Huyu mpambe wa rais wa kwetu toka Mara anaweza kuwa msabato😆😆😆.Kwa nini hakubebewa kutoka Nairobi? anaheshimu taratibu za kanisa, angalia hata Body guard wake kavua kofia
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kuna watoto wasabato huwa wanavaa kama scout wanaingia kanisani na kofia zao.