Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Kwanza nianze kwa kukiri kwamba mimi ni sio mwanasiasa ila kwa kipindi fulani nilikuwa shabiki mkubwa wa chadema.Kiukweli miongoni mwa wale waliokuwa wakimponda sana na hata kutokuhuzunishwa na kwenda kwa mwendazake na mimi nilikuwemo.Ninakiri wazi kuwa nilifanya makosa makubwa sana na sikujua kuwa nilikuwa nakataa almasi kwa kukusanya kokoto...
Unafiki nao ni kipaji.
 
Kwanza nianze kwa kukiri kwamba mimi ni sio mwanasiasa ila kwa kipindi fulani nilikuwa shabiki mkubwa wa chadema.Kiukweli miongoni mwa wale waliokuwa wakimponda sana na hata kutokuhuzunishwa na kwenda kwa mwendazake na mimi nilikuwemo.Ninakiri wazi kuwa nilifanya makosa makubwa sana na sikujua kuwa nilikuwa nakataa almasi kwa kukusanya kokoto
Lilikuwa ni suala la muda tu...na huu ni mwanzo tu safari baado kabisa.
 
Ukweli ni kwamba JPM alichukiwa na wana CCM wenzake na baadhi ya wapinzani kwa sababu walizozijua wao.

Leo,baadae miezi miwili hata wale niliowaamini ni wapinzani wa kweli wamerejea kusifu na kushangilia yale yawayo kwa Samia ili tu wafurahishe nyoyo zao pasi na kukumbuka kwayo ni wazi wanaipalilia CCM kuendelea kubaki madarakani.

Kwa sababu hizo CCM kwa hakika kitaendelea kuitawala Nchi hii kwa muda mrefu sana kwa namna ya aina ya washabiki na wakereketwa wa vyama vya upinzani wasivyojitambua na wao kuendelea kuwa sehemu ya wapiga vigeregere wa CCM.

Kidumu chama cha mapinduzi!
 
Ukweli ni kwamba JPM alichukiwa na wana CCM wenzake na baadhi ya wapinzani kwa sababu walizozijua wao.

Leo,baadae miezi miwili hata wale niliowaamini ni wapinzani wa kweli wamerejea kusifu na kushangilia yale yawayo kwa Samia ili tu wafurahishe nyoyo zao pasi na kukumbuka kwayo ni wazi wanaipalilia CCM kuendelea kubaki madarakani.

Kwa sababu hizo CCM kwa hakika kitaendelea kuitawala Nchi hii kwa muda mrefu sana kwa namna ya aina ya washabiki na wakereketwa wa vyama vya upinzani wasivyojitambua na wao kuendelea kuwa sehemu ya wapiga vigeregere wa CCM.

Kidumu chama cha mapinduzi!
Wapinzani wa bongo ukiwajulia hawakusumbui!
 
Ukweli ni kwamba JPM alichukiwa na wana CCM wenzake na baadhi ya wapinzani kwa sababu walizozijua wao.

Leo,baadae miezi miwili hata wale niliowaamini ni wapinzani wa kweli wamerejea kusifu na kushangilia yale yawayo kwa Samia ili tu wafurahishe nyoyo zao pasi na kukumbuka kwayo ni wazi wanaipalilia CCM kuendelea kubaki madarakani.

Kwa sababu hizo CCM kwa hakika kitaendelea kuitawala Nchi hii kwa muda mrefu sana kwa namna ya aina ya washabiki na wakereketwa wa vyama vya upinzani wasivyojitambua na wao kuendelea kuwa sehemu ya wapiga vigeregere wa CCM.

Kidumu chama cha mapinduzi!
Kwa maoni yangu, kwa hali ilivyokuwa ni kukosa 'good judgement' kusema kama ulivyosema.
 
Huo ndio ukweli kwamba historia itaendelea kumkumbuka hayati Magufuli wakati wote kwa yale mema aliyoyatenda kwa taifa hili lililopendelewa na Mungu.

Magufuli atakumbukwa kwa uchapakazi na ujasili wake.

Nje ya CCM Magufuli amejenga SGR, amenunua ndege, Ubungo fly over, daraja la kigongo - busisi, haya yaliingizwa kwenye ilani baadae baada ya ubunifu wake wa kisayansi.

Kama binadamu atakumbukwa pia kwa mapungufu yake ya kutowasimamia sawasawa TRA, DPP na Takukuru kiasi cha watu kubambikiwa kesi na wengine biashara zao kufungwa.

Lakini kwenye mzani Mema yamezidi mabaya ndio maana tunasema Kazi Iendelee huku makosa yakirekebishwa.

Nawatakia Sabato yenye baraka!
 
Ukweli ni kwamba JPM alichukiwa na wana CCM wenzake na baadhi ya wapinzani kwa sababu walizozijua wao.

Leo,baadae miezi miwili hata wale niliowaamini ni wapinzani wa kweli wamerejea kusifu na kushangilia yale yawayo kwa Samia ili tu wafurahishe nyoyo zao pasi na kukumbuka kwayo ni wazi wanaipalilia CCM kuendelea kubaki madarakani.

Kwa sababu hizo CCM kwa hakika kitaendelea kuitawala Nchi hii kwa muda mrefu sana kwa namna ya aina ya washabiki na wakereketwa wa vyama vya upinzani wasivyojitambua na wao kuendelea kuwa sehemu ya wapiga vigeregere wa CCM.

Kidumu chama cha mapinduzi!
Mtoto wa Amber Lulu baba yake ni Hamorapa
 
Sijawah kuona uchapakazi wa John Magufuli,ila alijitahd sana katika propaganda na uongo
 
Nini umeandika sasa yaaani stress nyie zitawauwa walahi...weka hoja yenye source, credibility, reality etc
 
Unazungumzia mtu mwamba, mtu ya kazi, mtu yenye kujiamini, mtu isiyojali kupendwa na kuchukiwa, mtu inayoziba masikio mzungu akisema isijenge Bwawa la Nyerere, mtu hiyo inaitwa Tingatinga mtu isiyoogopa kifo Kwa ajiri ya...!

Nani kama mtu hiyo??
 
Back
Top Bottom