Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?

Maana umekazania kukataa kwamba Erythrocyte sio mfuasi wenu,ilhali kila mtu humu analiona na kulitambua hilo!
Probably Yes.

Nakubaliana na wewe voicer.

Sisi ambapo hatujulikani ni binadamu au mazombie, Juma au Asha tumenyimwa verified 😆 😆 😆 . Na kuna mambo haturuhusiwi hata kuyafanya, ambayo binadamu wa kawaida anaweza.
 
Badala ya kujadili jinsi watanzania wanavyoumizwa na utawala wa Samia kupitia matozo mnajadili kiti cha Rais kanisani?
drakelaugh (1).png
 
Probably Yes.

Nakubaliana na wewe voicer.

Sisi ambapo hatujulikani ni binadamu au mazombie, Juma au Asha tumenyimwa verified [emoji38] [emoji38] [emoji38] . Na kuna mambo haturuhusiwi hata kuyafanya, ambayo binadamu wa kawaida anaweza.
Pita kushoto Zombie!
 
Kwa hiyo hata wewe john7371 ninaongea na zombie na sio mtu au binadamu anayeishi?

Maana umekazania kukataa kwamba Erythrocyte sio mfuasi wenu,ilhali kila mtu humu analiona na kulitambua hilo!
Hata hoja yako tukisema tuikubali, basi maana yake serikali inapaswa kuwa imehusika kalyinda kwa sababu kuna mtu aliyekuwa anapost shughuli za serikali ndo kawashawishi watu kuingia humo kwenye upatu, kitu ambacho si sahihi kuihusisha serikali na personal issues.
 
Hamna kitu Boss, ni kutaka ufahari usio na sababu yoyote. Kwangu mimi najua heshima halisi inatokana na kuingia madarakani kwa kuheshimu uchaguzi. Lakini kwa zile chaguzi za kihayawani sijui wanataka ufahari wa nini.
Well, kila mtu ana mtizamo wake katika hilo jambo !
 
Busara! maana yake, kutenda kistarabu.
Litendwe mahali pake, mipango usiharibu.
Kuna pale utamke, pengine ubaki bubu.

Sasa watanzania tunaelekea ujingani kwa kasi isiyomithilika.tumezaa kizazi kisicho na vipaumbele wala malengo.
Tuko kwenye wakati ambapo kila mmoja anadhani anaweza aidha kuwa kiongozi au mwanasiasa bila hata uelewa au elimu ya siasa yenyewe.

Tumegeuza simu janja kuwa madarasa ya kueneza kila tunachoamka nacho kichwani bila tafakuri ya upana na umuhimu wake kwa jamii au madhara yake kwa jamii.

Tuna kizazi cha ubinafsi na unyang'au wa hali ya juu kupitia mgongo wa siasa,wakati kinachoendelea sio siasa bali uhasama baina ya pande mbili zinazogombea ulaji.

Huku wananchi tukionekana kama mazombi tusiojitambua mbele ya wao wajiitao wasomi lakini wasio na uwezo wa kupenya ajira za kimataifa,sambamba na wasomi wenzao huko Duniani.
Badala yake wanarudi kutafuta short cut kupitia siasa uchwara za kibunge.

Inapofikia wanaojiita wanaharakati kushindwa kujenga hoja nzito zenye mashiko na maslahi mapana kwa wananchi.
Na hivyo kuibana serikali na watendaji wake kuwajibika ipasavyo.kuendana na katiba ya JMT,pamoja na viapo vyao.

Badala yake ...
Tunarudi kujadili hoja ya kiti cha Rais kanisani......

Huku sio tu kuporomoka kisiasa,bali ni kubomoka kisiasa.
Wewe Erythrocyte ukiwa chawa ndani ya jengo linalobomoka kwa kasi.
Lini na wapi wapinzani wamejadili kiti cha Rais kanisani? Utakuwa na mtindio wa ubongo wewe si bure
 
Hata hoja yako tukisema tuikubali, basi maana yake serikali inapaswa kuwa imehusika kalyinda kwa sababu kuna mtu aliyekuwa anapost shughuli za serikali ndo kawashawishi watu kuingia humo kwenye upatu, kitu ambacho si sahihi kuihusisha serikali na personal issues.
Usinitowe kwenye mada kwa kunipeleka kalynda.....

Hoja yangu inabaki paleoale kuporomoka kisera hadi kufikia kubomoka kabisa!
 
Sasa porojo huwa inajibiwa au inakuwa struck out? Wewe umeshasema habari zako umezitoa kwenye fake ID, Na hata huyo mtu nyuma ya fake ID humjui, sasa unadhan kuna hoja gan ya legitimacy utajenga?

Hata mahakamani ukienda kushitaki lazima uwe na locus stand, sasa wewe utajenga hoja mbele ya mahakama kuamua mtu hewa? Ambaye pengine ni Bot?

* Juzi kuna watu wamepigwa Kalyinda kwa sababu kuna mtu alifungua twitter account na anapost mambo ya serikali, na kujiita MSEMAJI WA SERIKALI na hivyo kuuaminisha umma ni serikali hatimaye chamoto wamekiona, Je, waliotapeliwa wanaweza ku-seek damages kutoka serikalini just for that?
Msinotowe kwenye mada yangu......

Mada yangu ni kuporomoka na hatimae kubomoka kabisa kwa upinzani kisera!
 
Huu upinzani wa kupinga kila jambo sasa nimeanza kuona unakengeusha akili, na kufubaza uwezo wa kufikiri, vyema wawe wanajipa muda wa kutafakari kabla ya kutoa maoni yao.

Naamini hii ni tabia ya kawaida kwa mwanadamu, kama umeizoesha akili yako kuona mabaya pekee ya upande fulani, basi hata likitokea jambo la kawaida kwa wengine, kwako litaendelea kuwa baya tu.

Lema kwa kuonekana kwake kuyajua maandiko ya kwenye biblia, sikutarajia aje na maneno yale ya kupinga lile jambo lililotokea kanisani, ule sio uwanja wa mashindano ya mambo ya ulimwengu - CCM vs CDM, ile ni nyumba ya mambo ya rohoni.

Hii ingemtokea kama angejua kutenganisha siasa za CCM vs Chadema, kwenye eneo tofauti na uwanja wa siasa, pale Rais alikwenda kama kiongozi wa mamlaka ya nchi, ambapo tunaaswa na maandiko tuziheshimu mamlaka zilizo juu yetu.

Hivyo binafsi sikuona sababu ya kugombania viti, hayo ni mapambo ya huu ulimwengu yasiyo na maana kwa mkristu aliyekamilika, ni wakati wa wapenzi na wanachama wa vyama vya siasa kutafakari mambo badala ya kupelekwa mbio na fikra za viongozi wao.

Uko sahihi sana, lakini mamlaka zinazopaswa kuheshimiwa ni zile zinazoingia madarakani kwa njia halali. Kwa uchaguzi ule wa 2020 ni ngumu baadhi ya watu kutoa heshima kwa hizo mamlaka za juu.

Mimi kwa mtazamo wangu sikuona umuhimu wowote wa rais kutumia kiti chake binafsi ndani ya kanisa kwani ni kujipa ukuu asiostahili, hasa ukizingatia namna yeye na chama chake walivyoingia madarakani.

Halafu hili neno kupinga kila kitu naona linatumika ndivyo sivyo, na sababu hasa ni kurudiwarudiwa kila mara. Sijawahi kuona watu wanapinga ujenzi wa shule, barabara, huduma za maji nk. Ama huenda hizo shule, barabara nk sio sehemu ya kila kitu.
 
GENTAMYCINE nikiwa kama Mkristo tena wa Dhehebu Mama na Kubwa duniani la Katoliki sijaona Kosa lolote kwa Rais Samia kuingia Jana Kanisani na Kitu.
Exactly watu wanajadili mambo yasiyo na maana hakuna kitu kibaya kilichofanyika wanashindwa kujadili maendeleo yanayomgusa direct mwananchi
 
Kila binadamu na Priorities zake... Sisi zetu ni kitu...
 
Back
Top Bottom