Ndiyo ukweli wenyewe, yaani unamtizama mwanaume unajiuliza hivi naishi na mtu au dubwasha gani! Hana msimamo anapelekeshwa na ndugu unajiuliza wewe shule ulienda tafuta nini wakati hawa wadogo zako wakike wanakufanyia haya? Unatamani uchome vyeti vyake ili ijulikane naye ni mbulula!Ukiwa huna akili usioe, imeandikwa ishini nao kwa akili.
Oa mkuu, kama hukupata mtu sahihi mwanzo, usidhani wanawake wote wapo hivo.Japo mimi sijaoa na sitaoa ila kuoa na kumiliki mke na familia sio jambo dogo, ni watu wenye upeo wa juu wa kujua namna ya kuweka hali yoyote katika msawazo / balance , na mara nyingi wanafaa hata kuwa viongozi wanchi.
Wanawake sahihi wapo hata humu wapo ila sio malengo yangu kwa sasa.Oa mkuu, kama hukupata mtu sahihi mwanzo, usidhani wanawake wote wapo hivo.
Dah! Haya bhana.Wanawake sahihi wapo hata humu wapo ila sio malengo yangu kwa sasa.
Kwa hiyo unainjoi kilicho mkuta mama yako.Binafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Inawezekan unakaa kwa ding ako ndy maan mawazo yak ni mgandoBinafsi najivunia sana baba yangu, mzee wangu ni mwanaume halisi kabisa kwanza hajawahi kuniambia hata siku moja eti ooh mwanangu mbona bado ujaoa never na nahisi atoniambia kwa sababu hata yeye mwenyewe hajawai kuoa
Na kuna utofauti mkubwa sana nikimuona baba na ndugu zake yeye ana mafanikio makubwa kuliko ndugu yake yoyote na kwa point hiyo nikaona kuona ni kwa ajili ya wanaume dhaifu View attachment 3198595
Haijafunguka mkuu
Dawa na kazi mkuu, ila milioni moja kiduchu mkuu😁😁
Haitoshi kufanyia maendeleo au sio!? 🤣Dawa na kazi mkuu, ila milioni moja kiduchu mkuu😁😁
Inategemea upo wap na unataka kufanya maendeleo ya aina gani mkuu ila 5% ukilewa sio vibayaHaitoshi kufanyia maendeleo au sio!? 🤣
Ni kwel usemachoInategemea upo wap na unataka kufanya maendeleo ya aina gani mkuu ila 5% ukilewa sio vibaya
Wewe hujaoa sababu umeolewani kweli kabisa kinyume cha kuoa ni kuolewa na nyinyi wanaume dhaifu mnaolewa huko majumbani kwenu full stop
Zinaa huzaa zinaa!Baba yako hajaou kwa hiyo wewe ni mtoto wa zinaa