Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Binafsi sikumshangaa rais wa TEC wa wakati huo Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, alipomzuia Mzee wa Msoga kuingia na kiti chake kwenye hafla aliyoalikwa na Kanisa.

Mzee wa Msoga kuona vile, akasusa kuhudhuria lile tukio, na maisha yakaendelea. Kuna kama viashiria vya dharau hivi kwa mbali dhidi ya Kanisa na pia imani, kwa mbali.
Mungu anachukia wanaojikweza juu ya utukufu wake.

Atubu au la Mungu atampa mapigo juu ya utawala wake kwani ndio anayetoa hayo mamlaka aliyonayo kwa sasa.

Anaweza yachukua wakati wowote.

Awe makini na mambo ya Mungu.
 
Kuna siku CHADEMA walimtambulisha ndo msemaji wao? Na alichaguliwa na nani? Inasikitisha sana.
Kwa nini anapotoa taarifa za matukio ya chadema na viongozi,wake hamjitokezi humu kumkanusha?
Ila tu pale anapochemka ndio mnataka kumkana!
 
Sijui kwanini WanaCCM sana amino MTU wao ni msagaji na kwamba kwasasa mapunga sana nguvu kubwa sana kiutawala, yasemekana had I mwenezi ana bwana huko Zenj.

In short, huyo bibi hata wanaCCM.wenuewe hawamwelewi.

N akashalijua hill, sasa hivi ametengeneza lundo kubwa sana LA MACHAWA.
 
Kwa nini anapotoa taarifa za matukio ya chadema na viongozi,wake hamjitokezi humu kumkanusha?
Ila tu pale anapochemka ndio mnataka kumkana!
Ni kichaa tu anayeweza kujengea hoja kithabiti juu ya jambo makini bila ushahd makini.

Kwa hiyo NEC inaweza kufungia CDM kwa kauli za fake ID? Ambaye hata hatujui ni raia wa Tanzania au lah?
 
Huu upinzani wa kupinga kila jambo sasa nimeanza kuona unakengeusha akili, na kufubaza uwezo wa kufikiri, vyema wawe wanajipa muda wa kutafakari kabla ya kutoa maoni yao.

Naamini hii ni tabia ya kawaida kwa mwanadamu, kama umeizoesha akili yako kuona mabaya pekee ya upande fulani, basi hata likitokea jambo la kawaida kwa wengine, kwako litaendelea kuwa baya tu.

Lema kwa kuonekana kwake kuyajua maandiko ya kwenye biblia, sikutarajia aje na maneno yale ya kupinga lile jambo lililotokea kanisani, ule sio uwanja wa mashindano ya mambo ya ulimwengu - CCM vs CDM, ile ni nyumba ya mambo ya rohoni.

Hii ingemtokea kama angejua kutenganisha siasa za CCM vs Chadema, kwenye eneo tofauti na uwanja wa siasa, pale Rais alikwenda kama kiongozi wa mamlaka ya nchi, ambapo tunaaswa na maandiko tuziheshimu mamlaka zilizo juu yetu.

Hivyo binafsi sikuona sababu ya kugombania viti, hayo ni mapambo ya huu ulimwengu yasiyo na maana kwa mkristu aliyekamilika, ni wakati wa wapenzi na wanachama wa vyama vya siasa kutafakari mambo badala ya kupelekwa mbio na fikra za viongozi wao.
Umenena sahihi kabisaa mkuu!
100% true said by you denooJ
 
Somewhere in her mind, “siwezi kalia kabenchi kembamba kanakaliwa na wala nguruwe kila siku”.
 
Ni kichaa tu anayeweza kujengea hoja kithabiti juu ya jambo makini bila ushahd makini.

Kwa hiyo NEC inaweza kufungia CDM kwa kauli za fake ID? Ambaye hata hatujui ni raia wa Tanzania au lah?
Hujajibu swali la msingi badala yake umeendeleza porojo tupu.
Anyway mimi hilo haliniyowi kwenye ukweli wa kile kinachoendelea kwa sasa.

Wewe baki na kichwa chako pamoja na yaliyoko ndani yake,pia na mimi hivyohivyo.
 
Sasa hivi mjadala ushatoka huko wanajadili kwa nini mama yake mzazi Jiwe hakua anamuangalia rais wakati wanasalimiana.
 
Hujajibu swali la msingi badala yake umeendeleza porojo tupu.
Anyway mimi hilo haliniyowi kwenye ukweli wa kile kinachoendelea kwa sasa.

Wewe baki na kichwa chako pamoja na yaliyoko ndani yake,pia na mimi hivyohivyo.
Sasa porojo huwa inajibiwa au inakuwa struck out? Wewe umeshasema habari zako umezitoa kwenye fake ID, Na hata huyo mtu nyuma ya fake ID humjui, sasa unadhan kuna hoja gan ya legitimacy utajenga?

Hata mahakamani ukienda kushitaki lazima uwe na locus stand, sasa wewe utajenga hoja mbele ya mahakama kuamua mtu hewa? Ambaye pengine ni Bot?

* Juzi kuna watu wamepigwa Kalyinda kwa sababu kuna mtu alifungua twitter account na anapost mambo ya serikali, na kujiita MSEMAJI WA SERIKALI na hivyo kuuaminisha umma ni serikali hatimaye chamoto wamekiona, Je, waliotapeliwa wanaweza ku-seek damages kutoka serikalini just for that?
 
Cc: BAVICHA, BAWACHA, BAZECHA.

Hivi wazee wa BAZECHA ni wakina nani iseje ikawa BAWACHA ndio BAZECHA?
 
Kiti cha rais kimetumia tozo zetu kupelekwa hapo kanisani.kilipelekwa na GX V8 ambalo dereva wake anapewa posho inayotokana na tozo zetu plus mafuta ya hiyo v8 zote ni tozo zetu.kwahiyo huo mjadala wa kiti cha rais na tozo zote sawa
 
Sasa hivi mjadala ushatoka huko wanajadili kwa nini mama yake mzazi Jiwe hakua anamuangalia rais wakati wanasalimiana.
Ukisikia kucheza ngoma ya Ngoswe ndio hiyo!
 
Sasa porojo huwa inajibiwa au inakuwa struck out? Wewe umeshasema habari zako umezitoa kwenye fake ID, Na hata huyo mtu nyuma ya fake ID humjui, sasa unadhan kuna hoja gan ya legitimacy utajenga?

Hata mahakamani ukienda kushitaki lazima uwe na locus stand, sasa wewe utajenga hoja mbele ya mahakama kuamua mtu hewa? Ambaye pengine ni Bot?

Juzi watu wamepigwa Kalyinda kwa sababu kuna mtu kafungua twitter account na anapost mambo ya serikali, na kujiita MSEMAJI WA SERIKALI na hivyo kuuaminisha umma ni serikali
Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?

Maana umekazania kukataa kwamba Erythrocyte sio mfuasi wenu,ilhali kila mtu humu analiona na kulitambua hilo!
 
Back
Top Bottom