Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kwani viti navyo vinasali?Nimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.
Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.
View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
1.Soil Erosion.Discuss this statement using vivid examples. (30 marks)
Kiti chenye hadhi yake,au siyo?Raisi popote akienda lazima awe na kiti chake fahamu ivo.
Disikasi.Usimenshon!1.Soil Erosion.
2.Due to lack of employment.
3.Triangular Slave Trade.
4.Lack of Natural Resources.
5.Land Alienation.
Muacheni huyo mnyalukolo jamani.Ana vibweka tu kutokana na umri wake.😂😂😂😂Chalamila hilo shati la kitenge lenye picha ya boss itakua alilala nalo kabisa akiwa amelivaa kuonyesha mahaba kwa boss.
Bujibuji Simba NyamaumeHata kikwete waliwahi kumjadili humu mwaka 2011 khs kuzunguka na kitu Chake kila aendako.
Kiti cha Kikwete na miujiza yake
Jk kila aendako anabeba kiti na kuzunguka nacho, hakalii kiti kingine. Je hicho kiti kina nini spesho? Kwanini hataki kukalia viti vingine?www.jamiiforums.com
Unaweza ukawekewa Ulozi kwenye kiti ukapata shida kweri kweri !! Kama fear of the unknown !!Hata kikwete waliwahi kumjadili humu mwaka 2011 khs kuzunguka na kitu Chake kila aendako.
Kiti cha Kikwete na miujiza yake
Jk kila aendako anabeba kiti na kuzunguka nacho, hakalii kiti kingine. Je hicho kiti kina nini spesho? Kwanini hataki kukalia viti vingine?www.jamiiforums.com
Sio Samia tu..hata Mimi huwa ninaenda na kiti change kanisani. Hii ni kwa sababu tuna uhaba wa viti pale kanisani kwetu. Kuna sababu ya mwrshimiwa na yeye kukalia kiti chake kanisani. Hatujui protokali iliyofuatwa. Afu habari ya kiti sio issue ya kutupotezea muda. Tuna mambo mengi ya msingi ya kuzungumziaNimeona picha ina trend ya kiti cha Raisi kuingizwa kanisani kwamba hawezi kalia kiti kingine tofauti na cha kwake kutoka Dodoma.
Baada ya hapo nikakumbuka picha ziliozo triend za Raisi Ruto akiwa Homa Bay mwezi ulio pita, alikalia kiti kilicho chanika na akaona sawa, na hata Maaskofu hawakuhangaika eti kutafuta kiti cha Raisi kitokr Nairobi ndio akalie, Sasa sipati Picha ingekuwa ni kwa mtukufu wetu.
View attachment 2387701View attachment 2387702View attachment 2387703View attachment 2387704
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Ushirikina mzee! Msoga nae alikuwa na kiti chake kila anakoenda na kilikuwa na maandishi yetu yaleHivi ni Rais wa Tanzania tu ndio huwa anatembea na kitu chake maalum au marais wote??
Huwa sioni hata POTUS akiwa anatembea na kiti chake maalum!
hizi tabia wanazo wasabato sana kutwa kutembea na maviti barabarani, kwanini msipeleke viti vya kutosha kanisani???Sio Samia tu..hata Mimi huwa ninaenda na kiti change kanisani. Hii ni kwa sababu tuna uhaba wa viti pale kanisani kwetu. Kuna sababu ya mwrshimiwa na yeye kukalia kiti chake kanisani. Hatujui protokali iliyofuatwa. Afu habari ya kiti sio issue ya kutupotezea muda. Tuna mambo mengi ya msingi ya kuzungumzia
I don't think that has anything to do with Samia's character, sababu huo utaratibu wa ulinzi wala hawajiamulii wenyeweMamnde, ni characters na sio characteristcs!, all human beings have the same characteristics, but different characters!.
P
Binafsi sikumshangaa rais wa TEC wa wakati huo Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, alipomzuia Mzee wa Msoga kuingia na kiti chake kwenye hafla aliyoalikwa na Kanisa.Tuziheshimu nyumba za Ibada.
Unajua sababu? Au unawaza kwa kutumia utumbo mpana? Wasabato ni yalr makanisa ambayo hayana viti vya kutosha au siku ambayo kuna wageni wengi sana, Wasabato hawana misa ya kwanza wala ya pili hivyo kunakuwaga na upungufu wa vitihizi tabia wanazo wasabato sana kutwa kutembea na maviti barabarani, kwanini msipeleke viti vya kutosha kanisani???