Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Kukosa mtoto wa kiume inawasumbua sana wanaume kufanya wakose amani

Hapo ndo wanaume wanapozidi kufa kwa kiharusi....

Umestaafu umri miaka 60+, kwa jeuri ya kiume wanajitutumua ng'ombe hazeeki maini anaendelea kutotoa watoto.....

Halafu wanalalamika wanawake wanabebwa wakati mwanamke akifosi sana mwisho kutotoa miaka 50.

Mwanamke akistaafu anakula pensheni yake maana watoto wake wakubwa wanajitegemea sana sana atakuwa anajichangamsha na wajukuu.

Wanaume sasa, kama mzee Mchanga....

Na miaka 70+ unamtoto anatoka shule anaita baba, kesho tunatakiwa kwenda trip ya kishule mchango laki moja....!!

Kama chanzo cha mapato ni pension tuu amekwisha.

NB: Too much of anything is harmful.
Inategemea umejipanga vipi! Tatizo si mtoto mdogo ukiwa 60+ tatizo kubwa ni Bibi mdogo akiwa ni under 30, hakuna Rangi utakayokosa kuiona. Mtoto unamfurahia akiwa 5 years hadi 15 years. Hapo uwe ni 75 akiwa binti ni Raha mstarehe.
 
Siku hizi kuna suluhisho mkuu..
Kama wife akitotoa mara ya kwanza na pili mabinti tupu, mara ya tatu usibahatishe. Unaenda kapandikiza (iVF) .
Kwa huu mchakato unachagua jinsia unayotaka, pia na idadi, kama mmoja, mapacha wa2, 3..
Inakuwaje hiyo hebu tupe elimu kidogo, maana nina watoto watatu wote wa kike, na wife mjamzito sasa sijui ananiletea wa kike tena,
 
Siku hizi kuna suluhisho mkuu..
Kama wife akitotoa mara ya kwanza na pili mabinti tupu, mara ya tatu usibahatishe. Unaenda kapandikiza (iVF) .
Kwa huu mchakato unachagua jinsia unayotaka, pia na idadi, kama mmoja, mapacha wa2, 3..
Dadavua mkuu kiundani
 
Elimu ya afya ya uzazi nayo tunasubiri NG'O ,anashindwaje kutambua siku ya 12 na 13 toka mkeo wewe kubrid nikikutia mtoto wakike anapatikana ,baada yahapo siku zifuatazo ni baby boy ,sijui tunafeli wapi wanaume ...harafu unamwita kasoma ulaya hayamambo ni basic muhimu kuyafahamu ,wanaume tupunguze ubwege twende clinic na mama tukamwone mkunga atusaidie ,endapo mkeo Hana pamanent menstrual cycle pia utaratibu utapewa kikubwa ujue kanuni za bridi zake(hedhi).....
Asilimia kubwa ya wazazi huwa tunashituka mimba tayari huwa hatupangi hilo ni tatizo nalo
 
Hapo ndo wanaume wanapozidi kufa kwa kiharusi....

Umestaafu umri miaka 60+, kwa jeuri ya kiume wanajitutumua ng'ombe hazeeki maini anaendelea kutotoa watoto.....

Halafu wanalalamika wanawake wanabebwa wakati mwanamke akifosi sana mwisho kutotoa miaka 50.

Mwanamke akistaafu anakula pensheni yake maana watoto wake wakubwa wanajitegemea sana sana atakuwa anajichangamsha na wajukuu.

Wanaume sasa, kama mzee Mchanga....

Na miaka 70+ unamtoto anatoka shule anaita baba, kesho tunatakiwa kwenda trip ya kishule mchango laki moja....!!

Kama chanzo cha mapato ni pension tuu amekwisha.

NB: Too much of anything is harmful.
Kasie moto matata umenishtua kidogo, mwanamke mwenye miaka 50 anaweza kupata ujauzito?
 
Inakuwaje hiyo hebu tupe elimu kidogo, maana nina watoto watatu wote wa kike, na wife mjamzito sasa sijui ananiletea wa kike tena,
Dadavua mkuu kiundani
Hii huduma inafanyika maabara za baadhi ya hospital kubwa.
Inahusisha kuchukua yai la mwanamke na kulirutubisha na mbegu ya mume, then inapandikizwa ndani ya mke na mimba inakuwa kama kawaida.

Uzuri wake ni kuwa mnachagua jinsia na idadi i.e. mmoja au mapacha.

Zamani huduma ilikuwa inapatikana nje tu, Ila siku hizi Tz wanafanya.

Kwa maelezo zaidi google hii phrase:
'in vitro fertilization'
 
..wanaume tupunguze ubwege twende clinic na mama tukamwone mkunga atusaidie ,endapo mkeo Hana pamanent menstrual cycle pia utaratibu utapewa kikubwa ujue kanuni za bridi zake(hedhi).....
😂😂
Umenena vyema mkuu!
 
kuna imani zinaamini watoto wakikuombea kheri wakati umefariki bhasi mizigo yako inapungua huko ulipo na wengine wanaamini katika kuendeleza majina ya ukoo. Kwa mantiki hizo mbili ukikosa mtoto wa kiume jina na kumbukumbu yako ndio imeisha maana mtoto wa kike huendeleza koo ya mtu mwingine

lakini kwa angle nyingine hizo ni hofu tu maana siamini kama humu watu wanajua lolote kuhusu baba wa babu wa babu yao hivyo, kusahaulika hakuepukiki.
Hebu vuta hisia mpaka 1870 kuna yeyote unamkumbuka katka mababu/ bibi zako hao?
 
Wengi wenu mko hivyo
Kweli mtoto ni mtoto na hatutakiwi kujilaumu tukikosa matamanio yetu, Ila kuwa nao wote inaleta furaha zaidi moyoni. Yani una baby boys hapo na girls hapo unajisikia raha sana, Ila mambo ya imani yanatutaka tusichague jinsia as hatuna uwezo wa kuumba.

Jaribu kufanya yafuatayo huenda ukapiga booom bingo,[emoji23] ya baby girl.

√ Angalia mzunguko wako, kutana na mume siku nne hadi mbili kabla ya kuwa peak/ovulation. Mf. Kama una mzunguko wa 28 days, ovulation inakadiriwa kuwa 14th day, kutana na mwamba siku ya 12, 11, 10, 9(usikutane nae siku ya 13 na 14). Mbegu za kiume X zina kiherehere cha kukimbia, Ila zinajifia haraka...hivyo zikielea siku mbili kabla ya wewe kuingia ovulation zitajifia na zitabakia za Y na hapo booom...baby girl.

√. Ovulation day huwa mnatoa mucus nyeupe..usimpe mwamba siku hiyo...utapata boy.

√ Missionary style ndio nzuri kwa ajili ya kutungisha mimba, ila kwa baby girl jamaa asiingize yote...isiingie yote ili mbegu zipate kuelea kwa mda mrefu Y chromo.

Jaribu halafu tutaitwa uncle hivi karibuni.
 
We bado una nafasi mbona mi ninao 3,, asante kwa anagalizo nitalijaribu nione nikimpata she nitafurahi sana
Shemeji yangu mmoja alizaa watoto ke 5 hadi akapata wa 6 Me, sababu ndugu yetu alichepuka akapata kidume na akasema ndio mrithi wake.
Yule shemeji baada ya kupata katoto cha kiume ali bongeka, sijui ndio kuridhika asee
 
Wa kulaumiwa ni yule aliyesema kuwa mtoto wa kike anapopata watoto wabebe jina la mume.
Wahispania wao angalau wako vizuri ambapo mtoto anabeba surname za wazazi wote wawili
Mfano baba ni Juma Chondo mama ni Asha Haji,

Basi kihispania mtoto kama akipewa jina Omari basi surname zake ni Chondo Haji

Yani ana kuwa anaitwa 'Omari Chondo Haji', japo kuwa kama ni wa kiume jina la Haji la mamake l inaishia kwake anapasisha hilo jina la babake la Chondo.
 
Unaweza ukapata watoto watatu mabinti na mmoja wa kiume. Yule wa kiume akaishia ulevi maisha yote asiye na future. Na mabinti wakawa ndo msaada wako kila kitu financially hadi unaingia kaburini.
Nimeandika haya maana nimeyashuhudia yanatokea.
Ushauri wangu mtoto ni mtoto tu usiwaze jinsia bali mpatie malezi mema na utavuna matunda mema kwake.
Duh huyu ndio mimi kwetu. Mimi ndio wakiume pekee na nina dada watatu ila mimi ndio mzinguaji na sieleweki.
 
Wahispania wao angalau wako vizuri ambapo mtoto anabeba surname za wazazi wote wawili
Mfano baba ni Juma Chondo mama ni Asha Haji,

Basi kihispania mtoto kama akipewa jina Omari basi surname zake ni Chondo Haji

Yani ana kuwa anaitwa 'Omari Chondo Haji', japo kuwa kama ni wa kiume jina la Haji la mamake l inaishia kwake anapasisha hilo jina la babake la Chondo.
Aisee. Hii ipo vizuri.
 
Back
Top Bottom