CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
S
Subiri sasa muone namna Lengai Ole Sabaya atakavyo achiwa kwenye kesi yake na kuwa shahidi mkuu wa Serikali kwenye kesi hii inayomkabili Mtuhumiwa wa UGAIDI, Mwenyekiti Mbowe na wenzake na hapo ndipo watu watashangaa na kumkubali Ole Sabaya kuwa utetezi wake ni wa ukweli kwenye kesi yake huko Arusha.Mwenyekiti wa chama taifa Mhe. Freeman Mbowe amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo leo Agosti 23, 2021 kesi Na.63/2020 ya Uhujumu Uchumi yenye mashtaka ya Ugaidi ndani yake itaanza kusomwa kwa hati ya mashtaka na ushahidi kwa hatua ya awali...