KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

S
Subiri sasa muone namna Lengai Ole Sabaya atakavyo achiwa kwenye kesi yake na kuwa shahidi mkuu wa Serikali kwenye kesi hii inayomkabili Mtuhumiwa wa UGAIDI, Mwenyekiti Mbowe na wenzake na hapo ndipo watu watashangaa na kumkubali Ole Sabaya kuwa utetezi wake ni wa ukweli kwenye kesi yake huko Arusha.
 
Hapo hakuna kesi .
Kula njama na kumsababishia Ole Sabaya majeruhi.
Sabaya huyu huyu aliyevamia kwa Mbowe usku usku .
Sabaya huyu huyu aliyewaumiza walinzi wa Mbowe .
RPC Kingai eti ndo shahidi aliyemwambia Mbowe mwaka huu hutoki tutakupa kesi ya ugaidi au kuna mwingine?
Ugaidi kwa kumiliki risasi 3 .
 
Hakuna eaia aliye mahakamani akaweka hata mtiririko wa mwenendo wa maswali na majibu, au leo ni kusomewa mashitaka tu na kusepa?
 
Hahaha boss anayelipwa mshahara na Mabeberu hahahah, sasa hapo sijui Mulamula ni boss au Mabeberu
Mulamula analipwa Mshahara wake na Mama Samia,na ndiyo alimpaa kazi hiyo! Sasa Mabeberu wanaingiaje hapo!?
 
Ndiyo maana TWAWEZA katika utafiti wao walisema CCM inaungwa mkono zaidi na watu wasio na akili. Huyu ni typical good example.
hahahaahahaa mtanyoooka tu mwaka huu wala hatuna haraka na nyie umizeni mioyo yenu tuuuuu
 
Tafadhali rekebisha kwenye hati ya mashtaka ni Mbowe siyo Mheshimiwa Mbowe kama ulivyoripoti. Gaidi hawezi kuitwa na mahakama Mheshimiwa
 
Tafadhali rekebisha kwenye hati ya mashtaka ni Mbowe siyo Mheshimiwa Mbowe kama ulivyoripoti. Gaidi hawezi kuitwa na mahakama Mheshimiwa
Akili zako zimenenepa kama jina lako, hazina uwezo wa kufikiri
 
kwani walikuwa hawajui kuwa leo gaidi anakuja mahakamani? wameshaipuuza wameona gaidi hana cha kujitetea hapo
Hivi Mama alisema wenzake wameshahukumiwa na wanatumikia kifungo, ni nani na nani kati ya hao watatu?
 
Hivi Mama alisema wenzake wameshahukumiwa na wanatumikia kifungo, ni nani na nani kati ya hao watatu?
waliohukumiwa ni wale watatu ambao jumla walikuwa saba watatu wakahukumiwa kwa kuachiwa huru najuwa utasema hiyo siyo hukumu
 
Mbowe akishinda hii kesi itakuwa ni aibu kubwa sana na anguko kubwa la kisiasa kwa Madam SSH.

Binafsi sina chama na sipendi vurugu za kisiasa lakini naomba sana Mbowe ashinde.

Msiniulize sababu.
 
MaCCM jinsi yalivyo vyamia humu , unaona kabisa jinsi gani wanavyomuogopa Muheshimiwa Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…