Hivi inakuwaje kuwa ngumu kuacha?
kwanza mzeya wewe niambie biashara gani unaweza fanya halali ambayo in faida 500%
pili ukitaka kwenda clean wana ulikuwa unapiga nao madeal wanaogopa kuwa utawachoma hence life lako lipo hatarini
 
Hamna kitu hapo...
Picha limechezwa na utupolo....
Subiri series kwenye Netflix...
 
Lini hii

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Yule mtu na mkewe, sijui a anaitwa Nani vile, wapo lupango wananyea ndoo
 
Hii "match fixing" ndiyo kupika matokeo au ni nini hasa?
 
Kama queen of the south
 
To keep the bills..

Hivi unadhani kuna mwenye hela halali anaweza haribu hela kwa kugawa gawa?
Mfano wale jamaa wa gsm wanavyogawa gawa zile hela unadhani ni halali?
Those guys makes a lot of money..
Sijui sehemu nyingine ila kwenye upande wa shipping nina tolea mizigo kwao..
Almost every day kuna kontena za kutosha zinashusha mzigo....
Na zile lori za logistic...
Nafikiri wana mishe nyingi za kupiga ela ndefu.
So 10M 50M ni tone la damu baharin
(Ila sijawah sikia baresa anagawa ela)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…