CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
Subiri sasa muone namna Lengai Ole Sabaya atakavyo achiwa kwenye kesi yake na kuwa shahidi mkuu wa Serikali kwenye kesi hii inayomkabili Mtuhumiwa wa UGAIDI, Mwenyekiti Mbowe na wenzake na hapo ndipo watu watashangaa na kumkubali Ole Sabaya kuwa utetezi wake ni wa ukweli kwenye kesi yake huko Arusha.Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali...
Yeah eti alishiriki vikao kwa kuaga not za elfu 10Hiyo 600,000 ndiyo inayodaiwa kutolewa na Mbowe kufadhili vitendo vya ugaidi
Majibu kutoka kwa wahusika tafadhaliCCM wamebumba kesi hii ili wapumue suala la katiba mpya - je watafanikiwa ?
gaidi ananyooshwa kwelikweli
Ndiyo maana TWAWEZA katika utafiti wao walisema CCM inaungwa mkono zaidi na watu wasio na akili. Huyu ni typical good example.gaidi ananyooshwa kwelikweli
Mulamula analipwa Mshahara wake na Mama Samia,na ndiyo alimpaa kazi hiyo! Sasa Mabeberu wanaingiaje hapo!?Hahaha boss anayelipwa mshahara na Mabeberu hahahah, sasa hapo sijui Mulamula ni boss au Mabeberu
Nchi hii ina vichekesho kweli kweliAlitaka kumuua sabaya ,hahaha hatari sana
hahahaahahaa mtanyoooka tu mwaka huu wala hatuna haraka na nyie umizeni mioyo yenu tuuuuuNdiyo maana TWAWEZA katika utafiti wao walisema CCM inaungwa mkono zaidi na watu wasio na akili. Huyu ni typical good example.
Nimegundua pia choka mbaya wengi ni masadist wengi wana roho chafu sanaNdiyo maana TWAWEZA katika utafiti wao walisema CCM inaungwa mkono zaidi na watu wasio na akili. Huyu ni typical good example.
Tafadhali rekebisha kwenye hati ya mashtaka ni Mbowe siyo Mheshimiwa Mbowe kama ulivyoripoti. Gaidi hawezi kuitwa na mahakama MheshimiwaMwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali.
UPDATE
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam wamesomewa maelezo ya mashtaka mbalimbali yanayowakabili ikiwemo la kutaka kudhuru viongozi wa Serikali akiwemo aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
Upande wa mashitaka unasoma mashitaka kwa kusema kuwa; Halfan Bwire Hassan, Adam Hassan Kasekwa, Mohamed Abdallah Ling'wenya na Mhe. Freeman Mbowe wanatuhumiwa;
1. Kula njama za kutenda ugaidi (kulipua vituo vya mafuta)
2. Kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya
3. Mhe. Mbowe alitoa laki 6 kwa ajili ya kufadhili matendo ya Kigaidi.
4. Watuhumiwa wote kushiriki vikao vya kutenda kosa la ugaidi.
5. Mshtakiwa wa pili anashitakiwa kumiliki bastola yenye risasi tatu kwa ajili ya kutenda kosa la ugaidi.
6. Mshtakiwa wa tatu anatuhumiwa kumiliki nguo, begi na koti za Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWT) na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT.)
andika taratibu mpaka unakosea maana hujui hata unachokitakawengi wana toho chafu sana
Akili zako zimenenepa kama jina lako, hazina uwezo wa kufikiriTafadhali rekebisha kwenye hati ya mashtaka ni Mbowe siyo Mheshimiwa Mbowe kama ulivyoripoti. Gaidi hawezi kuitwa na mahakama Mheshimiwa
Hivi Mama alisema wenzake wameshahukumiwa na wanatumikia kifungo, ni nani na nani kati ya hao watatu?kwani walikuwa hawajui kuwa leo gaidi anakuja mahakamani? wameshaipuuza wameona gaidi hana cha kujitetea hapo
waliohukumiwa ni wale watatu ambao jumla walikuwa saba watatu wakahukumiwa kwa kuachiwa huru najuwa utasema hiyo siyo hukumuHivi Mama alisema wenzake wameshahukumiwa na wanatumikia kifungo, ni nani na nani kati ya hao watatu?
Maandishi yako tu yanaonesha, upstairs, you are empty.hahahaahahaa mtanyoooka tu mwaka huu wala hatuna haraka na nyie umizeni mioyo yenu tuuuuu
Mama alisema wamehukumiwa wanatumikia vifungo vyao.Kuwa huru ni kifungo?waliohukumiwa ni wale watatu ambao jumla walikuwa saba watatu wakahukumiwa kwa kuachiwa huru najuwa utasema hiyo siyo hukumu