kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Badala ya kujadili jinsi watanzania wanavyoumizwa na utawala wa Samia kupitia matozo mnajadili kiti cha Rais kanisani?
Hivi mmeishiwa na akili kabisa hadi mnajadili viti vya Rais kanisani au msikitini?
Hivi mmesahau kuwa hizo ni itifaki na mambo ya kiusalama?
Hivi tunaacha kujadili jinsi utawala wa huyu mama unavyoacha wananchi wateswe na mifumuko ya bei na matozo ya kijinga kijinga mnapoteza muda kujadili kiti cha rais kanisani?
Unahitaji kuwa akili haipo kabisa yaani umefilisika kabisa ubongo wako umebakia na juisi tu ndo ujadili kiti cha Rais kanisani
Tunapoteza muda kujadili upumbavu na ujinga usio na mantiki huku tukiacha mambo ya msingi
Hivi mmeishiwa na akili kabisa hadi mnajadili viti vya Rais kanisani au msikitini?
Hivi mmesahau kuwa hizo ni itifaki na mambo ya kiusalama?
Hivi tunaacha kujadili jinsi utawala wa huyu mama unavyoacha wananchi wateswe na mifumuko ya bei na matozo ya kijinga kijinga mnapoteza muda kujadili kiti cha rais kanisani?
Unahitaji kuwa akili haipo kabisa yaani umefilisika kabisa ubongo wako umebakia na juisi tu ndo ujadili kiti cha Rais kanisani
Tunapoteza muda kujadili upumbavu na ujinga usio na mantiki huku tukiacha mambo ya msingi