Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Ujumbe wako umenitoa machozi ila Bado nataka wa kike,, hata ningepata dume moja majike 4 fresh tu
Ukweli Ndio Huo Mtoto Wa Kiume Kurudirudi Nyumbani Hicho Kitu Huwa Hamna.

Mtazungumza Na Shida Zote Atakutatulia Kama Ulivyomueleza Tena Anaweza Zidisha.

Mara Nyingi Wamama Huona Kama Ni Kumsumbua Mwanae Na Sometimes Huficha Baadhi Ya Mambo Anayoyahitaji.

Ila Jambo Rahisi Kwa Mtoto Wa Kiume/Kike Ni Kumhudumia Mama Yake Kwa Namna Yeyote Ile Kasoro Tu Kuwepo Mazingira Hayo Yaani Ile Yeye Ndio Kuwa Karibu Zaidi Hapana Si Hivyo.

Mtoto Wa Kike Tunawapa Pongezi Kwa Kuwa Karibu Zaidi Ya Wazazi Wao I mean Kwenye Upande Wa Namna Hii, Huwa Ni Ngumu Sana Kwao Kumaliza Mwaka Bila Kurudi Nyumbani Kusalimia Wazazi.

Au Hicho Ndicho Kipimo Cha Upendo Kutoka Kwa Mtoto?
 
Ukweli Ndio Huo Mtoto Wa Kiume Kurudirudi Nyumbani Hicho Kitu Huwa Hamna.

Mtazungumza Na Shida Zote Atakutatulia Kama Ulivyomueleza Tena Anaweza Zidisha.

Mara Nyingi Wamama Huona Kama Ni Kumsumbua Mwanae Na Sometimes Huficha Baadhi Ya Mambo Anayoyahitaji.

Ila Jambo Rahisi Kwa Mtoto Wa Kiume/Kike Ni Kumhudumia Mama Yake Kwa Namna Yeyote Ile Kasoro Tu Kuwepo Mazingira Hayo Yaani Ile Yeye Ndio Kuwa Karibu Zaidi Hapana Si Hivyo.

Mtoto Wa Kike Tunawapa Pongezi Kwa Kuwa Karibu Zaidi Ya Wazazi Wao I mean Kwenye Upande Wa Namna Hii, Huwa Ni Ngumu Sana Kwao Kumaliza Mwaka Bila Kurudi Nyumbani Kusalimia Wazazi.

Au Hicho Ndicho Kipimo Cha Upendo Kutoka Kwa Mtoto?
Iko hivi wanaume mnatumia muda wenu mwingi kukimbizana na kuwekeza katika mbususu, tofauti na sie mijegejo haitupeleki puta kihivyoo, ndo maana muda mwingi tunawafikiria wazazi wetu kwa ukaribu wa kuwatembelea na hata maisha yao kiuchumi, ulizia kwa wazee watakwambia uhalisia,,
 
Watoto Wa Kiume Wataku-support Kwa Kila Kitu Sema Tu Hutokuwa Unawaona Mara Kwa Mara.

Au Wewe Hicho Ndicho Unakitamani Kila Baada Ya Miezi/Mwaka Uwaone.

Maana Watakuhudumia Kwa Kila Hali Hata Wakiwa Mbali Vipi.

Na Ukweli Mchungu Mtoto Wa Kiume Weakness Yake Ni Mama Yake Si Baba.

Namna Ambavyo Utamjenga Awe Ndivyo Atakuwa Mama Ana Power Kubwa Sana Kwa Mwanae Wa Kiume.

Mark My Words Utakuja Nishukuru Baadae Kuhusu Hao Watoto Wa Kiume Watakavyo Kujali.
Mtoto wa kiume anaweza kujenga ukweni wakati baba yake anaishi kwenye nyumba ya udongo. Si kama hatamjengea ila baadae sana.6
 
Mke kukuzalia jembe raha sana asikwambie mtu
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga akianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
Siku hizi kuna suluhisho mkuu..
Kama wife akitotoa mara ya kwanza na pili mabinti tupu, mara ya tatu usibahatishe. Unaenda kapandikiza (iVF) .
Kwa huu mchakato unachagua jinsia unayotaka, pia na idadi, kama mmoja, mapacha wa2, 3..
 
Siku hizi kuna suluhisho mkuu..
Kama wife akitotoa mara ya kwanza na pili mabinti tupu, mara ya tatu usibahatishe. Unaenda kapandikiza (iVF) .
Kwa huu mchakato unachagua jinsia unayotaka, pia na idadi, kama mmoja, mapacha wa2, 3..
Wengine wetu kodi ya nyumba hatuna leo unasema maswala ya IVF.

Ulaya asiye na anataka kuzaa serikali inagharimia IVF lakini haigharamii ili upate mtoto wa kijke au wa kiume.
 
Wengine wetu kodi ya nyumba hatuna leo unasema maswala ya IVF.

Ulaya asiye na anataka kuzaa serikali inagharimia IVF lakini haigharamii ili upate mtoto wa kijke au wa kiume.
Dah..
Kwa kweli gharama yake yaweza kuwa changamoto
 
Mtoto wa watu umkute amesomeshwa wewe uje kusema unamiliki mtoto na mzazi wake. Huu ni utomvu wa adabu.
Ataelewa kani sister

Kitu nilichokiona mara nyingi, mtu ukitokea kaya maskini ambayo hata kupata mlo mmoja ni mtihani, ukikua na kuweza kumlisha mtu usiehusiana nae bhasi utaona umefanya kitu kikubwa au anafaidi sanaa wakati ni mambo ya kawaida kwa watu wa kipato cha kati.
 
Iko hivi wanaume mnatumia muda wenu mwingi kukimbizana na kuwekeza katika mbususu, tofauti na sie mijegejo haitupeleki puta kihivyoo, ndo maana muda mwingi tunawafikiria wazazi wetu kwa ukaribu wa kuwatembelea na hata maisha yao kiuchumi, ulizia kwa wazee watakwambia uhalisia,,
HAPANA, familia nyingi ukiona mtoto wa kiume kasahau kwao bhasi angalia huduma inayopelekewa familia ya mke wake. Usishangae hata hao watoto wa kike wanaosifiwa utakuta wanapush waume zao wapeleke huduma kwao na sio alipozaliwa mwanaume. Ni familia nyingi tu utakuta ndugu wa mke wanajiachia for years ila wa mume akikaa hata wiki mbili tayari anatamani kuondoka ndio maana watu wengi hujihisi comfortable kuishi kwa dada na sio kaka

Kama umezaa watoto wa kiume wengi trust Me, huwezi kukosa yule atakaeijua thamani yako kwa asilimia zote lakini kubwa kuliko waombee wapate wake watakaokuwa wanawapush kukumbuka. Ila ukipata watakaokuita mnoko au mchawi, hasara ni yako
 
Bwana Mchanga alipata nafasi ya kwenda masomoni nchi za Scandinavia, alibahatika kupata mke wa Kizungu na baraka ya mabinti watatu. Baada ya masomo Mrs Mchanga alikataa kurudi Tanzania. Waliachana kwa amani na bwana Mchanga kurejea nyumbani.

Alipata ajira serikalini kama afisa mwandamizi. Alikutana na Ruth na wakafunga ndoa. Ruth alipata mtoto wa kike, Mchanga alikua mvumilivu, wapili akaja binti mrembo. Hapa Bwana Mchanga uvumilivu ulimwishia. Alikwenda kijijini kwao na kuoa kabinti kigori kabisa. Kwakua uwezo wa fedha alikua nao alimjengea nyumba nzuri pale kijijini.

Huku kwa Ruth alimuacha akiwa mja mzito na alijaliwa kupata mtoto wa kiume. Ruth hakua na habari kuwa mume wake ana mke kijijini. Kila weekend Mchanga alikwenda kijijini akidai anajiandaa kugombea Ubunge. Ruth slipata habari mume wake ana mke mwingine yeye akiwa na mtoto wa pili wa kiume.

Huyu mke wa kijijini alianzisha leagu na Ruth, Ruth akiwa career woman hakuwa na muda huo, aliachana na Mchanga na kugaiwa mali zake. Maisha yanaendelea na watoto wakakua.

Mchanga akianza familia mpya kijijini. Umri nao unasogea. Sasa Mchanga anastaafu akiwa na watoto wanasoma shule ya msingi. Wale mabinti wa Scandinavia wameolewa na wameanza familia.

Katika jitihada za kutafuta mtoto wa kiume sasa Mchanga anatumia mafao ya kustaafu kulea watoto.
Ujinga mtupu mtoto ni mtoto tu
 
Mwanaume ana XY na mwanamke ana XX. XX zinatoa mtoto wa kike. Katika kutafuta mtoto wa kiume wengine huhesabu ovulation days za mke na wanaacha kufanya tendo kama kwa siku 7-10 huku mwanaume akila karanga na mihogo mibichi kwa wingi.
Kuna kitu hujamalizia mkuu, unatakiwa ujipinde siku ya ngapi ili ubahatishe kidume.
 
Wanaume wanakimbiliaga kulaumu wanawake kwenye watoto wa kiume huku wao ndio wazalishaji wa jinsia hiyo.
All in all mtoto ni mtoto. Unaweza ng'ang'ana wa kiume wa kiume anakuja james delicious. Kumtanguliza tu Mungu katika kila jambo.
 
Mimi watoto ni watoto ila wa kiume ndio bora maana watarisi mali na pia wanaliendeleza jina langu

ila wakike unawafaidisha mwanaume mwenzio
 
Back
Top Bottom