inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hebu nioneshe Aya ya Qur'an inayosema mchawi auaweDini zote hukumu ya mchawi ni kifo.
Thus ulaya waliwaua wachawi wote bila huruma ndipo wakapata maendeleo.
Wachawi wanadumaza fikra za maendeleo wakitukuza ufukara
Kwa hiyo baba siyo mzaziMwanamke anazaa wewe Mwanaume tangu lini ukazaa? Mwanamke akitaka kuanzisha Jeshi la wachawi ni kugusa tu watoto wake wote anawaingiza
Kha!!Hao watu ni shida sana yaani walifika wilaya rungwe mbeya yaani wanakula kuku na mbuzi pamoja dada zetu .walikuwa wanalala.kambini wapingana miti ni shida
kwa sababu kigoma ni wanga kupindukia wanazengo wamechokaMbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Wapi wamewaua kwenye hiyo operationHebu nioneshe Aya ya Qur'an inayosema mchawi auawe
Google utaipataHebu nioneshe Aya ya Qur'an inayosema mchawi auawe
Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Yaani uchawi ni africa tu au ni dhana ya nyie wachawi na washirikinaNyie mnaopinga hiyo Operation mnajua mateso wanaopitia watu huko inakofanyika hiyo Operation?
AFRIKA HAIENDELEI SABABU MACHAWI YANANENEPEANA TU KILA SIKU CHA KUSHANGAZA KUNA WATU WANAWATETEA HUMU!
Hao viongozi ni sehemu ya raia wa Tanzania, na raia wa Watanzania wengi wetu tulishawahi kusikia neno uchawi, hivyo hao viongozi wanawaunga mkono hao kamchape wakiamini uchawi ni kikwazo cha maendeleo Kigoma.Viongozi wote wa kigoma hawalioni hili ?
Tusema viongozi wa CC wamelipitisha, mtu unalazishwa kutoa afu5 na fimbo juu . Asee [emoji119]
SahihiHao viongozi ni sehemu ya raia wa Tanzania, na raia wa Watanzania wengi wetu tulishawahi kusikia neno uchawi, hivyo hao viongozi wanawaunga mkono hao kamchape wakiamini uchawi ni kikwazo cha maendeleo Kigoma.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Wewe fata Mambo yako....!Narudia tena ni Udharilishaji, Upuuzi, Ushenzi,Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
Dhana? Una umri gani? Na umefanikiwa kufika vijiji gani katika nchi hii? Kama jambo hulijui na huna uhakika nalo ni bora kukaa kimya kuliko kuongea ukaongea nonsense.Yaani uchawi ni africa tu au ni dhana ya nyie wachawi na washirikina
Mi nilishasemaga, uchawi na ushirikina ni direct proportional na umaskini na ujinga. Vitu kama hizi huwezi ona mjini coz watu wanajielewaNarudia tena ni Udhalilishaji, Upuuzi, Ushenzi, Uchonganishi na Utapeli.
Nimefika mkoa wa Kigoma Tokea Majuzi nilicho Kikuta huku Sielewi Huku ninchi Nyingine au ni Tanzania hii hii !
Kuna kitu kinaitwa KAMCHAPE, hawa wapuuzi nani kawaleta, Hili kweli nani kalipa Baraka kufanyika karibu mkoa mzima wa Kigoma?
Kinachofanyika Ni Udhalilishaji na Uchonganishi kwa jamii.
Kwanza Wanachangisha Tsh 5,000 kila kaya kwa lazima sio ombi.
Kisha Wanapita kila nyumba Eti wanatoa Uchawi na wachawi! Tena utake usitake lazima.
Wakifika kwako wanasema hapa kuna uchawi Lazima uchapwe kisha unanyolewa Nywele Mbele ya umati wa watu kisha kunyweshwa Kile wanachoKiita Dawa hautakuwa mchawi tena!
Nimefuatilia kinachofanyika pale ni Mazinga Ombwe na Kujipatia Pesa kwa Utapeli!
Wakati Yakifanyika hayo Kijiji Jirani, Nyie mnaanza jiandaa na kama mwenyekiti hata Wakaribisha hao watu au kuchangisha hizo pesha kila kaya naye Anajumuishwa kwenye Kundi moja la Wachawi !
Kuna vitu vya Ajabu sana Vinafanyika mpaka nimeshikwa na Butwaa. Nimeuliza nikaambiwa Serikali Ndio Imeruhusu hili Lifanyike Mkoa mzima kweli?
Mbona Sioni Dodoma na Mbeya Kwanini Kigoma?
Kwasasa zoezi limepamba Moto Vijiji vya Nyarubanda, Kalinzi, Mukigo, Muhinda, Nyaruboza, Rukoma, Igalula, Mgambo, Katumbi, Kalya Nk.
Huko kumechafukwa hali ni mbaya na lisipofanyiwa kazi na kuacha litaleta shida kwa watu
Pia soma
- Mfahamu 'Kamchape' mkamata wachawi na shughuli zake kwa ujumla kutokea hapa Mkoani Kigoma
💔So kitabu Cha dini kikisema magonjwa yote ni mapepo nenda kaombewe we unaacha kwenda hospital...dunia imeendelea saa hivi unabidi uache Mila za kitoto na za kijingaWewe fata Mambo yako....!
Waha leo Dar es salaam, ni Wafanyabiashara Wakubwa, Matajiri, lakini hawajengi kwao, watu wanaogopa hata kwenda kusalimia kwao Kigoma....!
Uchawi upo na Mchawi sio Mtu mzuri, kama huamini kuwa Uchawi upo wewe endelea na mambo yako, aijuae Siri ya Mtungi ni Kata...!
Unafiki wa Watanzania, kujifanya kuusikia kuhusu Uchawi Jamii forums...!
Vitabu vya Dini vinatambua Uchawi upo.... Hutaki unaacha....!