Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app

Huu Uhuru wenu wa kuongea kila mnachojisikia mnautumia vibaya

Yule ni rais wa inchi, ni raia namba moja, kuna mambo mengine rais anafanyiwa ambayo ukiambiwa utashangaa zaidi

Ethics za ulinzi hakuna mambo ya hapa kanisani wala hapa msikitini kwanza ujue Hilo

Umewahi kujiuliza why mashekhe wengi na mapadri wengi ni mapolice au watu wa usalama ?

What if kiti cha rais kina massage machine ambayo akikaa inafanya awe comfortable unataka na Hilo litangazwe?

Acheni ushamba
 
Huu Uhuru wenu wa kuongea kila mnachojisikia mnautumia vibaya

Yule ni rais wa inchi, ni raia namba moja, kuna mambo mengine rais anafanyiwa ambayo ukiambiwa utashangaa zaidi

Ethics za ulinzi hakuna mambo ya hapa kanisani wala hapa msikitini kwanza ujue Hilo

Umewahi kujiuliza why mashekhe wengi na mapadri wengi ni mapolice au watu wa usalama ?

What if kiti cha rais kina massage machine ambayo akikaa inafanya awe comfortable unataka na Hilo litangazwe?

Acheni ushamba
Hakuna kitu hapa,

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania viongozi wetu wamejawa na Imani za kishirikina, Mimi sioni sababu ya kubeba viti ili hali uendako Kuna viti na salama, maana Rais kabla ya kufika eneo Hilo usalama wa Taifa huwa wamesha kagua na kujiridhisha, sasa una beba kitu chako Cha nini? Huo mchezo ulianza na JK akiwa madarakani.

Sasa hao usalama ndio wamemwekea kiti chake Kwa sababu zao na sio lazima ww ujue
 
Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Shida inaanzia kwenye katiba!!??
kwenye katiba mbovu watu wanawindana sana....
Kwenye katiba nzuri watu hawawindani.....
maana hasira zinakuwa soted out kwenye katiba
 
Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwani msikitini huenda na kiti chake pia? labda tujiulize na hilo swali pia! Au huko huenda na mkeka wake? Anayejua atujuze! Lakini tuwe wa kweli hili siyo jambo la kukomalia kivile!!
 
Hivi ni Rais wa Tanzania tu ndio huwa anatembea na kitu chake maalum au marais wote??
Huwa sioni hata POTUS akiwa anatembea na kiti chake maalum!
Kwan hicho kiti huwa kinakaaga wap maan Kweny misafara yake huwa hatukioni, tunashaangaa tyr kiko eneo la tukio
 
Hivi ni Rais wa Tanzania tu ndio huwa anatembea na kitu chake maalum au marais wote??
Huwa sioni hata POTUS akiwa anatembea na kiti chake maalum!

Wengine wanatembea na vyoo vyao kabisa sio kiti tu
 
Kwani msikitini huenda na kiti chake pia? labda tujiulize na hilo swali pia! Au huko huenda na mkeka wake? Anayejua atujuze! Lakini tuwe wa kweli hili siyo jambo la kukomalia kivile!!

Hata kama angeenda na sofa no problem
 
Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hayo ni mambo ya ki itifaki i remember kwenye Hitma ya Ma'alim Seif alikaa kweny Mkeka kbsaa
 
Sioni sababu za hiz propaganda za kiouuzi ju ya kit Cha rais nimeona kija wa mbowe akipost bas kijna yule amejiona mweruvu
 
Hoja Haina mashiko hata maofisini kiti cha boss na mfanyakazi wa kawaida huwa tofauti

Pili kuna wengine wana matatizo mfano ya mgongo huwezi lazimisha wakae kiti ambacho Hawawi comfortable
Ruto na Samia huwezi walinganisha kwa kulazimisha wakalie viti vya aina gani ni ujuha
 
Hivi kwenye hayo mabenchi mliweka nini mbona mnakomalia sana bimkubwa akalie?
Achana na wajinga hao mbona Askofu au padri ana kiti chake tofauti na waumini? Papa mwenyewe alitembelea Tanzania mbona alikuwa na kiti spesheli?

Labda wajibu kwa nini padri au Askofu.ana kiti specheli na kwa nini yeye huwa anakula mkate na kuteremshia na divai wakati waumini wengine kanisani wanaowasalisha wanapewa mkate peke yake wameze kwa kutumia mate yao? Kadivai ana enjoy padre au Askofu peke yake ndie anadudumia
 
Back
Top Bottom