nadhani wanajadili pia na hili tishio jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…