Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

IMG_20221015_105051.jpg
FB_IMG_1665820119425.jpg
FB_IMG_1665820133855.jpg
FB_IMG_1665820138434.jpg


Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.

Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.

View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kiti cha Ruto kimechubuka rangi sio cha ikulu
 
Hivi ni Rais wa Tanzania tu ndio huwa anatembea na kitu chake maalum au marais wote??
Huwa sioni hata POTUS akiwa anatembea na kiti chake maalum!
 
Back
Top Bottom