Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetumia jumuishi kwa sababu humu JF ....msemaji wa Chadema ndiye huyohuyo Erythrocyte ambaye ameanzisha ule uzi jana jioni mkuu!Kwan kuna chama kimetoka rasmi kupinga hadharani au umefanya hisia jumuishi?
Mungu anachukia wanaojikweza juu ya utukufu wake.Binafsi sikumshangaa rais wa TEC wa wakati huo Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, alipomzuia Mzee wa Msoga kuingia na kiti chake kwenye hafla aliyoalikwa na Kanisa.
Mzee wa Msoga kuona vile, akasusa kuhudhuria lile tukio, na maisha yakaendelea. Kuna kama viashiria vya dharau hivi kwa mbali dhidi ya Kanisa na pia imani, kwa mbali.
Kuna siku CHADEMA walimtambulisha ndo msemaji wao? Na alichaguliwa na nani? Inasikitisha sana.Nimetumia jumuishi kwa sababu humu JF ....msemaji wa Chadema ndiye huyohuyo Erythrocyte ambaye ameanzisha ule uzi jana jioni mkuu!
Kwa nini anapotoa taarifa za matukio ya chadema na viongozi,wake hamjitokezi humu kumkanusha?Kuna siku CHADEMA walimtambulisha ndo msemaji wao? Na alichaguliwa na nani? Inasikitisha sana.
Kabisaaa!Tuna kizazi cha Mabazazi
Ni kichaa tu anayeweza kujengea hoja kithabiti juu ya jambo makini bila ushahd makini.Kwa nini anapotoa taarifa za matukio ya chadema na viongozi,wake hamjitokezi humu kumkanusha?
Ila tu pale anapochemka ndio mnataka kumkana!
Umenena sahihi kabisaa mkuu!Huu upinzani wa kupinga kila jambo sasa nimeanza kuona unakengeusha akili, na kufubaza uwezo wa kufikiri, vyema wawe wanajipa muda wa kutafakari kabla ya kutoa maoni yao.
Naamini hii ni tabia ya kawaida kwa mwanadamu, kama umeizoesha akili yako kuona mabaya pekee ya upande fulani, basi hata likitokea jambo la kawaida kwa wengine, kwako litaendelea kuwa baya tu.
Lema kwa kuonekana kwake kuyajua maandiko ya kwenye biblia, sikutarajia aje na maneno yale ya kupinga lile jambo lililotokea kanisani, ule sio uwanja wa mashindano ya mambo ya ulimwengu - CCM vs CDM, ile ni nyumba ya mambo ya rohoni.
Hii ingemtokea kama angejua kutenganisha siasa za CCM vs Chadema, kwenye eneo tofauti na uwanja wa siasa, pale Rais alikwenda kama kiongozi wa mamlaka ya nchi, ambapo tunaaswa na maandiko tuziheshimu mamlaka zilizo juu yetu.
Hivyo binafsi sikuona sababu ya kugombania viti, hayo ni mapambo ya huu ulimwengu yasiyo na maana kwa mkristu aliyekamilika, ni wakati wa wapenzi na wanachama wa vyama vya siasa kutafakari mambo badala ya kupelekwa mbio na fikra za viongozi wao.
Hisia tu! We mchawi! Kwani hakukuwa na benchi za kutosha!Kwan kuna chama kimetoka rasmi kupinga hadharani au umefanya hisia jumuishi?
Hujajibu swali la msingi badala yake umeendeleza porojo tupu.Ni kichaa tu anayeweza kujengea hoja kithabiti juu ya jambo makini bila ushahd makini.
Kwa hiyo NEC inaweza kufungia CDM kwa kauli za fake ID? Ambaye hata hatujui ni raia wa Tanzania au lah?
Jikite kwenye hoja ili ueleweke unasimamia nn.Hisia tu! We mchawi! Kwani hakukuwa na benchi za kutosha!
Sasa porojo huwa inajibiwa au inakuwa struck out? Wewe umeshasema habari zako umezitoa kwenye fake ID, Na hata huyo mtu nyuma ya fake ID humjui, sasa unadhan kuna hoja gan ya legitimacy utajenga?Hujajibu swali la msingi badala yake umeendeleza porojo tupu.
Anyway mimi hilo haliniyowi kwenye ukweli wa kile kinachoendelea kwa sasa.
Wewe baki na kichwa chako pamoja na yaliyoko ndani yake,pia na mimi hivyohivyo.
Ukisikia kucheza ngoma ya Ngoswe ndio hiyo!Sasa hivi mjadala ushatoka huko wanajadili kwa nini mama yake mzazi Jiwe hakua anamuangalia rais wakati wanasalimiana.
Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?Sasa porojo huwa inajibiwa au inakuwa struck out? Wewe umeshasema habari zako umezitoa kwenye fake ID, Na hata huyo mtu nyuma ya fake ID humjui, sasa unadhan kuna hoja gan ya legitimacy utajenga?
Hata mahakamani ukienda kushitaki lazima uwe na locus stand, sasa wewe utajenga hoja mbele ya mahakama kuamua mtu hewa? Ambaye pengine ni Bot?
Juzi watu wamepigwa Kalyinda kwa sababu kuna mtu kafungua twitter account na anapost mambo ya serikali, na kujiita MSEMAJI WA SERIKALI na hivyo kuuaminisha umma ni serikali