Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Kazikwe nae basi usitusumbue hapa.mbona husemi kina lisu,ben sanane,azory,aquiline,makonda,sabaya etc etc etc
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Wahi Chato pembeni yake umuwahi mama Janet...
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
6. Wakati wa Magufuli wwatu walitekwa , kuteswa na kuuwawa!
 
Hata Panya Road tutaambiwa jibu moja kati ya hili 1) Tunafungua nchi 2)Vita ya Ukraine ndio sababu
 
Hata Panya Road tutaambiwa jibu moja kati ya hili 1) Tunafungua nchi 2)Vita ya Ukraine ndio sababu
Magu kafa na harudi tena, utawala mpya, take it like a man, mambo ya udikteta na uhuni yeshapita, UCHUMI wa kishamba haupo tena, kuna formula za kurun uchumi, siyo kuvamia maghala ya watu kuwaambia wameficha sukari, ujinga mtupu
 
6. Wakati wa Magufuli wwatu walitekwa , kuteswa na kuuwawa!
Advocate Madeleka aliyetekwa juzi ametekwa na JPM? Kuna shekh huko babati kama sikosei hajulikani alipo miezi sasa! Wale madogo wa Kariakoo nao zaidi ya wanne wako wapi? Hivi Mbowe pia alibabikwa kesi na JPM?

Kabla ya JPM yalikuwepo hayo na yataendelea hadi mumjue adui yenu halisi muachane na chuki kwa mtu isiyobadili chochote.
 
Magu kafa na harudi tena, utawala mpya, take it like a man, mambo ya udikteta na uhuni yeshapita, UCHUMI wa kishamba haupo tena, kuna formula za kurun uchumi, siyo kuvamia maghala ya watu kuwaambia wameficha sukari, ujinga mtupu
Formula inayowapa nafuu wananchi ndio Formula bora.
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
SUKUMA GANG wapo kazini.
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Nenda Chato kamfufue
 
1.Wakati wa JPM, hakukuwa na ubabaishaji katika taasisi za Serikali, sasa ni balaa tupu.

2. Wakati wa JPM bei za vitu hazikuwa zikipanda ovyo ovyo, sasa ni balaa tupu.

3. Wakati wa JPM, hakukuwa na kata kata ya umeme, sasa ni balaa tupu.

4. Wakati wa JPM hakukuwa na upigaji, lakini sasa ni balaa tupu.

5. Wakati wa JPM hakukuwa na vibaka wala PANYAROADS lakini sasa ni balaa tupu.
RIP, JPM, Mwana Afrika na mzalendo wa kweli.
Naunga mkono hoja.
P
 
Back
Top Bottom