Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Kinachoendelea huko Mashariki ya kati kinadhihirisha kuwa uongo wa wazungu unaelekea kufika mwisho

Yani hizi vita zimefumbua macho wengi
Unajua zamani wazungu walikuwa wanatulisha matango pori kutokana na watu wengi duniani (haswa Afrika) kutokuwa na uwezo wa kufuatilia au kujua kinachoendelea duniani.

Miaka ya 90 kushuka chini, watu wengi walikuwa hawana TV kwa ajili ya kufuatilia taarifa za habari, sim zilikuwa chache, mitandao ilikuwa haijasambaa sehemu nyingi, vyombo vya habari vilikuwa vichache na 95% vilidhibitiwa na wazungu.

Sasa leo hii TV kibao, kila mtu mwenye tv ndani na anafuatilia taarifa za habari na anaona kinachoendelea duniani, simu kibao mpaka vijijini, mitandao ndo usiseme yani kama yote na inaonesha kila unachotaka kukiona, vyombo vya habari ni vingi mno, na robo ya vyombo hivyo ni private havidhibitiwi na mzungu. Yani wanaonesha vitu live bila chenga wala kuchakachua taarifa.

Ndomaana sasa tunaanza kuona chenga ziko wapi, mchele uko wapi, na mawe yapo wapi.
 
Bado wanakiwasha yaani wahuni
Vijana elf 20 tu ambao population yao inashindwa hata na wakazi wa temeke kupambana na nchi tatu Israel, Marekani na Uingereza sio mchezo brother.

Kama Israel ingepigana peke yake bila msaada wa kijeshi kutoka Marekani nina imani saa hizi wangekuwa washaomba vita viishe na washarudi kwao kitambo.
 
Wafia dini mnajifariji na uzi za kinafiki
Tatizo lenu ninyi wagalatia wa Namtumbo mnadhani kila kitu kikielezwa kuhusu Israel basi ni ufia dini.
Ukweli mchungu ni kuwa Israel ni jeshi dhaifu.
Wewe una deploy wanajeshi laki sita na jeshi la akiba la wanajeshi laki tatu kupigana na kikundi cha wanamgambo elfu ishirini na bado unashindwa kuokoa mateka are you serious?
Tuache ushabiki kaka.
Mwezi wa nne unaenda Gaza sio kubwa ni kama Temeke tu ila wanajeshi zaidi ya laki sita wameshindwa kuwamaliza hamas na kuokoa mateka huku wakiagiza silaha toka USA na UK kila uchwao.
Embu fungueni akili ninyi jamaa.
Turkiye mwaka jana katikati iliposhambuliwa na PKK ilizama ndani ya Syria ndani ya kurdish controlled area na kufanya ground operation wakiwa na makamanda wasiozidi 120 wakakamata rundo la PKK na kuua mamia .
 
Unaonekana uelewa wako ni mdogo ila nikuambie kwamba Kila mwanaume anayezaliwa Gaza ni Hamas ndio maana mpaka watoto wadogo wanafundishwa namna ya kutumia silaha za kijeshi.

Alafu nani kakudanganya kwamba Hamas wanatumia silaha za kienyeji tu? Kwako AK 47 ni silaha ya kienyeji sio?

Usichokijua ni kwamba Hamas walikuwa wamejiandaa kupambana na IDF zaidi ya miaka 20 ila mahesabu Yao wamepiga vibaya na nakuhakikishia baada ya miezi miwili kama Hali itaendelea hivi basi hakutakuwa tena na waji wanaoitwa Hamas GAZA
We kijana muongo.
Una ushahidi kuwa watoto wanaozaliwa Gaza wanashikishwa silaha?
Mbona una baseless claims tena za kitoto sana za kuchekesha?
IDF wanadai Hamas wanajificha nyuma ya raia ila ww unadai mengine.
Kusema hamas walijiandaa zaidi ya miaka 20 ni uongo.
Maana hata 2021 Hamas walishambuliana na israel.
KAMA KWELI ISRAEL KIDUME AKOMBOE MATEKA TUNASUBIRI HAPA TUWAONE MATEKA.
Unajiitaje una nguvu unatoa jeshi mpaka la akiba kupigana na kundi la watu maelfu??
 
Ubaya wa kushiba makande na Maji yasiyochemshwa ndio haya. Waarabu wenzenu wanavurumishwa. Watoto na akina mama wanakufa kisa Magaidi ya HAMAS yamewafanya kama "human shields", nyie mmeshiba makande eti uongo! Nendeni basi mkatalii Gaza na mpige selfie! Pumbavu!!!
 
Wewe na Allah wenu ndiyo hama akili na ndiyo maana Allah wenu na malaika zake wanaswali kwa Mtume
Surah 33:56
Usiendekeze udini
Maana hata ulichoki paste hujui maana yake.
kuna kumswalia na kuswali kama ubada ni vitu viwili tofauti.
Kumswalia mtume ni kumtakia rehema,baraka na amani na hilo linafanywa kwa mdomo.
Na kuswali ni kumsujudia Mungu kwa kujinyenyekeza kwake.
Unaonekana akili yako ni brainwashed
Ukimezeshwa unameza hautafakari.
 
Hao watoto wanatumiwa kama ngao na wahuni wa Makamasi!! Wanarusha makombora wanakimbilia kujificha kwa watoto na raia kwa ujumla, damu yao ipo juu ya magaidi, mlitaka IDF wasijibu!! Infact silaha zote za magaidi zipo maeneo ya raia!
Katika hao watoto waliouliwa.
Hakuna hata mwanamgambo wa hamas aliepatikana wala hata silaha yake kukutwa.
Hivyo hiyo ni false fact to justify their failure and genocide against unarmed civilians.
 
Ubaya wa kushiba makande na Maji yasiyochemshwa ndio haya. Waarabu wenzenu wanavurumishwa. Watoto na akina mama wanakufa kisa Magaidi ya HAMAS yamewafanya kama "human shields", nyie mmeshiba makande eti uongo! Nendeni basi mkatalii Gaza na mpige selfie! Pumbavu!!!
Minyoo ya nguruwe inakutekenya.
Nakuuliza maswali matatu tu.
1)IDF imeweza kuokoa mateka??
2)IDF imeweza kuwadhibiti hamas??
3)Katika hao raia mnaodai kuwa wanafanywa ngao na hamas je kuna maiti ama silaha iliyopatikanika ya mwanahamas baada ya shambulio??
Nasubiri majibu.
 
Usiendekeze udini
Maana hata ulichoki paste hujui maana yake.
kuna kumswalia na kuswali kama ubada ni vitu viwili tofauti.
Kumswalia mtume ni kumtakia rehema,baraka na amani na hilo linafanywa kwa mdomo.
Na kuswali ni kumsujudia Mungu kwa kujinyenyekeza kwake.
Unaonekana akili yako ni brainwashed
Ukimezeshwa unameza hautafakari.
Duuu umedanganywa sana. Ndiyo maana tunasema Uislam ni:
Screenshot_20231202-212400.png

Na ndiyo maana wenzio hata Midori inawapandisha n*ege
Screenshot_20240118-151929.png
 
Duuu umedanganywa sana. Ndiyo maana tunasema Uislam ni:
View attachment 2875548
Na ndiyo maana wenzio hata Midori inawapandisha n*ege
View attachment 2875550
We unaonekana kijana unaeamini sana kujazwa maneno akili pasi na kuyatafakari.
Pole sana punguza udini mdogo wangu pia usipende kuwa brainwashed ingekua Islam is after sex and war wanawake wasingelindwa katika jamii za kiislam na pia hata hapa Tanzania kusingekua na amani maana matajiri wakuu hapa Tanzania ni waislam.
Kua kiakili jitambue .
Sina kingine cha kukwambia maana mie sio mbishani kama wewe.
 
Kama ulikua hujui Aljazeera ndio kituo cha habari pekee ambacho hakijawahi shutumiwa ku fake taarifa .
Kushutumiwa na nani? Faiza fax au? Waandishi wengi wa Al-Jazeera ni magaidi, wamegundulika kuitumikia Hamas ndio maana wengi wameuawa
 
Kushutumiwa na nani? Faiza fax au? Waandishi wengi wa Al-Jazeera ni magaidi, wamegundulika kuitumikia Hamas ndio maana wengi wameuawa
Kuna kina kimberly Halket,Jessica Washington,Teresa Bo,Alessandro Rampieti je hao nao magaidi??
Nazungumzia Aljazeera English.
Correspondent wengi wakristo na wazungu wengine wachina.
Hao magaidi wanakamatwa kina nani??
Doh!Pole sana.
 
We unaonekana kijana unaeamini sana kujazwa maneno akili pasi na kuyatafakari.
Pole sana punguza udini mdogo wangu pia usipende kuwa brainwashed ingekua Islam is after sex and war wanawake wasingelindwa katika jamii za kiislam na pia hata hapa Tanzania kusingekua na amani maana matajiri wakuu hapa Tanzania ni waislam.
Kua kiakili jitambue .
Sina kingine cha kukwambia maana mie sio mbishani kama wewe.
Hamna hata aibu nyinyi Waislam mpaka vitoto mnavifunza ugaidi; sema mko na bahati sana kwakuwa ALLAH ni SHETANI MWENYEWE
Screenshot_20240118-193106~2.png
 
Uongo ulionichosha zaid ni pale wakati wa corona, aisee waltoa vitisho kwamba Africa tutakufa kama kuku. Mwanzo niliogopa nikachukua tahadhari kubwa sana.

Nilikua na barakoa muda wote mara kunawa kwa sana kumbe ni michongo tu.

Nilisema kama kufa tutakufa tu hata na malaria nikaachana na mambo ya kunawa na barakoa na sijafa mpka leo wala sijawahi kuumwa huo ugonjwa wao na sijachoma chanjo zao.
 
Kuna kina kimberly Halket,Jessica Washington,Teresa Bo,Alessandro Rampieti je hao nao magaidi??
Nazungumzia Aljazeera English.
Correspondent wengi wakristo na wazungu wengine wachina.
Hao magaidi wanakamatwa kina nani??
Doh!Pole sana.
Hauko informed, nyamaza
 
Wewe ni nani huko kwa wavaakobazi?mana mnamchukia mzungu ila mnatumia vitu vyake.
Ni sawa na pale zanzibar wanaupinga ukristo kwa nguvu sana hata wakristo wanaowaita filauni nk kwamba hawana dini, wenye dhambi ila wazungu ambao ndiyo wenye huo ukristo ndiyo wanapigiwa magoti kwa misaada na ndiyo waliojaa zanzibar na kuwekeza mahoteli.

But ukisikia midomo iliyofungukabkwa kuwakejeli wakristo unashangaa, ndiyo maana hizi dini nipo nazo kwa umakini mkubwa sana, natumia akili ya njiwa!.
 
Back
Top Bottom