Kiti cha Rais Samia kanisani Vs Rais Ruto kanisani Homa Bay, Kenya

Mseveni kaenda Kenya na gari la choo, hataki ku-share choo na mtu!
Corona plus Ebola = Hatari sana na hasa kama una mihela mingi uliyojilimbikizia ndani na nje lazima uogope maana mmh ! Watu waziachaga zote wanaenda kama walivyozaliwa hamna kitu !! Duh !!
 
Nchi hii haiongozwi kwa maandiko bali Katiba
 
Kifungo ni miaka saba na faini ya Toyota IST unregistered.
 
Acha kiherehere,

Acha kiherehere wewe, kwa mfano wako ulitaka tuige Mh. Rais wetu akalie hata kiti kilicho chanika au kuchakaa? Kwanini nyie watu mnaiga iga tu hata, Mh. Rais wetu akikalia kiti kizuri zaidi shida ni nini? Nyoko wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…