Namaliza kazi iliyompeleka ..undercover
 
15 May 2022
Cambiasso Sports Management na namna inavyohakikisha vijana wengi wanafikia ndoto zao kisoka

 
How?
 
Hiyo sio mara ya Kwanza kukamatwa na akaachiwa hii ndio Africa



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kuna yule mwandishi wa Habari wa Gazeti la Mwananchi some Kulangwa if am not mistaken jina lake nae alikamatwa Huko Italy mpaka Leo hajatoka.
Hii biashara inafanywa kwa siri siri na wajanja wanaopenda kudanganya kwa kufungua container za biashara wakijiita wafanyabiashara. Kumbe wauza unga. Kuna dada maarufu mpaka leo amekwama na mmewe. Alikuwa ndio mwalimu wetu wa kuweka elfu 10 kwa siku kwenye masanduku ya bati, ili tule Xmass
 



Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imewakamata watuhumiwa 9 wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin kg 34.89 ambapo miongoni mwa watuhumiwa hao ni pamoja na Muharami Sultan ambaye ni kocha wa magolikipa wa timu ya Simba na ni mchezaji wa zamani wa timu hiyo pamoja


Muharami Sultan, Kocha wa magolikipa wa timu ya Simba, aliyekutwa na dawa za kulevya na Kambi Zuber Seif maarufu kama Cambiasso.
Mtuhumiwa mwinginie ni Suleiman Matola Said (24) ambaye ni mtoto wa dada yake na mtuhumiwa Kambi Zuberi Seif.


Hayo yameelezwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini Kamishna Gerald Kusaya, ambapo watuhumiwa hao wamekamatwa katika oparesheni iliyofanyika kuanzia mwezi Oktoba 2022, hadi mwanzoni mwa mwezi Novemba mwaka huu.

NB:
Nilikuwa najiuliza Safari nyingi pre season na Post Seasons Kunani?

Time has spoken!
 
Kukamatwa ruksaa, kufungwa bongo kwa kosa la sembe sahau, utasikia kumbe ilikuwa ni unga wa lishe!!
Africa hii ukiwa tajiri ufungwi utalipa faini tu ..kufungwa ulaya uko au asia lakini siyo uku..DPP anaamka asubuhi anakuta kwenye account yake amewekewa bilion 5 ikisindikizwa na txt utakunywa supu mzee kwa hii asubuhi[emoji3][emoji3] kesi amna apo afungwi mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…