BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hahaaa zitajeTwo people with different characteristics
Kiti cha Ruto kimechubuka rangi sio cha ikuluNimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.
Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.
View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwa nini hakubebewa kutoka Nairobi? anaheshimu taratibu za kanisa, angalia hata Body guard wake kavua kofiaKiti cha Ruto kimechubuka rangi sio cha ikulu
Mamnde, ni characters na sio characteristcs!, all human beings have the same characteristics, but different characters!.Two people with different characteristics
NakaziaTuziheshimu nyumba za Ibada.
kawaida yakeAmeingia kanisani.!?
au mambo ya dini yanahusika kingetoka msikitini je?
Discuss this statement using vivid examples. (30 marks)Two people with different characteristics
Haya masuala yanawahusu walinzi wake sio yeye !! Mengi anakuwa anapangiwa tu !!Kwa nini hakubebewa kutoka Nairobi? anaheshimu taratibu za kanisa, angalia hata Body guard wake kavua kofia
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Duh English mwanawane.Two people with different characteristics