Kinana: Kuna watu Wana vyeo vikubwa, ila hawaheshimiki Kwa TABIA zao mbaya

Ila wabongo bhana wajinga na wapumbavu sana! Kama ni muuaji na mwenye mamlaka yote Rais mwenyewe kamuona nafaa kuwa Mwenezi wewe ni nani useme ni muuaji na hafai kuwa Mwenezi!
Watu wengi humu mna roho mbaya na ukabila unawasumbua sana! Makonda hakuwa na cheo ndani ya miaka mitatu mbona hamkwenda mahakamani kumshitaki?
Nchi ya watu wenye majungu na wanafiki! Mwacheki Mkaonda afanye kazi zake nyinyi kazi imewashinda mnaanza kumsikiliza huyo mzee mwenye tuhuma kidao za hovyo!
 
mleta mada nadhani , ingekaa vzr Kama ungeweka , na nukuu ya comrade hapo chini .
 
mzee usitake kuwapa kazi watu ambao walikuwa hawana kazi, wakapata kazi ya kufanya kazi. hawashidwi kufukua yanayokuhusu .
 
Hii ndio Tanzania, fisadi anabeza kisha chawa anakuja kumpongeza.

Damn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…