Ila sio siri mkuu unateseka mno hadi naingiwa na huruma. Hivi Magufuli alikuwa nani kwako ukiachilia kuwa alikuwa rais wa nchi?
 
SI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ALIYEKO MADARAKANI KWA SASA WALA RAIS AJAYE, ATAKAYEMFUNIKA HAYATI RAIS MAGUFULI KIUTENDAJI, IWE KWA SIKU 100 AU MIAKA 100 IJAYO:
Rais Bora sio Mtendaji bali ni kuunganisha nguvu kazi zote ili watende (mtu mmoja huwezi kufanya kila kitu), ila hata wewe usipofanya mwenyewe, kuwafanya watu wafanye ndio uwezo / ubora wa kiongozi.

Kuwafanya watu wa-give their all, kwa yule Bwana kutenga baadhi ya watu / kuwadhihaki, ni upotevu wa nguvu kazi
 

Umemaliza yote mkuu

Kuongezea tu ambalo siyo la umuhimu sana ni kupora pesa za wafanya biashara wa ‘bureau de change’ na wengi wakiwa na leseni halali za kuendesha biashara na kisingizio ni sehemu za kutakatisha pesa chafu utafikiri regulator (BOT) walikuwa likizo
 
🚮🚮
 
Mzee si kwa kunyoosha huku with white examples...me n mmoja wa watu wanaoshangaa namba watu wanataka kumpa utukufu bwana yule..sijui may be walikua side ambayo wapo benefited tofauti na hivyo no upuuzi wanajitahid kutuaminisha...me siyo mkubwa saaaana ki umri, nikiwa anasoma tu kuhusu watu kukimbia Nchi zao ila kwa macho yangu makavu nimeona kipindi cha mwendazake, uwanja wa ndege chato, Hifadhi ya burigi, kuna mazingira ya kingship kind of leading alikuwa anatengeneza huwez jenga uwanja wa ndege kijijini kwako wakati unajua utakuwa madarakani kwa miaka kadhaa tu unless otherwise ndo utawala wa kiimla ulikuwa ukiandaliwa.
 
Mkuu huu muda uliotumia kuandika huu upuuzi si ungeutumia kumkatikia mumeo huenda ukapata Mimba? Maana mimba imekuwa changamoto kwako miaka nenda rudi?
 
Mmmmh...
 
Tundu Lissu alijaribu kutukana legacy ya Nyerere akakutana na nguvu ya uma.

Hatokaa arudie tena.
Nguvu ipi aliyokutana nayo ambayo unaijua wewe tu? Toka barabarani na gari yako funga spika ingia mtaani tangaza legacy yake, hapa Jf tutaishia kukutukana tu. Toka nje huko kaseme alinunua ndege, alijenga flyover Dsm, amerudisha nidhamu, kahamishia serikali Dodoma then ikifika jioni uangalie kama gari yako itakuwa na vioo!!
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…