Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Subutuu Yako WEWE, CCM wanajuana hakuna wa kumshika shurubu mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wabongo bhana wajinga na wapumbavu sana! Kama ni muuaji na mwenye mamlaka yote Rais mwenyewe kamuona nafaa kuwa Mwenezi wewe ni nani useme ni muuaji na hafai kuwa Mwenezi!Fikiria chama kinaona muuaji na mporaji ndiye anayefaa kuwa kiongozi wao!! Bila shaka wamevutiwa na uovu, ndiyo manataka mwovu awaongoze katika kutenda na kuishi na uovu.
CCM ni alama ya uovu, laana na ushetani, ndiyo maana wapo radhi na wanafurahia wanapokuwa na kiongozi mwovu zaidi anayeweza kuujenga na kuupalilia uovu.
Nadhani alimaanisha Tundu Lisu 😂Hakuna lolote, mafumbo yanasaidia nini? ataje watu
Tundu ni kiongozi wa umma?Nadhani alimaanisha Tundu Lisu 😂
Kwani Chadema ni mali binafsi ya Mangi Mtei?Tundu ni kiongozi wa umma?
Mjinga wewe huelewi hata maana ya kiongozi wa umma?Kwani Chadema ni mali binafsi ya Mangi Mtei?
😂😂😂🔥Mjinga wewe huelewi hata maana ya kiongozi wa umma?
Ndio wanajuana ila binfsi maneno ametoa mzee , ni ya kiutu uzima sanaSubutuu Yako WEWE, CCM wanajuana hakuna wa kumshika shurubu mwingine
Chawa mpo huko ccm , why niwe chawa , maisha yangu yananitosha sana japo sina pesa za kifisadi, ila ninayo amani sanaChawa kwenye moja na mbili
Hii ndio Tanzania, fisadi anabeza kisha chawa anakuja kumpongeza.Ndugu wanajf amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yake.
Leo nachukua fursa hii kupongeza kauli ya Mzee Kinana, ila pia naomba kutana naye.
Ni kweli mimi sio MwanaCCM, ila pale amefanya vizuri lazima kupongezwa, mzee ametoa kauli ambayo hakumtaja yeyote ila ujumbe wake upo wazi na mafunzo makubwa ndani yake.
Nakushukuru sana Mzee kinana ila kura yangu CCM sitowapa.
Thanks
Tunazungumzi maneno ametamka ya ndovu, anzisha mada , ayanihusu, tujifunze soma madaMzee wa Meno ya Ndovu, hatari sana
Tetetete😂😂😂🔥
Pumbavu, ufisadi na maneno ameongea vyausina vipi ?Hii ndio Tanzania, fisadi anabeza kisha chawa anakuja kumpongeza.
Damn!
Hakuna neno hata moja la kiutu uzima alilotoa.Ndio wanajuana ila binfsi maneno ametoa mzee , ni ya kiutu uzima sana
Ukipata akili utaacha kumsifia aliyekufanya uwe mjinga.Pumbavu, ufisadi na maneno ameongea vyausina vipi ?
So wanipangia amini kile kipo kichwani mwakoHakuna neno hata moja la kiutu uzima alilotoa.
Amka ndugu usinziaye uyafahamu mabezo ya mafisadi.
Ukipata akili utaacha kumsifia aliyekufanya uwe mjinga.So wanipangia amini kile kipo kichwani mwako