babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Hiyo nguvu ya umma ni ipi hiyo??wale ccm waliokuwa wanatumika?sasa mkuu hiyo legacy , meko ataipataje wakati uongozi wake ulikuwa umegubikwa na usiri /vitisho ili kuaminisha watu kuwa alikuwa mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, kumbe alikuwa MZALENDO MPIGAJI NAMBA MOJA?yaani hii ripoti ya CAG, imemuondolea kabisa heshima, hata kwa wale nyumbu, ambao walikuwa wagumu kuamini kuwa ufisadi bado uko pale pale!!wiki mbili tu hata waliokuwa wana muamini wamepungua kwa 45%(kwa utafiti wangu nilioufanya) sasa baada ya mwaka si itakuwa -"eti kwenye utawala wangu pesa haitapotea, afadhari apotee mtu na sio pesa", TUMEDANGANYWA SANATundu Lisu alijaribu kutukana legacy ya Nyerere akakutana na nguvu ya uma.
Hatokaa arudie tena.
Punguza povu Mataga Sukuma GangNyie ndiyo mnasababisha watu wapigwe BAN
coz mtu anaweza kukutukana hata matusi ya nguoni!
Hivi huwa mtu unapungukiwa nini iwapo utasoma post ya mtu alafu ukaona kuwa mtu huyo ameandika ujinga then ukakaa tu kimya ukamuacha na huo ujinga wake?
Ukikaa kimya haujampunguzia kitu wala kumuongezea kitu bali tu umeonesha uungwana wako kwa kuheshimu mawazo yake ili nae akiona umeandika mawazo yako ayaheshimu pia.
Naona JF sasa kila kitu mtu tu akisema anaitwa sukuma gang ama mataga!
Huo ni ujinga kwani makabila ya watu wengine humu yanahusu nini?
Mtu aogope kusema mawazo yake?
Wote hao waliopewa nafasi walikuwa wasukuma?
akina Bashe, Majaliwa, Kabudi, Bashiru, n.k
Kwani hao Wasukuma wamewakosea nini hicho kikubwa hivyo?
Mnakera sana punguzeni umama basi!
Hivi report imesema fedha zimeliwa na Magufuli? Hata Magufuli akiwa bado hai report zilitoka na hati chafu zilikuwepo. Si Uongozi wa Magufuli tu, Marais wote kuanzia Mkapa. Kumekuwa na report za hati chafu.Hiyo nguvu ya umma ni ipi hiyo??wale ccm waliokuwa wanatumika?sasa mkuu hiyo legacy , meko ataipataje wakati uongozi wake ulikuwa umegubikwa na usiri /vitisho ili kuaminisha watu kuwa alikuwa mzalendo mwenye uchungu na nchi yake, kumbe alikuwa MZALENDO MPIGAJI NAMBA MOJA?yaani hii ripoti ya CAG, imemuondolea kabisa heshima, hata kwa wale nyumbu, ambao walikuwa wagumu kuamini kuwa ufisadi bado uko pale pale!!wiki mbili tu hata waliokuwa wana muamini wamepungua kwa 45%(kwa utafiti wangu nilioufanya) sasa baada ya mwaka si itakuwa -"eti kwenye utawala wangu pesa haitapotea, afadhari apotee mtu na sio pesa", TUMEDANGANYWA SANA
Unaongelea haya ukiwa Katoro Chato GeitaWell said bro. African tunafail kwenye output. Tunakalia kwenye siasa
Na maneno mengi ila output ni zero. Our hero JPM alikuwa ni mzee wa output. No matter njia alizozitumia zikoje ila output tumeiona. Sasa kaacha tangible things ambazo kuzipinga ni ujinga mkubwa sana. Ole wao wenye madaraka wasiziendeleze, watakuwa wamejichimbia kaburi.
Ungejibu hoja za mtaalamu wa mahesabu CAG,kutuletea ushabiki maandazi na propaganda za kitoto haitosaidia!!Tundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nasubiri uendelee kiongozi,.
Kutadoda balaaa chato🤣🤣..august nitapita niwape mirejesho..tutaenda tu kula samak basUnaongelea haya ukiwa Katoro Chato Geita
Ka mishoga vile, JPM yuko kaburini lakini bado anawatetemesha.Kutadoda balaaa chato[emoji1787][emoji1787]..august nitapita niwape mirejesho..tutaenda tu kula samak bas
Ligacy ya kipumbavuuuuuuuuNi dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.
Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.
Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.
Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
Magov yenu wafuga fisi na chatuMtu mwenye akili fupi kama panya anapokosa hoja za kutetea hukimbilia kwenye ukabila.
Leta hoja siyo kupiga kelele kama mtetea anataka kutaga.
Wasukuma cumer tuuuWell said kaka.. This image ya mzee watu wanaojaribu kui print tofauti na ile tunayoijua ni ngumu sana kuamini maana ukiangalia miaka mitano tulioshi na Jiwe unaona kabisa ni mtu anejali na kuipenda nchi yake, anapinga na kukasirishwa sana maswala ya uzembe na ubadhirifu then then again kuna hii report ya CAG ambayo inachanganya sana
Totally CRAZY !!! Go and "SUCK IT" !!!!!"NAAAM....!
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Vipi Ripoti ya CAGTundu Lissu, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Hebu yaweke hapa hayo matusi ya Lissu kwa NyerereTundu Lisu alijaribu kutukana legacy ya Nyerere akakutana na nguvu ya uma.
Hatokaa arudie tena.
Watanzania wapi haoWatanzania hawatakubali
issue sio kumchafua maana hakuna mahali CAG kaandika rais alikula pesa hapana.Hivi report imesema fedha zimeliwa na Magufuli? Hata Magufuli akiwa bado hai report zilitoka na hati chafu zilikuwepo. Si Uongozi wa Magufuli tu, Marais wote kuanzia Mkapa. Kumekuwa na report za hati chafu.
Naona nguvu nyingiiii inatumika kumchafua. Hao waliofanya matumizi mabaya si wapo wakamatwe. Mfano Kigwa wa utalii. Kama unakumbuka Magufuli alimuonya Jafo kuhusu usimamizi wa matumizi ya fedha serikali za mitaa. Hakuna jipya.